Wanaotafuta Utajiri wa Punje za Mahindi na Jogoo, Imekaaje Hii?

Utajiri wa masharti ni bora kufa masikini tu uishi kwa amani, siyo kumhofia jogoo kala nusu punje dah.

Ila bado siamini kama ni kweli kuna hayo mambo ya utajiri na jogoo, how? Utajiri unaletwa kwa kupiga kazi tuu.
Believe or not,no impossible under the sun!
Maisha ni kuchagua tu uwe masikini wa kutupwa,ujimudu wastani au tajiri wa kutupwa ni maamuzi yako,muda fulani hata damu yako (kifo chako) yaweza kuwa ndio jasho lako. Chagua moja kusuka au kunyoa mkuu
 
Believe or not,no impossible under the son!
Maisha ni kuchagua tu uwe masikini wa kutupwa,ujimudu wastani au tajiri wa kutupwa ni maamuzi yako,muda fulani hata damu yako (kifo chako) yaweza kuwa ndio jasho lako. Chagua moja kusuka au kunyoa mkuu
Hee hadi umesema under the "son" badala ya sun ila umeeleweka. Kiukweli mimi ntapambana kihalali kabisa bila kuhusisha hayo mambo meusi, nataka utajiri wa kujimudu tu na familia na jamii yangu ikiwezekana, Mungu wetu ni wa neema atabariki kazi za mikono yetu.
 
Typing error mkuu,shukrani chief kwa kunielewa,unaogopa sana utajiri wa punje eeh! Unaikana nafsi tu maisha yanaenda,na masharti kama yote unakula ngumu tu
 
👍👍
 
Typing error mkuu,shukrani chief kwa kunielewa,unaogopa sana utajiri wa punje eeh! Unaikana nafsi tu maisha yanaenda,na masharti kama yote unakula ngumu tu
Yaani kuikana nafsi hapo ndiyo pagumu, utajiri wa masharti mara usile kuku, usilale kitandani, usivae viatu dah utajiri gani huo sasa, hujakaa sawa kuku kadonoa punje 1 yaani 1 aisee ntampiga huyo kuku na huyo mganga wake😂😂
 
Duh....,
 
Na walikuwa wanafanikiwa chief kutegua?
 
Story ya uyu jamaa nimeifananisha na zile msg "binamu mpigie huyu mganga alinisaidia nikapata utajiri wa magari sjui nyumba na nini, maana ukitafakari hawana sehemu ya kuongelea adi waje kuongelea sehemu watu wanapita ili wawasikie?
Pengine tayari ameshaibiwa.
Nakumbuka story za jamaa yetu mmoja enzi hizo boarding ameuziwa chupa akidhani almasi.

Alikuja kutupa story kana kwamba yaliyemtokea ni abiria mwenzake, baadae tukaja ng'amua aliyeibiwa ni yeye na si yule aliyemtaja kwenye story.
 
Fafanua kidogo kwamba mkiwa hapo ulipokuwa unatoa oil chafu kwa nyuma, ukawasikia wakiongea. Alafu kuna jogoo mpaka muda alikuwa anaendelea kula punje za mahindi. Elfu Lela ulela.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…