Wanaoteseka zaidi katika mapenzi ni wanawake

Wanaoteseka zaidi katika mapenzi ni wanawake

Na wasiokuwa na pesa ndo wanafikiriaga pesa ndo kila kitu....money is better, only for financial issues...kuna vitu hizo pesa zako haziwezi kukupa.
exactly! Watu wanapopitia changamoto flani hufikiri labda ni kwa sababu hawana pesa!
 
🤣🤣🤣🤣🤣
Nimekumbuka ule uzi wa kutoa neno kwa ex wako, wanawake tulitukanwa matusi yote. Leo hii eti hawateswi na mapenzi🙆🙆

Sema wanawake hatufichi hisia zetu na hatuna unafiki, kama nilitendwa nasema tu. Ila wao sasa kujitia vidume ila ikitokea pa kutolea machungu yao sasaaaaaa!!!
Kuna comment moja siisahau jamaa aliandika "christina paka wa muhimbili wewe" akaishia hapo🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Jambo ambalo wengi hatulifahamu ni kuwa wanawake wanaigiza kila kitu kwenye mapenzi ndio maana hata mkiachana utaona anajifanya yuko free na anafurahia maisha hayo mapya lakini deep down wanaumia sana
Sas kama mwanaume hutakiwi kushindana nao ni kuishi nao kwa akili tuu.
 
Labda unaongelea wanawake wa under 2000 huko sio hawa wa karne 21 shehe.
WA ZAMA HIZI WANAJUA KUIGIZA!
KWAMBA WAKO STRONG MDOMONI, WAKO WEAK MOYONI!

NDIO SBB ZA KUJAZANA KWA MITUME NA MANABII, KUTAFUTA FARAJA.
 
Back
Top Bottom