Wanapinga USHOGA kutafuta umarufu wa kisiasa

Wanapinga USHOGA kutafuta umarufu wa kisiasa

A.n.t.i b.h.a.h.n.u.n.u ooooh sory we kumbe unatetea tu ok ok duh ila una moyo yaani unatetea watu kufirana!haya ni maajabu!
 
Pole yako mimi sio ni mtetezi tu , nasijutii kuwatetea

Nini nini unachokitetea ambacho waona mashoga wanaonewa au kunyimwa haki kwayo ? ushoga si ulemavu ni tabia ya mtu, sasa wewe unachoona mashoga wanaonea hadi ujitoe kuwa tete ni kipi ?
 
tumwombee mleta uzi ili macho yake yafunguke. Homosexual ni machukizo so ni zaidi sana ya dhambi ya kawaida. Nadhani mleta maada ana lake jambo

Zambi zote ni sawa,, pole yako
 
Kutetea ushoga ni sawa na kuhalalisha ushoga uwepo. Hivi hawa mashoga nguvu wanaitoa wapi ya kudai haki yao ya kufirwa makalio? Haiwezekani ukazaliwa mwanaume wazazi wako wakitegemea utaowa mwanamke halafu unakuja kuolewa wewe na mindevu yako. Wengi wao wanatoa visingizio vya eti wapo waliobakwa wengine eti wamezaliwa na homoni za kike.
Kwa nini wasianzishe harakati za kupinga matendo yanayowapelekea kuwa mashoga huu mchezo wanaufurahia

Punguza ukali wa maneno
 
Wengi wao ni wale wanao elekea kuchuja kisiasa, na wale vinga'ng'anizi wa madaraka wezi, mafisadi, wasio na ndoto ya maendeleo.
Kupinga wanaume kupigwa mtalimbo kunauhusiano gani na siasa, mimi mbona sifanyi siasa napinga mwanamme kupigwa mtalimbo. Alafu mbona swala hili la watu kupinga ushoga umeumia sana, wewe utakua sio ridhiki na ni wakala wa shetani.
 
Kupinga wanaume kupigwa mtalimbo kunauhusiano gani na siasa, mimi mbona sifanyi siasa napinga mwanamme kupigwa mtalimbo. Alafu mbona swala hili la watu kupinga ushoga umeumia sana, wewe utakua sio ridhiki na ni wakala wa shetani.

Jitambue,,,,, safisha uso wako
 
Siku ukigundua baba yako ni Shoga utamsihi aache ushoga au utamtetea ili afanye ushoga wake kwa uhuru?

Usilete familia yangu humu (mtu mzima , anejua jema na baya anao uhuru wa kuchagua lipi afuate)
 
Usilete familia yangu humu (mtu mzima , anejua jema na baya anao uhuru wa kuchagua lipi afuate)

Polepole ndugu yangu nimekuuliza kwa hekima ni vyema nawe unijibu kwa hekima.
Wewe umejitolea kutetea mashoga bila kujali nani anaeufanya huo ushoga,NAKUULIZA TENA mfano siku ukigundua baba yako ni shoga utamsihi aache au aendelee ili awe miongoni mwa utakaowatetea?
 
Polepole ndugu yangu nimekuuliza kwa hekima ni vyema nawe unijibu kwa hekima.
Wewe umejitolea kutetea mashoga bila kujali nani anaeufanya huo ushoga,NAKUULIZA TENA mfano siku ukigundua baba yako ni shoga utamsihi aache au aendelee ili awe miongoni mwa utakaowatetea?

Nimesha kujibu tayari
 
Back
Top Bottom