RedDevil
JF-Expert Member
- Apr 30, 2009
- 2,367
- 1,520
Ndugu wanaJF wenzangu, kwa mara ya kwanza nimeamua kusema yanayonikera humu ndani kwani kuna watu humu wamekuwa mbele saaana kuvunja harakati za mapambano dhidi ya ukombozi wa nchi yetu.
Sote tunapenda kuona watanzania wote tuishi kwa amani an upendo bila kuishi kama watumwa. Leo hii watanzania wengi wanaishi kama watumwa kwenye nchi yao, wanapata hata huo mlo mmoja kwa shida, wanauza utu wao kwa waombea lakini moja, elfu kumi kumi ndo usiseme hiki ni kielelezo tosha kuwa watu wanaishi kama watumwa ndani ya nchi yao. Matumaini yamepotea, hawana uhakika wa ,maisha ya baadaye.
Kutokana na hayo mambo, ndio maana watanzania wengi wenye uelewa wanajaribu kushiriki kwa namna yeyote kuleta mabadiriko ili mradi sote tuweze kuishi kama ndugu na tufurahie maisha ndani ya nchi yetu tanzania.
lakini humu ndani kuna kikundi cha watu wachache sana ambao sielewi ni vipi basi tunakuwa hatuna huruma kwa hawa watu ambao ni karibu 80% wanaishi kwa kubahatisha.
Mimi nasema leo hii kuwa!!wanaokatisha tamaa; huenda wao ni Mafisadi DAMU lakini waangalie mamilioni ya watanzania wanaoishi ka watumwa kwenye nchi yao, huu ni muda wa mabadiliko na c muda wa kudhihaki wanamapinduzi, in short waache (kaeni kimya) kuvunja moyo harakati za ukombozi b'se you can ban an organization, you can liquidate people but revolutionary never die "
Sote tunapenda kuona watanzania wote tuishi kwa amani an upendo bila kuishi kama watumwa. Leo hii watanzania wengi wanaishi kama watumwa kwenye nchi yao, wanapata hata huo mlo mmoja kwa shida, wanauza utu wao kwa waombea lakini moja, elfu kumi kumi ndo usiseme hiki ni kielelezo tosha kuwa watu wanaishi kama watumwa ndani ya nchi yao. Matumaini yamepotea, hawana uhakika wa ,maisha ya baadaye.
Kutokana na hayo mambo, ndio maana watanzania wengi wenye uelewa wanajaribu kushiriki kwa namna yeyote kuleta mabadiriko ili mradi sote tuweze kuishi kama ndugu na tufurahie maisha ndani ya nchi yetu tanzania.
lakini humu ndani kuna kikundi cha watu wachache sana ambao sielewi ni vipi basi tunakuwa hatuna huruma kwa hawa watu ambao ni karibu 80% wanaishi kwa kubahatisha.
Mimi nasema leo hii kuwa!!wanaokatisha tamaa; huenda wao ni Mafisadi DAMU lakini waangalie mamilioni ya watanzania wanaoishi ka watumwa kwenye nchi yao, huu ni muda wa mabadiliko na c muda wa kudhihaki wanamapinduzi, in short waache (kaeni kimya) kuvunja moyo harakati za ukombozi b'se you can ban an organization, you can liquidate people but revolutionary never die "