Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 16,958
- 7,512
Naomba walio karibu na wenye taharifa za Dr.Mwakyembe watujuze baada ya kufika India na kupatiwa matibabu tunaambiwa anaendelea vizuri hapa jamvini,shida yangu leo ni..
Je,baada ya kuwa adimitted na kufanyiwa diagnosis madaktari wa India wanasema Dr.anaumwa nini na nini chanzo?
Naomba tujulishwe wanajamvi.
Je,baada ya kuwa adimitted na kufanyiwa diagnosis madaktari wa India wanasema Dr.anaumwa nini na nini chanzo?
Naomba tujulishwe wanajamvi.