Lakini cha kujiuliza akili yako mwenyewe kwamba Dini iliyokuwa na mashakamashaka haiachi wazi watu kuichunguza maana wakiichingiza watajua ukweli na watawaamsha wengine wasiojua kuchunguza hivyo kusababisha kukoseka kwa waumini
Na ndo maana wanakwambia wako tayari kufia dini yao kuliko kumwacha mtu aikosoekosoe
Lakini iko tofauti kwa Dini yenye ukweli huacha watu waichunguze wakibaini ukweli waamue wenyewe. Kujiunha au la
Lakini ukiona kuna utata ujue hapo pana siri imefichwa ili kupotosha watu na kuwapotezea muda kuyafuta mambo yasiyo kuwepo
Kwa nn uwe na mashaka wakati unapochunguzwa?
Sio Tanzania!
Waumini wote wa kitanzania mnafanana! level ya maturity kwenu ni ndogo, na Imani zenu ni ndogo mno!
Wapo wahubiri wanaogombana kwa Imani zao! zipo evidence za kesi za yule anayefufua, yule anayepaka na mkuu wa kanisa kuu nchini, na wote hawa wamepishana kiitikadi, maneno au hoja baina yao, either zinagusa Mungu wao, kanisa lao au maslahi yao!
lakini pia huku kwetu zipo kesi kadhaa za kugombea misikiti, ile ya kukojolea kitabu cha ibada na mengineyo kadhaa!
hapa unapata picha ya tatizo la kuwa na uvumilivu, uelewa juu ya Imani ya Mungu na dini!
wewe pia, ume-condemn ktk hii thread yako, ungekuwa hicho unachosema ungekaa kimya!
Kuna tofauti kuu kati ya
KUHOJI NA KUKASHIFU!
Anayehoji huwa ktk hatua za kupata majibu ya kujiridhisha, anayekashifu huwa anatukana!
hata kama dini yetu ni ya uongo kwanini ututukane, si ufanye au uendelee na yako ya ukweli!
hata kabila lako lilikashifiwa bado uta-react!
lakini kwa kesi hii ya Zanzibar mimi pia naona ni mwanzo mzuri wa kutumia vyombo vya dola kutuliza hii mitafaruku isiyo na mantiki! Ni heri sasa waende mahakamani ili wao, mimi na wewe tujue kama kuna sehemu ya sheria za nchi imevunjwa! na mahakama yetu ni chombo neutral so kitaamua tu na kutufafanulia sababu za hukumu, yeyote ile, iwe ameachiwa huru au amehukumiwa kifungo/fine!