Wanaounga bando za Halotel vibali wanapata wap?

Wanaounga bando za Halotel vibali wanapata wap?

Mayova

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2018
Posts
231
Reaction score
217
Naomba kujua hawa watu wanao unga bando za halotel wanapata wapi kibali au wanawezaje ?maana naona siku hizi watu wengi wamekuwa mawakala wakuunga hizi bando za halotel mfano
GB 5 = sh 5000
GB 10= sh 8000
GB 20 = sh 18,000
Na yingine
 
Sasa mkuu Na inakuwaje Asilimia kubwa ni wanawake Tena wenye mlengo kama kujiuza, wanaume pia wapo kibao

Brother nunua bando tu 😃😀
Halafu bando zao ni zakweli nanibei nafuu tofauti na hizi bando za kawaida. Mimi pia natumia . In short ukiwa sehem nzuri yenye mtandao mzuri wa halotel itakulaizma usajili mpaka laini ya halotel hata kama ulikua huna. Mm niliunga bando la sh 27,000 GB 30 Terehe 19 mpaka sasa iv zimebaki Gb 20 yan unaenyoy kinoma 😀😀😀😀
 
Halafu bando zao ni zakweli nanibei nafuu tofauti na hizi bando za kawaida. Mimi pia natumia . In short ukiwa sehem nzuri yenye mtandao mzuri wa halotel itakulaizma usajili mpaka laini ya halotel hata kama ulikua huna. Mm niliunga bando la sh 27,000 GB 30 Terehe 19 mpaka sasa iv zimebaki Gb 20 yan unaenyoy kinoma 😀😀😀😀
Wapo vizuri sana mkuu haloteli mafundi sana hata Mimi natumia nikiwaga nje ya dar es salaam
 
Wapo vizuri sana mkuu haloteli mafundi sana hata Mimi natumia nikiwaga nje ya dar es salaam
Mara ya kwanza nlikua siamini lakini mpaka sasa yupo jamaa nafanya nae kazi sehem moja na anaunga bando za halotel . Ukimpa hela dakika 2 tu fresh. Sema hua najiuliza kwann hizi bando hazipo kwenye menu yao? Kama ni kitu halali kwann wasiweke kwenye menu yao watu wakawa wanajiunga wenye ?😀😀
 
Mfumo gani sasa ? Natamani niwe wakala wa hii kitu mzee
Kwani halotel wenyewe hawaoni?
Mara ya kwanza nlikua siamini lakini mpaka sasa yupo jamaa nafanya nae kazi sehem moja na anaunga bando za halotel . Ukimpa hela dakika 2 tu fresh. Sema hua najiuliza kwann hizi bando hazipo kwenye menu yao? Kama ni kitu halali kwann wasiweke kwenye menu yao watu wakawa wanajiunga wenye ?😀😀
 
Mfumo gani sasa ? Natamani niwe wakala wa hii kitu mzee

Mara ya kwanza nlikua siamini lakini mpaka sasa yupo jamaa nafanya nae kazi sehem moja na anaunga bando za halotel . Ukimpa hela dakika 2 tu fresh. Sema hua najiuliza kwann hizi bando hazipo kwenye menu yao? Kama ni kitu halali kwann wasiweke kwenye menu yao watu wakawa wanajiunga wenye ?😀😀
Nenda haloshop
 
Mara ya kwanza nlikua siamini lakini mpaka sasa yupo jamaa nafanya nae kazi sehem moja na anaunga bando za halotel . Ukimpa hela dakika 2 tu fresh. Sema hua najiuliza kwann hizi bando hazipo kwenye menu yao? Kama ni kitu halali kwann wasiweke kwenye menu yao watu wakawa wanajiunga wenye ?😀😀
Nenda aliposema brother Mr Q
 
Mfumo gani sasa ? Natamani niwe wakala wa hii kitu mzee

Mara ya kwanza nlikua siamini lakini mpaka sasa yupo jamaa nafanya nae kazi sehem moja na anaunga bando za halotel . Ukimpa hela dakika 2 tu fresh. Sema hua najiuliza kwann hizi bando hazipo kwenye menu yao? Kama ni kitu halali kwann wasiweke kwenye menu yao watu wakawa wanajiunga wenye ?😀😀
May be wamesajili watu special wanao toa huduma hio
 
bando la sh 27,000 GB 30 Terehe 19 mpaka sasa iv zimebaki Gb 20 yan unaenyoy kinoma
---
1766556495930.png

  • Tangu Jana Muda kama huu nilipo 're_start' router hadi sasa nimetumia 24GB
  • Tangu Tarehe Moja ambapo 'Monthly Traffic' huanza na 0MB, Muda huu nimefikisha 766GB
 
Naomba kujua hawa watu wanao unga bando za halotel wanapata wapi kibali au wanawezaje ?maana naona siku hizi watu wengi wamekuwa mawakala wakuunga hizi bando za halotel mfano
GB 5 = sh 5000
GB 10= sh 8000
GB 20 = sh 18,000
Na yingine
SME ni Halotel wenyewe hio ni package

Soma
 
Halafu bando zao ni zakweli nanibei nafuu tofauti na hizi bando za kawaida. Mimi pia natumia . In short ukiwa sehem nzuri yenye mtandao mzuri wa halotel itakulaizma usajili mpaka laini ya halotel hata kama ulikua huna. Mm niliunga bando la sh 27,000 GB 30 Terehe 19 mpaka sasa iv zimebaki Gb 20 yan unaenyoy kinoma 😀😀😀😀
Hii nchi chini ya Samia ina mambo ya kiseng@ sana ...kwa nini wasiweke hayo mabando kwa wote bila ya mtu wa kati 😕 HUYU ROSTAM AZIZI HAFAI KABISA KUENDELEA KUWA HAI KWA MASLAI MAPANA YA TAIFA NA KWA HAKI.
 
Back
Top Bottom