passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 5,888
- 11,370
Muda unaonesha ukombozi wa Tanzania kutoka mikononi mwa mafisadi, wabadhilifu wa mali za umma, siasa za majitaka za CCM ni sasa.
Nchi ya Tanzania inahitaji ukombozi kutoka kwenye mikono ya Watu ambao wameshindwa kuiondoa kwenye umasikini licha ya nchi kuwa na rasilimali lukuki. Tanzania inahitaji ukombozi kutoka kwa watu waliotengeneza mifumo ya Elimu ambayo haina msaada kwa watanzania, mifumo ambayo haisaidii watu kuishi maisha ya kujitegemea.
Tanzania ingetakiwa kuwa vizuri zaidi ya hapa tulipo kwa sababu ya rasilimali tulizonazo kama mali asili na rasilimali Watu lakini bado ni nchi masikini. Nipo tayari kuwa sehemu ya ukombozi/nipo tayari kuwa sehemu ya kujenga Tanzania mpya yenye maendeleo makubwa.
Wewe je?
Nchi ya Tanzania inahitaji ukombozi kutoka kwenye mikono ya Watu ambao wameshindwa kuiondoa kwenye umasikini licha ya nchi kuwa na rasilimali lukuki. Tanzania inahitaji ukombozi kutoka kwa watu waliotengeneza mifumo ya Elimu ambayo haina msaada kwa watanzania, mifumo ambayo haisaidii watu kuishi maisha ya kujitegemea.
Tanzania ingetakiwa kuwa vizuri zaidi ya hapa tulipo kwa sababu ya rasilimali tulizonazo kama mali asili na rasilimali Watu lakini bado ni nchi masikini. Nipo tayari kuwa sehemu ya ukombozi/nipo tayari kuwa sehemu ya kujenga Tanzania mpya yenye maendeleo makubwa.
Wewe je?