Wanaopinga uwepo wa Mungu ni wakaidi

Wanaopinga uwepo wa Mungu ni wakaidi

Kwa hiyo kama hakubadilishi chochote ndio tupuuze swali?

Kwamba kwasababu ajali ya gari iliyotokea juzi imeuwa watu wote wakiwemo waliofunga seat belt, kwa hiyo unashauri watu wapuuze uvaaji wa seat belt kwenye magari kwasababu kuna watu walivaa na bado wakafa?

unakubali mantiki inaweza kututenganishia mambo, tukajua huu ukweli, na huu uongo?
Mfano ulio utoa siyo sahihi kwenye hili. Safari ina nyingi tabu hakuna anaye jua kama atafika salama au la. Kwahiyo suala la tahadhari ni muhimu sana, tofauti na hili la mantiki. Mantiki kama elimu tayari ina misingi yake na namna ya ufikiaji wa hitimisho upo. Sasa unapo uliza swali kama hilo unaonekana huna uhakika na fani hiyo je huna uhakika na mantiki ? Sasa jifunzeni kutoa mifano.

Jibuni maswali niliyo wauliza, swali lenu halibadilishi chochote, kukubali au kutokubali.

Nitakujibu tena baada ya nyinyi kujibu maswali yangu.

Shukrani.
 
Mfano ulio utoa siyo sahihi kwenye hili. Safari ina nyingi tabu hakuna anaye jua kama atafika salama au la. Kwahiyo suala la tahadhari ni muhimu sana, tofauti na hili la mantiki. Mantiki kama elimu tayari ina misingi yake na namna ya ufikiaji wa hitimisho upo. Sasa unapo uliza swali kama hilo unaonekana huna uhakika na fani hiyo je huna uhakika na mantiki ? Sasa jifunzeni kutoa mifano.

Jibuni maswali niliyo wauliza, swali lenu halibadilishi chochote, kukubali au kutokubali.

Nitakujibu tena baada ya nyinyi kujibu maswali yangu.

Shukrani.
Kutobadilisha chochote sio kigezo cha kufanya lisijibiwe kwanza hiyo ni personal view

Ukitaka wote tutumie mbinu hiyo utakosa hata nguvu ya kudai majibu kwa mtu uliyemuuliza maswali kwsababu anaweza kukupa majibu kama hayo hayo kuku-shut down
 
Naona jambo limekushinda hili. Unaanza kupoteza muda kwenye hakuna.

Katika mjadala huu hili siyo sharti. Maana yake kama Mantiki inaweza nikubali au nisikubali haitabadilisha chochote na kama haiwesi nikubali ama nisikubali haibadilishi chochote. Kwa maana nyingine umeuliza swali la kipuuzi lisilo kuwa na maana.

Kuikubali na kutokuikubali kuna badilisha nini ?

Hili najua huna uwezo nalo, ndiyo maana unapoteza muda.

Hili huna uwezo nalo, liko wazi ungekuwa unaweza usingeuliza swali lisilo na maana.

Jibu swali nililo kuuliza. Umejuaje kama Mola hayupo ?

Nakushauri mada za kuhusu Mola achana nazo huna uwezo wa kuzijadili unapokutana na watu kama sisi. Badala ya kujibu swali unauliza swali lisilo kuwa na maana.

Kazi yangu nimemaliza.

Shukrani.
Habari za uwepo wa Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aliyeumba ulimwengu huu wenye mabaya mengi zina tatizo la "logical inconsistency".

Logical inconsistency hii ni contradiction. Habari kujipinga yenyewe kabla haijapingwa na mtu.

Habari hizi zinajipingaje?

Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kwa nini kaumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kutokea, wakati alikuwa na uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kutokea na hata hayajulikani kabisa?

Habari ya kuwepo kw Mungu huyu, ni sawa na kusema kwamba, kuna pembetatu ambayo hapo hapo ni duara katika plane Euclidean geometry.

Wakati tunajua pembetatu haiwezi kuwa duara na duara haliwezi kuwa pembetatu kwa wakati huo huo.

Habari ya kuwep kwa Mungu wako ni ya uongo kama habari ya kuwepo kwa pembetatu ambayo pia ni duara kwa wakati huo huo katika plane Euclidean geometry ilivyo uongo.

Nimekueleza kimantiki kwa nini habari ya kuwepo kwa Mungu wako mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote ni ya uongo.

Ulimwengu tunaoishi, ambao unaruhusu mabaya kuwapo, unakanusha kuwepo kwa Mungu huyo.


problemofevil.jpg
 
Habari za uwepo wa Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aliyeumba ulimwengu huu wenye mabaya mengi zina tatizo la "logical inconsistency".

Logical inconsistency hii ni contradiction. Habari kujipinga yenyewe kabla haijapingwa na mtu.
Ngoja nikusaidie kitu kimoja. Habari za uwepo wa Mola hazijawahi kujipinga kwa zenyewe.

Ulichokiandika hapa kimeonyesha wazi ya kuwa hukijui unachokijadili, ndiyo maana ukaona zinajipinga, na ndiyo maana umeshindwa kuonyesha hilo. Kwanini nasema hivyo. Unapo sema Allah ni muweza wa yote, maana hayo unayo yaona yanatokea katika maovu, majanga na mengine ni kwamba ameruhusu yatokee, na kama angetaka basi yasingetokea, hii ndiyo maana ya muweza wa yote.
Habari hizi zinajipingaje?
Hili huwezi kuonyesha sababu ya maarifa yako kuwa machache juu ya jambo hili. Nakuonyesha kwanini.
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kwa nini kaumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kutokea, wakati alikuwa na uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kutokea na hata hayajulikani kabisa?
Sababu ya uwezo wake ndiyo maana ameruhusu mabaya yatokee, na kabla ya hapo aliweka muongozo juu ya baya na jema, akatuma wajumbe ba akatupa akili za kufikiri bali akaweka siku ya malipo.
Habari ya kuwepo kw Mungu huyu, ni sawa na kusema kwamba, kuna pembetatu ambayo hapo hapo ni duara katika plane Euclidean geometry.

Wakati tunajua pembetatu haiwezi kuwa duara na duara haliwezi kuwa pembetatu kwa wakati huo huo.

Habari ya kuwep kwa Mungu wako ni ya uongo kama habari ya kuwepo kwa pembetatu ambayo pia ni duara kwa wakati huo huo katika plane Euclidean geometry ilivyo uongo.
Huu ni mfano wa kitoto sana ambao kiuhalisia haukidhi haja ya hoja ambayo iko mezani. Nilishawahi kuukosoa zaidi ta mara mbili.

Bado hujathibitisha na kuonyesha uongo wa habari hizi.
Nimekueleza kimantiki kwa nini habari ya kuwepo kwa Mungu wako mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote ni ya uongo.
Mantiki haijajibu swali hilo, sababu umedhihirisha hujui chochote kumuhusu Mola.

Leo nakupa zawadi kama unajua lugha ya Kiarabu tafuta kitabu hiki :

IMG_20210520_072251_057.jpg


Hiki kitabu kimeandikwa na mwanazuoni mkubwa aliyewakosoa watu wa mantiki na wanafalsafa, hicho kitabu kina volume 5 kama unavyo kiona. Kitafute kisome kitakusaidia sana hasa katika kuhoji.
 
Kutobadilisha chochote sio kigezo cha kufanya lisijibiwe kwanza hiyo ni personal view

Ukitaka wote tutumie mbinu hiyo utakosa hata nguvu ya kudai majibu kwa mtu uliyemuuliza maswali kwsababu anaweza kukuoa majibu kama hayo hayo kuku-shut down
Soma na uelewe nilichokiandika.

Shukrani.
 
Msingi wa hoja zako umemili katika dhana na uchachefu wa maarifa.

Kila mwanadamu ameumbwa kwa umbile ya kukubali uwepo wake na kuamini. Kisha wazazi wake au walezi wake na jamii inayomzunguka inamuongoza au kumuharibu. Leo hii ukimkuta mtu ambaye hajamezeshwa fikra chafu ukimueleza habari za Mola hawezi kuzipinga sababu akili yake bado iko salama.

Allah amejiweka wazi kwa uwazi ambao mchana wake ni sawa usiku wake hapotei humo ila mwenye kutaka, ndiyo maana wakana Mungu huwa mnaandika vitu vya kipumbavu mpaka sisi wenye akili tunawacheka.

Mjadala unakuja kwa nyinyi ambao hamna maarifa mnapinga juu ya mambo msiyo yajua. Mijadala hii isingekuwepo endapo nyinyi wajinga mngekuwa mnataka kujifunza na kufikiri kwa usahihi.

Nakuja kuendelea hapa nilipoishia.
Kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kuwepo wakati aliweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kuwepo?

Hujajibu hili swali.
 
Ngoja nikusaidie kitu kimoja. Habari za uwepo wa Mola hazijawahi kujipinga kwa zenyewe.

Ulichokiandika hapa kimeonyesha wazi ya kuwa hukijui unachokijadili, ndiyo maana ukaona zinajipinga, na ndiyo maana umeshindwa kuonyesha hilo. Kwanini nasema hivyo. Unapo sema Allah ni muweza wa yote, maana hayo unayo yaona yanatokea katika maovu, majanga na mengine ni kwamba ameruhusu yatokee, na kama angetaka basi yasingetokea, hii ndiyo maana ya muweza wa yote.

Hili huwezi kuonyesha sababu ya maarifa yako kuwa machache juu ya jambo hili. Nakuonyesha kwanini.

Sababu ya uwezo wake ndiyo maana ameruhusu mabaya yatokee, na kabla ya hapo aliweka muongozo juu ya baya na jema, akatuma wajumbe ba akatupa akili za kufikiri bali akaweka siku ya malipo.

Huu ni mfano wa kitoto sana ambao kiuhalisia haukidhi haja ya hoja ambayo iko mezani. Nilishawahi kuukosoa zaidi ta mara mbili.

Bado hujathibitisha na kuonyesha uongo wa habari hizi.

Mantiki haijajibu swali hilo, sababu umedhihirisha hujui chochote kumuhusu Mola.

Leo nakupa zawadi kama unajua lugha ya Kiarabu tafuta kitabu hiki :

View attachment 2165554

Hiki kitabu kimeandikwa na mwanazuoni mkubwa aliyewakosoa watu wa mantiki na wanafalsafa, hicho kitabu kina volume 5 kama unavyo kiona. Kitafute kisome kitakusaidia sana hasa katika kuhoji.
Kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kuwepo wakati aliweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kuwepo?

Hujajibu hili swali.
 
Kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kuwepo wakati aliweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kuwepo?

Hujajibu hili swali.
Soma vizuri nimekujibu swali hilo. Nimejibu swali lako sema hujaelewa au hujaona.

Ameruhusu yote yatokee, mabaya na mazuri, akatupa uhuru wa kuchagua, kisha akatuletea ujumbe wa muongozo. Kwahiyo angetaka kufanya hivyo pia angefanya.

Maana yake hili halithibitishi ya kuwa Allah hayupo kwa vyovyote sababu yeye ni muweza wa yote.
 
Kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kuwepo wakati aliweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kuwepo?

Hujajibu hili swali.
Nikujibu mara ngapi hilo swali ?
 
Soma vizuri nimekujibu swali hilo. Nimejibu swali lako sema hujaelewa au hujaona.

Ameruhusu yote yatokee, mabaya na mazuri, akatupa uhuru wa kuchagua, kisha akatuletea ujumbe wa muongozo. Kwahiyo angetaka kufanya hivyo pia angefanya.

Maana yake hili halithibitishi ya kuwa Allah hayupo kwa vyovyote sababu yeye ni muweza wa yote.

Nakuuliza kwa nini karuhusu mabaya yaweze kuwepo wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kutokea?

Unanijibu ameruhusu mabaya na mazuri.

Hapo unaona umetoa jibu linalokidhi kimantiki?

Hujatoa jibu la kuondoa utata wa kimantiki.

Umekubali kwamba Mungu kaumba ulimwengu unaoruhusu mabaya kuwapo.

Mimi nakuuliza, kwa nini kaumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kuwapo wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kuwepo?
 
Nikujibu mara ngapi hilo swali ?
Hujajibu. Umefanya maigizo kwamba umejibu.

Nakuuliza kwa nini Mungu karuhusu mabaya yaweze kuwepo wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kutokea?

Unanijibu ameruhusu mabaya na mazuri.

Hapo unaona umetoa jibu linalokidhi kimantiki?

Hujatoa jibu la kuondoa utata wa kimantiki.

Umekubali kwamba Mungu kaumba ulimwengu unaoruhusu mabaya kuwapo.

Mimi nakuuliza, kwa nini kaumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kuwapo wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kuwepo?

Ondoa mapokeo uliyopewa ya kidini.

Fikiria kimantiki.

Mungu kakaa, kabla ya kitu chochote kuwapo.

