Panctuality
JF-Expert Member
- Jun 11, 2019
- 726
- 1,044
Believe or not,no impossible under the sun!Utajiri wa masharti ni bora kufa masikini tu uishi kwa amani, siyo kumhofia jogoo kala nusu punje dah.
Ila bado siamini kama ni kweli kuna hayo mambo ya utajiri na jogoo, how? Utajiri unaletwa kwa kupiga kazi tuu.
Hee hadi umesema under the "son" badala ya sun ila umeeleweka. Kiukweli mimi ntapambana kihalali kabisa bila kuhusisha hayo mambo meusi, nataka utajiri wa kujimudu tu na familia na jamii yangu ikiwezekana, Mungu wetu ni wa neema atabariki kazi za mikono yetu.Believe or not,no impossible under the son!
Maisha ni kuchagua tu uwe masikini wa kutupwa,ujimudu wastani au tajiri wa kutupwa ni maamuzi yako,muda fulani hata damu yako (kifo chako) yaweza kuwa ndio jasho lako. Chagua moja kusuka au kunyoa mkuu
Typing error mkuu,shukrani chief kwa kunielewa,unaogopa sana utajiri wa punje eeh! Unaikana nafsi tu maisha yanaenda,na masharti kama yote unakula ngumu tuHee hadi umesema under the "son" badala ya sun ila umeeleweka. Kiukweli mimi ntapambana kihalali kabisa bila kuhusisha hayo mambo meusi, nataka utajiri wa kujimudu tu na familia na jamii yangu ikiwezekana, Mungu wetu ni wa neema atabariki kazi za mikono yetu.
👍👍Secret Societies zipo nyingi na mojawapo ni Freemasonry. Hizi za West Africa nyingi ndiyo zilizo waongoza Wafalme katika utawala.
Hata Wakoloni kutawala bara la Afrika haikua rahisi. Wafalme walielekezwa mbinu za kupambana kutoka kwa mizimu.
Ninaamini Wazungu walitumia uchawi pia kuweza kututawala.
Yaani kuikana nafsi hapo ndiyo pagumu, utajiri wa masharti mara usile kuku, usilale kitandani, usivae viatu dah utajiri gani huo sasa, hujakaa sawa kuku kadonoa punje 1 yaani 1 aisee ntampiga huyo kuku na huyo mganga wake😂😂Typing error mkuu,shukrani chief kwa kunielewa,unaogopa sana utajiri wa punje eeh! Unaikana nafsi tu maisha yanaenda,na masharti kama yote unakula ngumu tu
Duh....,Haijawahi kutokea kula ata punje 10...wenye bahati 8-5...mganga Ni dalali ndio maana hukuti ampe ndugu yake utajiri wa hivo yeye anategemea ufanikiwe umpe fadhila...na Yule jogoo Ni jini ndio unaeingia nae mkataba...na ndo Mana akishakula punje anapotea ..akishapotea jua anakua mwilini mwa muhusika Sasa kumtimizia mahitaji yake ya utajiri..na ikifika siku huyohuyo ndo atamuondoa...that's why Kuna wahuni miaka ya nyuma walikua wanaenda kutegua kigoma hiyo ya deadline ya kufa...
shida huanzia hapa.Juzi Kuna bro tulikuwa tunaongea kuhusu wamiliki wa magari na uchawi.
Akaniambia biashara yoyote ili ifanikiwe lazma kuwe na uchawi.
Usipofanya uchawi Basi watu watakufanyia uchawi ili ufirisike
huo ndio ukweli mkuu jogoo akila punje tatu unaona kabisa uwepo wako duniani hauna maana, halikadhalika ukiruka tako tatu mtoto wa watu anaona kabisa kaja kupoteza muda duniani 😀 😀Hahaaaa, Mungu anakuona mkuu, daah!!
