Wanaoteseka zaidi katika mapenzi ni wanawake

Wanaoteseka zaidi katika mapenzi ni wanawake

namaanisha yaani thread nyingi leo zimewalenga wanawake....
iko hvi: mwanamke baada ya kupata f kwenye jaribio lake la nyuma anajaa sumu. Kwahyo wewe mwanaume utakaekutana nae baada ya hapo uwe "makini" vingnevyo kuleta malalamiko hapa si jambo la kushangaza! najua umenielewa
 
mi naona wanaume wengi skuizi tunashindwa kuvumilia kukataliwa na kutendwa
ambao hawawezi kuvumilia kukataliwa ni wanawake mzee! tatizo sisi wanaume tunajifanyaga njaa kali yaani demu akijilengesha kwako unaona ni fursa adimu! sasa fanya hvi, demu akikuelewa(hasa awe mhasibu na uwe hujamtongoza) mkatae alafu leta mrejesho hapa hapa
 
wanawake si wepesi wa kueleza hisia zao kama ilivyo kwa wanaume (wanaumia ndani kwa ndani ndo maana mwisho wa siku wanajiripua)
Wanawake wa wapi? Wee wanawake hatukaagi na mambo ujue lazima tuongee. Wanaume ndio mna kawaida ya kutoongea lkn mpaka watu wanalalamika ujue hali si hali uvumilivu umefika kikomo poleni sana wababa wote mnaoteseka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom