mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,302
- 72,047
kijana wa 19 nijenge kibanda cha nini 😂 ni kutembeza dyudyu tu....Hehee kuna mahala unaweza ukanasa ukajenga na kibanda. Yaan shida ya haya makitu huwa hayatabiriki.
Sent using Jamii Forums mobile app

