masdinero masproblemas
JF-Expert Member
- Mar 19, 2022
- 224
- 178
Wengi wanaona special labda kwa vile hawaoni kingine. Yaani ni kama special by absence of alternatives! Sema kusoma, kuelewa na kudadisi ndio msingi wa kuvuka wimbi la hizi imani potofu. Huko shuleni unakuta mwalimu anafundisha bigbang lakin mwisho wa kipindi maswali yakizidi anawaambia mungu ndio kaumba dunia usitake kuelewa sana uongo wa wazungu! Masuala mengineo ya msingi kama evolution au geology ndio usiseme wanafundisha bora liende. Mtu anasoma bila kuelimika.Duuuu umeongea fact tupu Hawa wajinga hudhani Dunia ni special sana na hizo nadharia za Mungu hubase hapa hapa tu Sasa unajiuliza kama huyo Mungu wao yupo Ndio ashindwe kujua formula za ulimwengu zilivyo Mpaka atoe hekayq za kijuha kwenye maandiko aliyoshisha yeye (according to Qureshian mythology/Islam)
Allah claims jua huzama kwenye chemichemi za matope
WTF!
![]()
Nimetafuta sana nadharia zinazohoji haya mambo ya imani au yahusuyo field za sayansi kwenye lugha yetu... kiukweli nimekosa. Wazungu wana vitabu hadi vya watoto wadogo kabisa vinavyogusia haya mambo. Kweny lugha yetu utakuta mambo ya maigizo tu... hadi sekondari sana sana utapata riwaya za mapenzi. Wenzetu wanaandika na kufanya filamu zinazopanua uelewa halisia as opposed to myths na visa na mikasa ya maisha kama mapenzi na familia. Legendary films kwetu Nsyuka kwann watu wasiwe na mtazamo wa hizo imani? Bila ya exposure kuhoji na mtazamo tofauti ni rahisi kumezwa wingi wa hoja za kiimani hata kama ni za hovyo sana. Wenzetu wana filamu zinazoonyesha watu kuishi sayari zingne, bado haijawezekana lakini inafikirisha kuwaza mbele zaidi. Ipo siku, kama tusipojilipua na silaha za maangamizi tukaisha, watu wataishi sayari za nje au kwenye miezi ya sayari zingine. Huwa najiuliza hizi hadithi za uongo zitahamishiwaje huko. Lakini kwa ubingwa wa kupimdisha mambo kuna watu wata export mielezo yao ya kipuuza
Kuhoji muhimu sana kwenye kila kitu ila kwetu mmmh! Ni kama kuhoji hakupo kweny jamii zetu, kuna mila ya mipaka fulani hivi. Mm binafsi nilikuwa sijui kama kuna watu wasiofata hizi imani hadi nilipoangalia nje. Nikafurahi, maana nilikuwa na dhana nina shida sehemu. Mbona siamini na kuabudu kwa uaminifu kama watu walionizunguka? Kumbe mawazo yanayotawala yanaweza kukufanya kudhani hakuna mbadala au mawazo chanya zaidi.
Oh kufanikiwa ni ibada, sio kweli. Wale wa waganga nao wanapoteza muda na pesa tu, wale wa sadaka, maji ya upako au mafuta nao sijui wanawazaga nn... Balaa lolote mipango ya mungu, sio kweli. Oh majini sijui popobawa mapepo shetani vibwengu, vyote dhana potofu.
Oh nimeota ndoto lazima itakuwa inaashiria kitu au ina maana fulani, uongo mtupu.
Oh jaribu bahati yako cheza utashinda, ujinga nao... unatajirisha zaidi wenye nazo!
Mambo ni mengi sana sema hatujadili tu.

yaani indoctrination imekolea hadi kuishi bila hizi imani ni unthinkable!