Wanaopinga uwepo wa Mungu ni wakaidi

Wanaopinga uwepo wa Mungu ni wakaidi

Hakuna swali ambalo sijajibu.

Allah hakushindwa kufanya hivyo, hili nimeshakujibu zaidi ya mara moja naona unarudia tena na tena.

Kwamba ni uongo kwamba hatukumbushi kupitia mabaya na adhabu anazo tupa ? Unatakiwa ukosoe nianchokoandika siyo unanukui tena kauli zangu.

Kila jambo linatokea kwa sababu, nilikujibu kadhalika sababu za yeyw kuruhusu mabaya yatokee na kwanini yanatokea. Sasa unaposema sijakujibu bila kuonyesha udhaifi au uongo wa majibu yangu, huku ni kukimbia hoja.

Mimi kun maswali nimekuuliza hujayajibu mpaka muda huu.

Kwanza kabisa, unaelewa kwamba swali siyo kuwa kashindwa, bali kwa nini hakuumba ulimwengu ambao hauwezekani kuwa na mabaya?

Ulimwengu huo ungekuwa logically consistent na Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na ujuzi wote.

Ulimwengu huu tunaouona unaoruhusu mabaya hauko logically consistent na Mungu huyo. Unaonesha Mungu huyo hayupo.

Kwanini Mungu atumie mabaya kutukumbusha? Watoto wafe, magonjwa yaenee, matetemeko ya ardhi, mafuriko etc?

Hii dunia inayoruhusu maovu inapingana na nature yake ya upendo wote.

Kwa nini hakuumba ulimwengu ambao maovu hayawezekani kuwapo, na watu bado wanamkumbuka?
 
Soma vizuri nimekujibu swali hilo. Nimejibu swali lako sema hujaelewa au hujaona.

Ameruhusu yote yatokee, mabaya na mazuri, akatupa uhuru wa kuchagua, kisha akatuletea ujumbe wa muongozo. Kwahiyo angetaka kufanya hivyo pia angefanya.

Maana yake hili halithibitishi ya kuwa Allah hayupo kwa vyovyote sababu yeye ni muweza wa yote.
Unashindwa kumuelewa mdau

Swala la kupewa uhuru ni swala lililokuja baadaye baada ya yeye kuumba ulimwengu ambao unaweza kuruhusu ubaya. Kwa hiyo kukomaa kwenye tukio la mbele ambalo lilijiri baada ya uumbaji unakuwa hujaelewa hoja ya mdau

Hoja ya mdau inazungumzia kabla ya ulimwengu kuumbwa, kwamba inadaiwa kuwa Mungu huyu ni omnipotent, omnibenevolent na pia ni omniscient

Omnipotent: ana nguvu ya kuzuia maovu yasiweze kutokea

omnibenevolent: ana upendo wote na mwenye utayari wa kuzuia mabaya

Omniscient: Mwenye ujuzi wote wa kuelewa ni njia gani uovu unaweza ukapenya, na mwenye kujua ni njia gani ambayo inaweza kuzuia huo uovu

Mungu mwenye kujua njia zote ambazo dhambi na maovu yanaweza yakaja kutokea, Mungu mwenye uwezo wa kuzuia hayo yote yasiwepo, mwenye kila sababu ya kufanya hivyo angezuia maovu yasiwepo.

Kama kungekua na Mungu mwenye ujuzi wote, upendo wote na muweza wa yote basi uovu usingekuwepo

Uovu upo. Hiyo inamaanisha hauwezi kuwa na vyote viwili kwa mpigo (contradiction) yani kuwepo na uovu halafu at the same time kuwe na Mungu mjuzi wa yote, mwenye upendo wote na muweza wa yote

Uovu unathibitisha Mungu huyo hayupo
 
Wapinga Mungu ni watu walioamua kukimbia dini na majukumu yake
 
Kwanza kabisa, unaelewa kwamba swali siyo kuwa kashindwa, bali kwa nini hakuumba ulimwengu ambao hauwezekani kuwa na mabaya?
Naona unazunguka pale pale na jibu nimeshakupa. Nakusaidia kwa mtindo huu. Allah ni muweza wa yote.

Nakupa mfano wa namna ambavyo Allah anafanya mambo yake, kwa hekima na kwa malengo maalumu. Anasema Allah aliye juu katika Qur'aan :

51. Na tungeli taka tungeli peleka katika kila mji Mwonyaji. (al-Furqaan : 51)

Leo hii kuna jambo kuhusu kwanini hakuna Mtume muafrika au kwanini au hakutoka Afrika. Allah anajibu kwa mtindo huo. Huo ni mfano tu.

