FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,890
- 109,226
Kwanza niipongeze sana idara inayoshughulika na ukusanyaji wa data za hali ya hewa na mwisho kututangazia hali ya hewa inayotarajiwa kuwepo.
Binafsi ni mdau mkubwa wa kutazama hali ya hewa, kwa uchache kutwa mara tatu.
Habari ya mwisho kuu waliyotutangazia watabiri wetu ilikuwa ni kututaka tujitahadhari na mvua za elnino. Ni kweli limetokea, lakini walitubania kutueleza ukweli kuwa el nino hiyo itatokea jangwani kwa kasi ya 5G na kunyesha kwa kutisha mtaa wa Msimbazi.
El nino jana, imepelekea majeruhI kuwa ni wa wengi na tuwaombee salama.
Nashauri ng'ombe 5 zichinjwe huko jangwani na nyama ya sadaka ifike mpaka mtaa wa Msimbazi.
Tuwalaumu TMA, waliliona hili muda tu, wakabania-bania habari.
Binafsi ni mdau mkubwa wa kutazama hali ya hewa, kwa uchache kutwa mara tatu.
Habari ya mwisho kuu waliyotutangazia watabiri wetu ilikuwa ni kututaka tujitahadhari na mvua za elnino. Ni kweli limetokea, lakini walitubania kutueleza ukweli kuwa el nino hiyo itatokea jangwani kwa kasi ya 5G na kunyesha kwa kutisha mtaa wa Msimbazi.
El nino jana, imepelekea majeruhI kuwa ni wa wengi na tuwaombee salama.
Nashauri ng'ombe 5 zichinjwe huko jangwani na nyama ya sadaka ifike mpaka mtaa wa Msimbazi.
Tuwalaumu TMA, waliliona hili muda tu, wakabania-bania habari.