Ana uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kuwepo.

Kwa nini aumbe ulimwengu ambao mabaya yanaweza kuwepo?
 
Hoja yako iko wapi ?
Hoja ni umuamini Allah au usimuamini haikuna impact yoyote yeye kashapanga na hakuna Cha kubadili

Amesema wazi mtu mwovu atapata bikra 72 na mtu anaemuabudi yeye atapata kiberiti ni yeye ndie kashapanga
 
Hoja ni umuamini Allah au usimuamini haikuna impact yoyote yeye kashapanga na hakuna Cha kubadili

Amesema wazi mtu mwovu atapata bikra 72 na mtu anaemuabudi yeye atapata kiberiti ni yeye ndie kashapanga
Allah kawaambia waamini kwamba kuna watu fulani wala wasihangaike nao.

Watu hao wamemkataa Allah, na Allah atawafanya mioyo yao iwe migumu, atawaziba macho na masikio wasimjue.

Kisha atawapa adhabu kali.

Sasa kwa kufikiria kimantiki, Mungu mwenye upendo wote, ujuzi wote na uwezo wote, kwa nini anawaziba watu masikio na macho wasimjue?

Badala ya kuifanya mioyo yao myepesi wamjue, anazidi kuifanya migumu wasimjue.

Halafu anawaadhibu.

Yani baba anamnyima mtoto wake asiende shule, ili mtoto asijue kusoma wala kuandika.

Halafu baba huyo huyo anamuadhibu mtoto kwa kutojua kusoma.

Halafu unaambiwa huyo baba ana huruma sana, ana haki sana.

Na wewe unakubali!
 
Nakuuliza kwa nini karuhusu mabaya yaweze kuwepo wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kutokea?
Nimeshakujibu zaidi ya mara moja. Hii ni kwa sababu yeye ana uwezo huo. Swali la msingi kwanini majanga ameruhusu yatokee. Kwasababu ya sisi kuzinduka na kuacha mabaya, ziko sababu mbili au zaidi ambazo Allah amefanya au anaruhusu majanga kutokea.

1. Kutokana na madhambi yetu.
2. Kutumbusha juu ya uwepo.

Ulimwengu ambao mabaya hayatokei huondoa mambo mawili :

1. Uhuru wa mja kutenda anayo yataka
2. Lengo la kuumbwa kwetu huondoka.
Unanijibu ameruhusu mabaya na mazuri.
Nimekuonyesha pale ambapo akili yako imekomea. Hapa nakuuliza swali, unawezaje kuulezea ulimwengu ambao mabaya hayatokei ?
Hapo unaona umetoa jibu linalokidhi kimantiki?
Jibu langu limekamilika na halitegemei mantiki ili kuwa sahihi.


Hujatoa jibu la kuondoa utata wa kimantiki.
Hakuna utata wa kimantiki hapo, sababu jibi limejitosheleza. Utata unao uona hapo ni kutokana na ufinyu wa maarifa yako na uwezo wako mdogo wa kufikiri.
Mimi nakuuliza, kwa nini kaumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kuwapo wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kuwepo?
Nimeshakujibu.
Ondoa mapokeo uliyopewa ya kidini.
Nayaondoa vipi wakati yenyewe ndiyo yanatupa majibu sahihi ?
Fikiria kimantiki.
Siwezi kufikiri kimantik, nafikiri zaidi ya mantiki yenu ilipoishia.
Mungu kakaa, kabla ya kitu chochote kuwapo.

Ana uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kuwepo.

Kwa nini aumbe ulimwengu ambao mabaya yanaweza kuwepo?
Nimeshakujibu tayari.
 
Hoja ni umuamini Allah au usimuamini haikuna impact yoyote yeye kashapanga na hakuna Cha kubadili

Amesema wazi mtu mwovu atapata bikra 72 na mtu anaemuabudi yeye atapata kiberiti ni yeye ndie kashapanga
Poa.
 
Hujajibu. Umefanya maigizo kwamba umejibu.

Nakuuliza kwa nini Mungu karuhusu mabaya yaweze kuwepo wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kutokea?

Unanijibu ameruhusu mabaya na mazuri.

Hapo unaona umetoa jibu linalokidhi kimantiki?

Hujatoa jibu la kuondoa utata wa kimantiki.

Umekubali kwamba Mungu kaumba ulimwengu unaoruhusu mabaya kuwapo.