Hili swali nilishakujibu tangu ulipo niuliza sababu ni mtu wa kupoteza muda na kutokuwa na hoja unarudia swali lile lile. Allah ndiye ameruhusu au anaruhusu mabaya yatokee, sababu ana hekima zake na ndiyo utaratibu wake ameuweka na ndiyo bora zaidi. Unapo taka iwe unavyotaka mambo mengi yasingekuwepo na mngetaka iwe kinyume chake sababu Allah anatujua waja wake.

Ulimwengu ambao hauna mabaya angetaka kuumba angeumba ila ameumba ulimwengu ambai ndani yake ameruhusu mabaya yatokee kwa sababu ambazo nimeshakutajia huko juu.

Labda nikupe kazi jaribu juelezea au kuweka picha ya ulimwengu ambao mabaya yasikuwepo, ungekuwaje ulimwengu huo ?
Ulimwengu huo ungekuwa logically consistent na Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na ujuzi wote
Thibitisha hilo kisha nikuulize maswali ujibu, maana naona unakimbia maswali yangu. Kingine utuambie umejuaje kama ungekuwa "Logically consistent" wakati haujaudiriki ?


Ulimwengu huu tunaouona unaoruhusu mabaya hauko logically consistent na Mungu huyo. Unaonesha Mungu huyo hayupo.
Hilo nimeshakwambia ni uchachefu wako wa maarifa na kufikiria kwako kitoto ndiyo maana unaona hivyo kama unavyodai, ndiyo maana hiyo mantiki unayoitumia inashindwa kuthibitisha ya kuwa Mola hayupo. Hili nalo nilikueleza huko nyuma.

Kingine siyo ulimwengu ndiyo unao ruhusu bali ni Allah ndiye anaye ruhusu na kutaka iwe hivyo, na kama asingetaka isingekuwa hivyo. Yeye ndiyo muweza wa kila kitu.

Unaonyeshaje Mola hayupo ? Shida yako unashindwa kuelezea mchakato unavyo kwenda mpaka kufikia hatua ya kuthibitisha ya kuwa Mola hayupo, yaani unasema tu. Ngoja nikupe mfano, majanga au mabaya huwa yanadumu au hayadumu ? Yanapo ondoka majanga nani huyaondoa majanga hayo ? Je kuondoka kwa majanga na kuja faraja huashiria nini ?

Mimi nataka unionyeshe mtiririko wa hitimisho lako umeanzia wapi na umeishia.
Kwanini Mungu atumie mabaya kutukumbusha? Watoto wafe, magonjwa yaenee, matetemeko ya ardhi, mafuriko etc?
Maisha hayaishii duniani. Mfano mzuri watu wenye akili huwa wanajiuliza hivi, hivi ni kweli sisi tupo duniani tu tuishi halafu tufe iwe basi ? Vipi kuhusu mafisadi vipi kuhusu wenye kufanya dhuluma na kuwaua watu bila hatia ? Jibu linakuja ya kuwa tunaishi kwa malengo maalumu na maisha hayaishii duniani bali kuna siku ya malipo.

Safi kabisa, sababu ni mambo yanagusa hisia za watu moja kwa moja na kwa haraka sana. Watoto kufa, hufa kwa wakati wao unapofika na maisha hayaishii kwenye kufa tu, kadhalika ameleta kila ugonjwa na dawa zake, ndiyo maana kuna ugonjwa na dawa zake, na maradhi ni sababu ya kufutiw mtu madhambi yake.

Unapoleta mafuriko na ndiyo yeye mwenyewe huyaondoa hayo mafuriko, kadhalika matetemeko.
Hii dunia inayoruhusu maovu inapingana na nature yake ya upendo wote.

Kwa nini hakuumba ulimwengu ambao maovu hayawezekani kuwapo, na watu bado wanamkumbuka?
Dunia hairuhusu, bali Allah ndiyo anaruhusu na kutaka iwe hivi ilivyo, huo ndio uwezo wa Allah mtukufu.

Sababu amejaalia kila jambo na sababu zake.

Kingine cha kustaajabisha, nataka nikuonyeshe ujinga wako ulipo katika hili hili swali, jalia kwamba hajaumba huo ulimwengu unao utaka wewe, vipi kupitia majanga na maovu kuwepo kuthibitishe ya kuwa Mola hayupo ?
 
Unashindwa kumuelewa mdau
Mnastaajabisha hakuna sehemu ambayo sijamuelewa, swali lake nimejibu zaidi ya mara tatu humu ndani, yeye ndiyo haelewi jibu langu.
Swala la kupewa uhuru ni swala lililokuja baadaye baada ya yeye kuumba ulimwengu ambao unaweza kuruhusu ubaya. Kwa hiyo kukomaa kwenye tukio la mbele ambalo lilijiri baada ya uumbaji unakuwa hujaelewa hoja ya mdau
Ndiyo maana nasema hivi hamuelewi majibu yangu. Mwanadamu ndiyo kiumbe wa mwisho kuumbwa. Siyo kwamba ulimwengu ndiyo unao ruhusu, bali ni yeye Allah mwenyewe anaruhusu mabaya yatokee eleweni hili. Maana yake kwa vyovyote vile hoja haina mashiko.

