Gaddaf i06
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 1,770
- 2,845
- Thread starter
- #101
kauli za "tafuta" pesa nazo ni ishara mbaya!Pesa sio chochote kama hakuna wa kushare naye.
Ikiwa pesa kwako sio tatizo, utapata matatizo ambayo hayana shda na hela zako! Na kauli zote hizo (tafuta pesa) zinatoka kwa watu masikini.
sasa hapa sijui nani anayeteseka
watu wanaweka vitu moyoni....