Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 10,664
- 22,844
Adam's apple?!Kuna makosa ya kiufundi siku hizi.....ndio maana wanaume wa zama hizi hawana kile kikoromeo kirefu hapa shingoni, kilikua na kazi yake kile
Adam's apple?!Kuna makosa ya kiufundi siku hizi.....ndio maana wanaume wa zama hizi hawana kile kikoromeo kirefu hapa shingoni, kilikua na kazi yake kile
Wanaume wenyewe wa kupiga mizinga wako wapi?mkiombwa ka laki tu mnatangazaaa... kila siku mnalilia ni dalili ya kukosa pesa...endeleni kupambana huko tunakoelekea tutaanza kuwahudumia...girls runs the World ndo mtajui hamjuimnatupiga mizinga sisi tuna 'hit and run'![]()
jamani unavosema 'kalaki' ujue ni ngumu kupata eti 😅Wanaume wenyewe wa kupiga mizinga wako wapi?mkiombwa ka laki tu mnatangazaaa... kila siku mnalilia ni dalili ya kukosa pesa...endeleni kupambana huko tunakoelekea tutaanza kuwahudumia...girls runs the World ndo mtajui hamjui
Ona sasajamani unavosema 'kalaki' ujue ni ngumu kupata eti![]()

kajaribu kuitafuta uone 😂Ona sasa![]()
Nijaribu mara ngapi....pesa ya kutafuta mwenyewe ni tamu balaa ...hizi nyingine za masimango unakuja kutangazwa JFkajaribu kuitafuta uone![]()
kwahiyo unataka kuniambia mwanaume huhitaji kabisa??Nijaribu mara ngapi....pesa ya kutafuta mwenyewe ni tamu balaa ...hizi nyingine za masimango unakuja kutangazwa JF
Hizo siri za ndanikwahiyo unataka kuniambia mwanaume huhitaji kabisa??

sawa naelewa hela unaweza kua nazo, ila hata dyudyu jamani?? 😂Hizo siri za ndani![]()
Una ufala sana wewesawa naelewa hela unaweza kua nazo, ila hata dyudyu jamani??![]()

ngoja niishie hapa 😅Una ufala sana wewe![]()
Kwenye Thread 100 za topic yoyote humu jukwaaniThread 10 za malalamiko ya mapenzi 9 zimeletwa na mwanaume 1 mwanamke....rekodi hazidanganyi.
Ni vyemangoja niishie hapa![]()

Hapo chachasasa hapa sijui nani anayeteseka
kuna mdada huko anasema akisikia tu sauti ya mshkaji ananywea! HahKwenye Thread 100 za topic yoyote humu jukwaani
99 zimeanzishwa na mwanaume 1 mwanamke….rekodi hazidanganyi
Famchezo nn na kizazi Cha kudanga. Mtu ana mabwana 4 aanze tu kuhangaika na 1Labda unaongelea wanawake wa under 2000 huko sio hawa wa karne 21 shehe.
Utazinije na mtu bila kumpenda,
Utamhongaje mtu bila kumpenda, 🤔
Vyote vinawezekana. Ndio maana hata mtu akienda kumnunua dada poa ananunua tu kwa sababu ya hamu, ila sio kwamba anampenda.Je unaweza kumtomba mwanamke usiyempenda au kumtamani? 🤔🤔