Nyinyi hamjaelewa sababu hayo matukio ni katika sehemu ya uumbaji wa Allah mtukufu. Hoja yenu iko wapi ?
Hoja ya mdau inazungumzia kabla ya ulimwengu kuumbwa, kwamba inadaiwa kuwa Mungu huyu ni omnipotent, omnibenevolent na pia ni omniscient
Siyo kwamba inadaiwa bali uhalisia ndiyo uko hivyo. Fikra zenu zimemili upande mmoja, huku mkiwa hamjui nini lengo kwa kuumbwa kwenu.

Allah alivyo tuumba alituumba kwa lengo maalumu, kupitia lengo hili akaambatanisha na yote yanayo husiana na lengo hilo.

Mathalani nikikuuliza wewe swali, kwanini unaish duniani ? Hakika hujui kwanini. Sasa nitakuuliza hivi tupo duniani tuishi tu halafu tufe au ? Kupitia maswali haya ndiyo unarudi katika lile lengo la sisi kuumbwa kwetu ambalo limeambatana na mema na mabaya, mwanamke na mwanaume, mbingu na ardhi na mfano wa hayo.
Omnipotent: ana nguvu ya kuzuia maovu yasiweze kutokea

omnibenevolent: ana upendo wote na mwenye utayari wa kuzuia mabaya

Omniscient: Mwenye ujuzi wote wa kuelewa ni njia gani uovu unaweza ukapenya, na mwenye kujua ni njia gani ambayo inaweza kuzuia huo uovu
Na ana uwezo wa kuruhusu pia mabaya yatokee, usiangalie upande mmoja tu. Ndiyo maana huzuni au majanga huwa hayadumu. Hujiulizi hili ? Au nyinyi ndiyo huwa mnayaondooa mafuriko na matetemeko ya ardhi ? Jaribuni kufikiria japo kidogo.

Upendo wa Allah ni kamilifu, ona leo hii wewe na wenzako mnamkana lakini anawapa muda na kuwaruzuku pumzi na mengineyo. Lakini angetaka kuwaangamiza wote au kutufanya sote tumuamini pia angeweza, ila ameweka utaratibu wenye kuendana na lengo la sisi kutuumba.
Mungu mwenye kujua njia zote ambazo dhambi na maovu yanaweza yakaja kutokea, Mungu mwenye uwezo wa kuzuia hayo yote yasiwepo, mwenye kila sababu ya kufanya hivyo angezuia maovu yasiwepo.
Yaani yeye anayaleta maovu na kuyaondosha. Nimekuuliza swali huko, haya mafuriko yanapo kuja ni nani huwa anayaondosha au yanaondoka yenyewe ? Na kama yanaondoka yenyewe kwanini yasidumu ? Tunarudi kule kule katika kutukumbusha.
Kama kungekua na Mungu mwenye ujuzi wote, upendo wote na muweza wa yote basi uovu usingekuwepo
Sasa ndiyo mthibitishe sasa mmejuaje hili ? Yaani mafungamano ya hayo na kutokuwepo kwake ni yapi ?

Je majanga yanadumu ? Vipi yanapo ondoka huthibitisha Mola yupo ? Au nani anayaondosha hayo majanga pindi yanapo ondoka ?
Uovu upo. Hiyo inamaanisha hauwezi kuwa na vyote viwili kwa mpigo (contradiction) yani kuwepo na uovu halafu at the same time kuwe na Mungu mjuzi wa yote, mwenye upendo wote na muweza wa yote
Wema upo. Hakuna mkanganyiko hapo, labda uuonyeshe leo hii (hili najua huwezi). Huoni kuna mchana na kuna usiku ? Kuna uhai na kuna kifo ? Kuna mwanaume na kuna mwanamke ? Hii pia ni contradiction ? Au contradiction inakuja kwenye uovu tu ? Allah ameumba uwili mpaka kwa vile ambavyo hatuvijui.

Upendo wa Allah, ujuzi wake unaambatana na sheria na nidhamu na malengo.
Uovu unathibitisha Mungu huyo
Kivipi ? Hili mbona hamthibitishi mnaishia kusema tu ? Vipi uovu uthibitishe Mola hayupo wakati yeye ni muweza wa yote ?