Watu huibiwa hivi kwasababu ya tamaa za utajiri wa haraka.Hao ni wale matapeli walianzisha mazungumzo ili wawaokote wajinga! Eti kwamba walikuwa wanaongea uamini maneno ya mganga na mteja wake na wewe uingie kwenye 18 zao wakukule tuhela twako
Na walikuwa wanafanikiwa chief kutegua?Haijawahi kutokea kula ata punje 10...wenye bahati 8-5...mganga Ni dalali ndio maana hukuti ampe ndugu yake utajiri wa hivo yeye anategemea ufanikiwe umpe fadhila...na Yule jogoo Ni jini ndio unaeingia nae mkataba...na ndo Mana akishakula punje anapotea ..akishapotea jua anakua mwilini mwa muhusika Sasa kumtimizia mahitaji yake ya utajiri..na ikifika siku huyohuyo ndo atamuondoa...that's why Kuna wahuni miaka ya nyuma walikua wanaenda kutegua kigoma hiyo ya deadline ya kufa...
Bado yupo na hakupata matatizo yoyote yoyote?Mi najua kidogo KUTOKANA na kuwa na rafiki aliewahi kufanya hivo
Story ya uyu jamaa nimeifananisha na zile msg "binamu mpigie huyu mganga alinisaidia nikapata utajiri wa magari sjui nyumba na nini, maana ukitafakari hawana sehemu ya kuongelea adi waje kuongelea sehemu watu wanapita ili wawasikie?Watu huibiwa hivi kwasababu ya tamaa za utajiri wa haraka.
Pengine tayari ameshaibiwa.Story ya uyu jamaa nimeifananisha na zile msg "binamu mpigie huyu mganga alinisaidia nikapata utajiri wa magari sjui nyumba na nini, maana ukitafakari hawana sehemu ya kuongelea adi waje kuongelea sehemu watu wanapita ili wawasikie?
Duh...Ulikuwa unategwa utapeliwe kiboya.
Bahati yako hauna tamaa, hao ni matapeli. Ungejifanya kushobokea ungetapeliwa. Tz ina mambo mengi, kuwa makini.
Fafanua kidogo kwamba mkiwa hapo ulipokuwa unatoa oil chafu kwa nyuma, ukawasikia wakiongea. Alafu kuna jogoo mpaka muda alikuwa anaendelea kula punje za mahindi. Elfu Lela ulela.Nikiwa kwenye basi katika harakati za kuitafuta shs, tumesimama kuchimba dawa eneo linaonekana kama kijiji baada ya makambako kuelekea mafinga, ni eneo flani inaonekana kuna vyoo vya mtu binafsi ila abilia hatulipi na sijui nani anayehudumia hivyo vyoo!.
Nikiwa ndani ya chumba natoa oil chafu ya mwilini kwa nyuma nasikia majibizano makali tu kutoka kwa watu wawili, kutokana na majibizano yao nikagundua mmoja ni mganga na mwingine ni mteja.
Jamaa aliyekuwa anafoka alikuwa anadai inakuwaje jogoo akala punje 3 za mahindi kisha kuondoka wakati hakuwa na chakula kwa muda?, Sikusikia jibu kutoka upande wa pili ila baadaye jamaa inaonekana ni mteja akaomgeza "jogoo wangu niliyekuja naye mpaka sasa bado anakula punje za mahindi ila wako amekula 3 na kuondoka, kwa nini?"
Ila kwa sababu tulipewa dakika 5 za kuchimba dawa sikuweza kufuatilia au kujua kilichoendelea katika kujiuliza nimeileta ili wale wadau wa Jogoo na punje za mahindi mje mtujuze ni nini hiki?.
Niliwahi sikia utajiri wa punje za mahindi kuwa jogoo anapokula punje kadhaa basi huo ndiyo uhai wa utajiri wako kulingana na alivyokula but imekuwaje kukawa na jogoo wawili tofauti, yaani wa mteja na wa witchcraft. na huyo wa mganga akala tatu na kusepa ila wa mteja akaendelea kula?
Nashangaa watu wote kabla hawajagusia hii point. Hakuna uwezekano mganga na mteja wake watoke uko waje kujadili uganga sehemu wasafiri wanachimba dawaUlikuwa unategwa utapeliwe kiboya.
Bahati yako hauna tamaa, hao ni matapeli. Ungejifanya kushobokea ungetapeliwa. Tz ina mambo mengi, kuwa makini.