Wanaoteseka zaidi katika mapenzi ni wanawake

Wanaoteseka zaidi katika mapenzi ni wanawake

Thread 10 za malalamiko ya mapenzi 9 zimeletwa na mwanaume 1 mwanamke....rekodi hazidanganyi.
🤣🤣🤣🤣🤣
Nimekumbuka ule uzi wa kutoa neno kwa ex wako, wanawake tulitukanwa matusi yote. Leo hii eti hawateswi na mapenzi🙆🙆

Sema wanawake hatufichi hisia zetu na hatuna unafiki, kama nilitendwa nasema tu. Ila wao sasa kujitia vidume ila ikitokea pa kutolea machungu yao sasaaaaaa!!!
 
Back
Top Bottom