Wema unathibitisha nini nao ? Uovu unadumu ? Vipi mtu anapokuwa mwema au majanga yanapo ondoka ? Hapo Mola huwa anakuwepo au ni nani anayaleta majanga na nani anayandoa ?

Naombeni mjibu maswali yangu sasa. Maswalo yenu nimeshayajibu sana.

Shukrani.
 
Naona unazunguka pale pale na jibu nimeshakupa. Nakusaidia kwa mtindo huu. Allah ni muweza wa yote.

Nakupa mfano wa namna ambavyo Allah anafanya mambo yake, kwa hekima na kwa malengo maalumu. Anasema Allah aliye juu katika Qur'aan :

51. Na tungeli taka tungeli peleka katika kila mji Mwonyaji. (al-Furqaan : 51)

Leo hii kuna jambo kuhusu kwanini hakuna Mtume muafrika au kwanini au hakutoka Afrika. Allah anajibu kwa mtindo huo. Huo ni mfano tu.

Hili swali nilishakujibu tangu ulipo niuliza sababu ni mtu wa kupoteza muda na kutokuwa na hoja unarudia swali lile lile. Allah ndiye ameruhusu au anaruhusu mabaya yatokee, sababu ana hekima zake na ndiyo utaratibu wake ameuweka na ndiyo bora zaidi. Unapo taka iwe unavyotaka mambo mengi yasingekuwepo na mngetaka iwe kinyume chake sababu Allah anatujua waja wake.

Ulimwengu ambao hauna mabaya angetaka kuumba angeumba ila ameumba ulimwengu ambai ndani yake ameruhusu mabaya yatokee kwa sababu ambazo nimeshakutajia huko juu.

Labda nikupe kazi jaribu juelezea au kuweka picha ya ulimwengu ambao mabaya yasikuwepo, ungekuwaje ulimwengu huo ?

Thibitisha hilo kisha nikuulize maswali ujibu, maana naona unakimbia maswali yangu. Kingine utuambie umejuaje kama ungekuwa "Logically consistent" wakati haujaudiriki ?



Hilo nimeshakwambia ni uchachefu wako wa maarifa na kufikiria kwako kitoto ndiyo maana unaona hivyo kama unavyodai, ndiyo maana hiyo mantiki unayoitumia inashindwa kuthibitisha ya kuwa Mola hayupo. Hili nalo nilikueleza huko nyuma.

Kingine siyo ulimwengu ndiyo unao ruhusu bali ni Allah ndiye anaye ruhusu na kutaka iwe hivyo, na kama asingetaka isingekuwa hivyo. Yeye ndiyo muweza wa kila kitu.

Unaonyeshaje Mola hayupo ? Shida yako unashindwa kuelezea mchakato unavyo kwenda mpaka kufikia hatua ya kuthibitisha ya kuwa Mola hayupo, yaani unasema tu. Ngoja nikupe mfano, majanga au mabaya huwa yanadumu au hayadumu ? Yanapo ondoka majanga nani huyaondoa majanga hayo ? Je kuondoka kwa majanga na kuja faraja huashiria nini ?

Mimi nataka unionyeshe mtiririko wa hitimisho lako umeanzia wapi na umeishia.

Maisha hayaishii duniani. Mfano mzuri watu wenye akili huwa wanajiuliza hivi, hivi ni kweli sisi tupo duniani tu tuishi halafu tufe iwe basi ? Vipi kuhusu mafisadi vipi kuhusu wenye kufanya dhuluma na kuwaua watu bila hatia ? Jibu linakuja ya kuwa tunaishi kwa malengo maalumu na maisha hayaishii duniani bali kuna siku ya malipo.

Safi kabisa, sababu ni mambo yanagusa hisia za watu moja kwa moja na kwa haraka sana. Watoto kufa, hufa kwa wakati wao unapofika na maisha hayaishii kwenye kufa tu, kadhalika ameleta kila ugonjwa na dawa zake, ndiyo maana kuna ugonjwa na dawa zake, na maradhi ni sababu ya kufutiw mtu madhambi yake.

Unapoleta mafuriko na ndiyo yeye mwenyewe huyaondoa hayo mafuriko, kadhalika matetemeko.

Dunia hairuhusu, bali Allah ndiyo anaruhusu na kutaka iwe hivi ilivyo, huo ndio uwezo wa Allah mtukufu.

Sababu amejaalia kila jambo na sababu zake.

Kingine cha kustaajabisha, nataka nikuonyeshe ujinga wako ulipo katika hili hili swali, jalia kwamba hajaumba huo ulimwengu unao utaka wewe, vipi kupitia majanga na maovu kuwepo kuthibitishe ya kuwa Mola hayupo ?
Unaelewa Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kuumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati ana uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kufanyika ni logically inconsistent?

