Wanaoteseka zaidi katika mapenzi ni wanawake

Wanaoteseka zaidi katika mapenzi ni wanawake

Mwanamke akiwa na mahusiano na wewe anataka ufanye vile yeye angependa (vya kumfurahisha tu).

Mwanamke akikupenda anataka nawewe umpende hivyo hivyo, ukimpotezea ANAKUCHUKIA!

Atajaribu kukutega usipoingia kwenye kamba zake anakuona ZOBA!

Ukistisha mahusiano nae anasema AMETENDWA na anauwezo wa kuchukua maamuzi ya kujidhuru yeye mwenyewe (sio kunywa sumu, anaweza akafanya mambo ya ajabu sana akijuwa anakukomoa kumbe anajiumiza yeye mwenyewe)

Ni wanaume wachache wanaoweza kusema kwamba "wametendwa" ukilinganisha na wanawake!

WANAWAKE mapenzi yanawatesa KwELI KWELI!
Ndio mtaji wa pastor mackenzi na makanisa yao ya mwendo kasi
 
Mwanamke akikupenda anataka nawewe umpende hivyo hivyo, ukimpotezea ANAKUCHUKIA!

Atajaribu kukutega usipoingia kwenye kamba zake anakuona ZOBA!


hiyo kitu inanitokeaga sana unakuta ankuonyesha ishara umtokee lakini ukimpotezea anaanza kukudharau
 
Mwanamke akikupenda anataka nawewe umpende hivyo hivyo, ukimpotezea ANAKUCHUKIA!

Atajaribu kukutega usipoingia kwenye kamba zake anakuona ZOBA!


hiyo kitu inanitokeaga sana unakuta ankuonyesha ishara umtokee lakini ukimpotezea anaanza kukudharau
hayana formula, tutafute hela
 
Back
Top Bottom