Wanaoteseka zaidi katika mapenzi ni wanawake

Wanaoteseka zaidi katika mapenzi ni wanawake

mnatupiga mizinga sisi tuna 'hit and run'
Wanaume wenyewe wa kupiga mizinga wako wapi?mkiombwa ka laki tu mnatangazaaa... kila siku mnalilia ni dalili ya kukosa pesa...endeleni kupambana huko tunakoelekea tutaanza kuwahudumia...girls runs the World ndo mtajui hamjui
 
Wanaume wenyewe wa kupiga mizinga wako wapi?mkiombwa ka laki tu mnatangazaaa... kila siku mnalilia ni dalili ya kukosa pesa...endeleni kupambana huko tunakoelekea tutaanza kuwahudumia...girls runs the World ndo mtajui hamjui
jamani unavosema 'kalaki' ujue ni ngumu kupata eti 😅
 
Thread 10 za malalamiko ya mapenzi 9 zimeletwa na mwanaume 1 mwanamke....rekodi hazidanganyi.
Kwenye Thread 100 za topic yoyote humu jukwaani
99 zimeanzishwa na mwanaume 1 mwanamke….rekodi hazidanganyi
 
Kwenye Thread 100 za topic yoyote humu jukwaani
99 zimeanzishwa na mwanaume 1 mwanamke….rekodi hazidanganyi
kuna mdada huko anasema akisikia tu sauti ya mshkaji ananywea! Hah
 
Utazinije na mtu bila kumpenda,
Utamhongaje mtu bila kumpenda, 🤔

Je unaweza kumtomba mwanamke usiyempenda au kumtamani? 🤔🤔
Vyote vinawezekana. Ndio maana hata mtu akienda kumnunua dada poa ananunua tu kwa sababu ya hamu, ila sio kwamba anampenda.
Kutamani inawezekana, ila sio lazima kwamba mtu (haswa mwanaume) anampenda mtu ndo amhonge ama kumtongoza,
Ila endapo unampenda basi hata s.x utakayoipata akikupa utaridhika na kuenjoy kuliko yule unaemtamani, ama kutaka kupiga tu.
Kwa kumalizia, inawezekana kumla mtu hata usiyemtamani😂😂, ni vyema kuwa makini kujizuia na kujitengeneza ili uweze kula vitu unavyovipenda ama/na kuvitamani.
 
Back
Top Bottom