Ukikubali suala hilo ni sawa na ukubali kwamba kuna pembetatu ambayo hapo hapo ni duara katika plane Euclidean geometry?

Unaelewa hilo?
 
Wapinga Mungu ni watu walioamua kukimbia dini na majukumu yake
Habari za kuwepo kwa Mungu muweza yote, mwenye ujuzi wote na upendo wote zinajipinga zenyewe kabla mtu hajazipinga.

Wewe inawezekana hujaelewa tu kwa sababu uwezo wako wa kuelewa ni mdogo.

Hiyo nayo ni alama kwamba Mungu hayupo.

Angekuwepo, asingekunyima uelewa.
 

Dark Matter and Dark Energy​

Astronomers know more about what dark matter is not than what it actually is.

(Image credit: Karl Tate/Space.com)


Most of the universe is made up of dark energy, a mysterious force that drives the accelerating expansion of the universe. The next largest ingredient is dark matter, which only interacts with the rest of the universe through its gravity. Normal matter, including all the visible stars, planets and galaxies, makes up less than 5 percent of the total mass of the universe.


Astronomers cannot see dark matter directly, but can study its effects. They can see light bent from the gravity of invisible objects (called gravitational lensing). They can also measure that stars are orbiting around in their galaxies faster than they should be.

This can all be accounted for if there were a large amount of invisible matter tied up in each galaxy, contributing to its overall mass and rotation rate.

Astronomers know more about what dark matter is not than what it is.

Dark matter is dark: It emits no light and cannot be seen directly, so it cannot be stars or planets.

Dark matter is not clouds of normal matter: Normal matter particles are called baryons. If dark matter were composed of baryons it would be detectable through reflected light. [Gallery: Dark Matter Throughout the Universe]

Dark matter is not antimatter: Antimatter annihilates matter on contact, producing gamma rays. Astronomers do not detect them.

Dark matter is not black holes: Black holes are gravity lenses that bend light. Astronomers do not see enough lensing events to account for the amount of dark matter that must exist.

Structure in the universe formed on the smallest scales first. It is believed that dark matter condensed first to form a “scaffolding,” with normal matter in the form of galaxies and clusters following the dark matter concentrations.

Scientists are using a variety of techniques across the disciplines of astronomy and physics to hunt for dark matter:
  • Particle colliders such as the Large Hadron Collider.
  • Cosmology instruments such as WMAP and Planck.
  • Direct detection experiments including CDMS, XENON, Zeplin, WARP, ArDM and others.
  • Indirect detection experiments including: Gamma ray detectors (Fermi from space and Cherenkov Telescopes from the ground); neutrino telescopes (IceCube, Antares); antimatter detectors (Pamela, AMS-02) and X-ray and radio facilities.
 
Wote mnafurahia maisha kabisa hapo
Mmoja anaamin mmoja haamini ..
Kila mtu anafurahia kutoamini .. upande wa mwenzake .. maana Kila mtu ana hoja anazozimini yeye...

YEYE alietuumba ananifurahisha sana...
Nayapenda maisha alio nipatia maana nayapenda ninavyopendezwa na vile watu ambao hawapendezwi na ninavoamini...

Kuna UELEWA, Kuna IMANI
Sasa Kuna watu wana uelewa na Imani .. na Kila mtu yupo pande zote kwa wanaomin na wasio amini ...

LABDA SIJUI NILICHOANDIKA
 
Wote mnafurahia maisha kabisa hapo
Mmoja anaamin mmoja haamini ..
Kila mtu anafurahia kutoamini .. upande wa mwenzake .. maana Kila mtu ana hoja anazozimini yeye...

YEYE alietuumba ananifurahisha sana...
Nayapenda maisha alio nipatia maana nayapenda ninavyopendezwa na vile watu ambao hawapendezwi na ninavoamini...

Kuna UELEWA, Kuna IMANI
Sasa Kuna watu wana uelewa na Imani .. na Kila mtu yupo pande zote kwa wanaomin na wasio amini ...

LABDA SIJUI NILICHOANDIKA
Umeandika kisiasa sana. Kuna uelewa ukiukubali lazima upingane na imani. Mfano kila mtu anaamini ndugu yake mwema hadi anakutana na ushahidi wa kitendo alichotenda nduguye kisicho chema. Huwezi kuendelea kumuamini kiongozi yoyote yule baada ya kufanya madudu kwenye uongozi wake.

Hivyo huwezi kuelewa dunia na ulimwengu unavyoenda bado ukawa na hizi imani za uumbaji wa dunia na ulimwengu. Huwezi kuelewa uhai unavyokuwa na kuendelea au hata kuanza halafu bado ukabaki na hizi imani za uumbaji wa viumbe ikiwemo wanadamu.