Mimi nakuuliza, kwa nini kaumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kuwapo wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kuwepo?

Ondoa mapokeo uliyopewa ya kidini.

Fikiria kimantiki.

Mungu kakaa, kabla ya kitu chochote kuwapo.

Ana uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kuwepo.

Kwa nini aumbe ulimwengu ambao mabaya yanaweza kuwepo?
Labda useme nikujibu mara ngapi ?
 
Labda useme nikujibu mara ngapi ?
Hujajibu hata mara moja.

Kwa nini Mungu hakuumba ulimwengu ambao hauwezekani kuwa na mabaya, wakati uwezo wa kufanya hivyo alikuwa nao?

Ukishaanza kusema ameumba mabaya na mazuri tu umekosea kujibu.

Nimekuuliza kwa nini karuhusu mabaya yawepo, si kaumba mabaya na nini.
 
Nimeshakujibu zaidi ya mara moja. Hii ni kwa sababu yeye ana uwezo huo. Swali la msingi kwanini majanga ameruhusu yatokee. Kwasababu ya sisi kuzinduka na kuacha mabaya, ziko sababu mbili au zaidi ambazo Allah amefanya au anaruhusu majanga kutokea.

1. Kutokana na madhambi yetu.
2. Kutumbusha juu ya uwepo.

Ulimwengu ambao mabaya hayatokei huondoa mambo mawili :

1. Uhuru wa mja kutenda anayo yataka
2. Lengo la kuumbwa kwetu huondoka.

Nimekuonyesha pale ambapo akili yako imekomea. Hapa nakuuliza swali, unawezaje kuulezea ulimwengu ambao mabaya hayatokei ?

Jibu langu limekamilika na halitegemei mantiki ili kuwa sahihi.



Hakuna utata wa kimantiki hapo, sababu jibi limejitosheleza. Utata unao uona hapo ni kutokana na ufinyu wa maarifa yako na uwezo wako mdogo wa kufikiri.

Nimeshakujibu.

Nayaondoa vipi wakati yenyewe ndiyo yanatupa majibu sahihi ?

Siwezi kufikiri kimantik, nafikiri zaidi ya mantiki yenu ilipoishia.

Nimeshakujibu tayari.
Nimekuuliza kabla ya dhambi zetu kuwapo, kwa nini Mungu aliumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kutokea, kwa nini hakuumba ulimwengu ambao dhambi haiwezi kutokea?

Unajibu "kutokana na madhambi yetu".

Wewe hata swali umelielewa?

Unajibu "kutukumbusha kuhusu uwepo".

Kwani Mungu alishindwa kuumba ulimwengu ambao hatuwezi kusahau uwepo wake, lakini hauruhusu mabaya?
 
Hujajibu hata mara moja.

Kwa nini Mungu hakuumba ulimwengu ambao hauwezekani kuwa na mabaya, wakati uwezo wa kufanya hivyo alikuwa nao?

Ukishaanza kusema ameumba mabaya na mazuri tu umekosea kujibu.

Nimekuuliza kwa nini karuhusu mabaya yawepo, si kaumba mabaya na nini.
Nikujibu mara ngapi ?
 
Nimekuuliza kabla ya dhambi zetu kuwapo, kwa nini Mungu aliumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kutokea, kwa nini hakuumba ulimwengu ambao dhambi haiwezi kutokea?

Unajibu "kutokana na madhambi yetu".

Wewe hata swali umelielewa?

Unajibu "kutukumbusha kuhusu uwepo".

Kwani Mungu alishindwa kuumba ulimwengu ambao hatuwezi kusahau uwepo wake, lakini hauruhusu mabaya?
Hakuna swali ambalo sijajibu.

Allah hakushindwa kufanya hivyo, hili nimeshakujibu zaidi ya mara moja naona unarudia tena na tena.

Kwamba ni uongo kwamba hatukumbushi kupitia mabaya na adhabu anazo tupa ? Unatakiwa ukosoe nianchokoandika siyo unanukui tena kauli zangu.

Kila jambo linatokea kwa sababu, nilikujibu kadhalika sababu za yeyw kuruhusu mabaya yatokee na kwanini yanatokea. Sasa unaposema sijakujibu bila kuonyesha udhaifi au uongo wa majibu yangu, huku ni kukimbia hoja.

Mimi kun maswali nimekuuliza hujayajibu mpaka muda huu.
 
Back
Top Bottom