Kutakuwa na tatizo sehemu.
 
Wote mnafurahia maisha kabisa hapo
Mmoja anaamin mmoja haamini ..
Kila mtu anafurahia kutoamini .. upande wa mwenzake .. maana Kila mtu ana hoja anazozimini yeye...

YEYE alietuumba ananifurahisha sana...
Nayapenda maisha alio nipatia maana nayapenda ninavyopendezwa na vile watu ambao hawapendezwi na ninavoamini...

Kuna UELEWA, Kuna IMANI
Sasa Kuna watu wana uelewa na Imani .. na Kila mtu yupo pande zote kwa wanaomin na wasio amini ...

LABDA SIJUI NILICHOANDIKA
Uelewa una tabia ya kuua au kuhakiki imani... sasa swali la msingi: Utaelewaje vizuri mambo yanayopingana na imani husika halafu ukabaki kuwa mwaminifu? Tueleze vizuri.
 
Wanaokana mungu huwa wanahoja mbalimbali katika kupinga uwepo wa mungu, pia huwa wanakosoa mafunzo ya dini ili kutilia mkazo zaidi katika hilo.

Lakini ukweli ni kwamba, sio kama hoja zao zinathibitisha kutokuwepo kwa mungu, hapana.
Bali hoja zao zinathibitisha kuwa wao ni wapingaji, hivyo hakuna andiko wala muujiza utakao wafanya waamini, sembuse hizi hoja ambazo huwa wanarumbana na watu Kila kukicha.

Na hivi ndivyo walivyo tangu enzi na enzi, hoja zao ni zilezile, na hata katika Quran, imeelezwa jinsi hawa watu walivyowakaidi.

Walipoonyeshwa miujiza waliita uchawi, maneno ya mwenyezimungu waliyaita hadhithi za kutunga, mitume waliwaita wachawi, machizi n.k.
(rejea; Quran 6:7,10:2,15:6, 46:17, 44:14, 40:56...)

Na katika kudhihirisha zaidi ukaidi wao, walifikia hadi kusema kumwambia mwenyezimungu, eti kama kweli hii (yaani yale aliyokujanayo mtume) ni haki kutoka kwako basi tuteremshie mawe kutoka mbinguni, au ututeremshie adhabu yenye kuumiza.(rejea; Quran 8:32)

Hii inaonyesha ni kiasi gani hawa watu ni wakaidi maana wangetaka kujua, wangeomba kuongozwa ila kwakuwa ni wakaidi wakaomba kuangamizwa.

Atakwambia thibitisha kama mungu yupo.

Sasa kama dalili alizoziweka mungu mwenyewe kuthibitisha uwepo wake hazijakukinaisha kuamini, unadhani hoja gani itakayokukinaisha.

Muktadha wa kupinga kwao ni kwamba mungu hayupo, hivyo hoja za kuthibitisha uwepo wake zote ni batili, lakini hata kama mungu yupo na hizi ndizo dalili alizoziweka kuthibitisha uwepo wake, basi ndio tayari wameshazipinga, maana hawakubalianinazo, hivyo ni wapingaji.

Kwahiyo tatizo sio ubora wa dawa ya sikio katika kutibu, bali tatizo ni kuwa hili ni sikio la kufa, hivyo halisikii dawa.
Sawa Mungu yupo,lakini jee,Mungu wa Waislamu na wa Wakristo ni sawa?
 
Labda nikupe kazi jaribu juelezea au kuweka picha ya ulimwengu ambao mabaya yasikuwepo, ungekuwaje ulimwengu huo ?
Mufti una tabu sana wewe

Nalo hili ni mzigo wa kumpa mdau kama swali la kufanyia kazi.!

Yaani unataka mdau aruhusu akili yake kuleta mapichapicha ya ulimwengu usio na mabaya utaonekanaje wakati al kitabul shabib Quran ni msaada tosha kwake..!?

Quran imetoa ahadi ya pepo(fildaus) isiyo na uovu na kuonesha kuwa vitu vinawezekana bila uovu

Mpaka sasa tunabaki tunajiuliza Allah anakwama wapi kwa mfano ..?

Yaani fildaus aweze kuna ni nini.!?

Huku duniani ashindwe kuna nini.!?

Yaani anatuweka mbali na mabikira wetu wakati vitu ni mserereko tu

Mbona Allah anapenda kufanya mambo magumu hivi jamani eeh.!? Eti Mufti, una nini wewe na allah wako.?
 
Mufti una tabu sana wewe

Nalo hili ni mzigo wa kumpa mdau kama swali la kufanyia kazi.!

Yaani unataka mdau aruhusu akili yake kuleta mapichapicha ya ulimwengu usio na mabaya utaonekanaje wakati al kitabul shabib Quran ni msaada tosha kwake..!?

Quran imetoa ahadi ya pepo(fildaus) isiyo na uovu na kuonesha kuwa vitu vinawezekana bila uovu

Mpaka sasa tunabaki tunajiuliza Allah anakwama wapi kwa mfano ..?

Yaani fildaus aweze kuna ni nini.!?

Huku duniani ashindwe kuna nini.!?

Yaani anatuweka mbali na mabikira wetu wakati vitu ni mserereko tu

Mbona Allah anapenda kufanya mambo magumu hivi jamani eeh.!? Eti Mufti, una nini wewe na allah wako.?
Hoja yako iko wapi ? Naona unalalama.
 
Umeandika
Umeandika kisiasa sana. Kuna uelewa ukiukubali lazima upingane na imani. Mfano kila mtu anaamini ndugu yake mwema hadi anakutana na ushahidi wa kitendo alichotenda nduguye kisicho chema. Huwezi kuendelea kumuamini kiongozi yoyote yule baada ya kufanya madudu kwenye uongozi wake.

Hivyo huwezi kuelewa dunia na ulimwengu unavyoenda bado ukawa na hizi imani za uumbaji wa dunia na ulimwengu. Huwezi kuelewa uhai unavyokuwa na kuendelea au hata kuanza halafu bado ukabaki na hizi imani za uumbaji wa viumbe ikiwemo wanadamu.

Kutakuwa na tatizo sehemu.
Nimekuelewa sana ndugu .. Ila najarbu kuishi na ndugu zangu kwa kuwaelewa wanachokosea .. na na kuishi kwenye changu ambacho sikijui .. WELCOME
 
Hoja yako iko wapi ? Naona unalalama.
Hoja yangu kwamba

Yeye Allah ni muweza yote na upendo wote na nguvu zote

Na kama anauwezo wa kutengeneza pepo isiyo na uovu wala mapungufu hiyo fildaus

Yaani kwanini tusingeanzia hapo kwenye fildaus mpaka atuchoshe huku na magonjwa na vifo na wengine hata kumjua hawamjui wakati yeye ndio mpango mzima
 
Hoja yangu kwamba

Yeye Allah ni muweza yote na upendo wote na nguvu zote

Na kama anauwezo wa kutengeneza pepo isiyo na uovu wala mapungufu hiyo fildaus

Yaani kwanini tusingeanzia hapo kwenye fildaus mpaka atuchoshe huku na magonjwa na vifo na wengine hata kumjua hawamjui wakati yeye ndio mpango mzima
Soma nimeshajibu hili swali zaidi ya mara mbili humu ndani.
 
Mnastaajabisha hakuna sehemu ambayo sijamuelewa, swali lake nimejibu zaidi ya mara tatu humu ndani, yeye ndiyo haelewi jibu langu.

Ndiyo maana nasema hivi hamuelewi majibu yangu. Mwanadamu ndiyo kiumbe wa mwisho kuumbwa. Siyo kwamba ulimwengu ndiyo unao ruhusu, bali ni yeye Allah mwenyewe anaruhusu mabaya yatokee eleweni hili. Maana yake kwa vyovyote vile hoja haina mashiko.

Nyinyi hamjaelewa sababu hayo matukio ni katika sehemu ya uumbaji wa Allah mtukufu. Hoja yenu iko wapi ?

Siyo kwamba inadaiwa bali uhalisia ndiyo uko hivyo. Fikra zenu zimemili upande mmoja, huku mkiwa hamjui nini lengo kwa kuumbwa kwenu.

Allah alivyo tuumba alituumba kwa lengo maalumu, kupitia lengo hili akaambatanisha na yote yanayo husiana na lengo hilo.

Mathalani nikikuuliza wewe swali, kwanini unaish duniani ? Hakika hujui kwanini. Sasa nitakuuliza hivi tupo duniani tuishi tu halafu tufe au ? Kupitia maswali haya ndiyo unarudi katika lile lengo la sisi kuumbwa kwetu ambalo limeambatana na mema na mabaya, mwanamke na mwanaume, mbingu na ardhi na mfano wa hayo.

Na ana uwezo wa kuruhusu pia mabaya yatokee, usiangalie upande mmoja tu. Ndiyo maana huzuni au majanga huwa hayadumu. Hujiulizi hili ? Au nyinyi ndiyo huwa mnayaondooa mafuriko na matetemeko ya ardhi ? Jaribuni kufikiria japo kidogo.

Upendo wa Allah ni kamilifu, ona leo hii wewe na wenzako mnamkana lakini anawapa muda na kuwaruzuku pumzi na mengineyo. Lakini angetaka kuwaangamiza wote au kutufanya sote tumuamini pia angeweza, ila ameweka utaratibu wenye kuendana na lengo la sisi kutuumba.

Yaani yeye anayaleta maovu na kuyaondosha. Nimekuuliza swali huko, haya mafuriko yanapo kuja ni nani huwa anayaondosha au yanaondoka yenyewe ? Na kama yanaondoka yenyewe kwanini yasidumu ? Tunarudi kule kule katika kutukumbusha.

Sasa ndiyo mthibitishe sasa mmejuaje hili ? Yaani mafungamano ya hayo na kutokuwepo kwake ni yapi ?

Je majanga yanadumu ? Vipi yanapo ondoka huthibitisha Mola yupo ? Au nani anayaondosha hayo majanga pindi yanapo ondoka ?

Wema upo. Hakuna mkanganyiko hapo, labda uuonyeshe leo hii (hili najua huwezi). Huoni kuna mchana na kuna usiku ? Kuna uhai na kuna kifo ? Kuna mwanaume na kuna mwanamke ? Hii pia ni contradiction ? Au contradiction inakuja kwenye uovu tu ? Allah ameumba uwili mpaka kwa vile ambavyo hatuvijui.

Upendo wa Allah, ujuzi wake unaambatana na sheria na nidhamu na malengo.

Kivipi ? Hili mbona hamthibitishi mnaishia kusema tu ? Vipi uovu uthibitishe Mola hayupo wakati yeye ni muweza wa yote ?

Wema unathibitisha nini nao ? Uovu unadumu ? Vipi mtu anapokuwa mwema au majanga yanapo ondoka ? Hapo Mola huwa anakuwepo au ni nani anayaleta majanga na nani anayandoa ?

Naombeni mjibu maswali yangu sasa. Maswalo yenu nimeshayajibu sana.

Shukrani.
Consider hivi

  1. Mungu ni mwenye uwezo wote
  2. Kama Mungu muweza wa yote yupo, basi hakuwezi kuwa na mabaya
  3. Mungu ni mwenye upendo wote na mwema muda wote
  4. Kama Mungu huyo mwenye upendo wote yupo na mwema muda wote, basi hakuwezi kuwa na mabaya
  5. Mabaya yapo
  6. Kama mabaya yapo, hakuwezi kuwa na Mungu
Kwa hiyo mantiki itayofuata hapo itakuwa hivi
  1. Mungu hayupo
  2. Yupo ila sio muweza wa yote (lacking in some power)
  3. Mungu sio mjuzi wa yote
  4. Mungu hana upendo wote na muasisi wa mabaya (lacking in something that is good)
Wewe umesema Mungu karuhusu mabaya kuwepo kwa point hiyo unakuwa umechagua option namba 4 inayoonesha Mungu hana upendo wote, kwa hiyo Mungu wako unayemuelezea wewe anayeruhusu mabaya definitely hawezi kuwa mwenye upendo wote na mwema muda wote kwa viumbe wake

Lakini ulipokuja kumuelezea kuwa Mungu katoa freewill ya kumfanya mtu aweze kuchagua apendacho unakuwa umegusa hoja namba 3 kuwa sio mjuzi wa yote

Kwanini nasema Mungu sio mjuzi wa yote

Kwasababu kabla hajampa uhuru huo wa kuchagua, huyu Mungu kupitia sifa yake ya ujuzi wote alipaswa awe mbele ya muda kwa kujua nini kitatokea mbeleni kwa hii freewill nayofikiria kumpa huyu mtu

Kwamba katika muda huo huyu Mungu aliweza kujua kuwa ni kiasi gani freewill hiyo isingefanya kazi kwa ufanisi uliokamilika kwa namna atakavyo, na kwasababu ya error hiyo huyu Mungu angeweza ku fix hapo kupitia uwezo wote alionao na kutafuta suluhu ambayo ingempendeza

Lakini tunaona freewill bado inachagua mabaya, kwanini freewill isijihusishe kwa mema pekee?

  1. Kwamba Mungu alishindwa?
  2. Hapana aliweza..
  3. Ila nini sasa mpaka freewill ihusishe chaguzi zisizo mema?
  4. Ni kwasababu Mungu alipenda? Ndio alipenda kwasababu asingependa asingeumba mabaya
  5. Kama alipenda basi mtu kuchagua mabaya kupitia freewill aliyopewa hakuwezi kuwa ni dhambi
  6. Lakini kuna moto wa jehanamu
  7. Moto kwa ajili ya nini?
  8. Kuchoma wale waliochagua kufanya mabaya
Mpaka hapa we have come to the conclusion this God is sadistic
 
Islam my religion.
 
Back
Top Bottom