Hapa hakuna ulichofanya zaidi ya kujenga yako katika dhana. Hakuna mambo ya ku "consider" nenda kwenye uhalisia. Yaani mantiki kwa vyovyote haina uwezo wa kukupa ukweli.Consider hivi
Kwa hiyo mantiki itayofuata hapo itakuwa hivi
- Mungu ni mwenye uwezo wote
- Kama Mungu muweza wa yote yupo, basi hakuwezi kuwa na mabaya
- Mungu ni mwenye upendo wote na mwema muda wote
- Kama Mungu huyo mwenye upendo wote yupo na mwema muda wote, basi hakuwezi kuwa na mabaya
- Mabaya yapo
- Kama mabaya yapo, hakuwezi kuwa na Mungu
- Mungu hayupo
- Yupo ila sio muweza wa yote (lacking in some power)
- Mungu sio mjuzi wa yote
- Mungu hana upendo wote na muasisi wa maba
Upendo wote ukoje ? Upendo wote maana yake hakuna kuadhibu au kukosoa ? Hii maana ya upendo wote mmeipata wapi ?Wewe umesema Mungu karuhusu mabaya kuwepo kwa point hiyo unakuwa umechagua option namba 4 inayoonesha Mungu hana upendo wote, kwa hiyo Mungu wako unayemuelezea wewe anayeruhusu mabaya definitely hawezi kuwa mwenye upendo wote na mwema muda wote kwa viumbe wake
Upendo kamili wa Mola ni ule ambao hata wewe unae mkana anakupa pumzi na anakupa rizki. Maana ya upendo ni kutokumea maovu ? Vipi mzazi wako anapo kukanya baada ya kufanya makosa ? Humaanisha hakupendi ?
Upendo wote ni upi huo ? Msaada tafadhali.
Allah anajua yaliyopo na yatakayo tokea na ambayo hayajatokea anajua yakitokea yatakuwaje. Kalamu ishaandika miaka elfu 50 kabla ya mwanadamu kuumba.Lakini ulipokuja kumuelezea kuwa Mungu katoa freewill ya kumfanya mtu aweze kuchagua apendacho unakuwa umegusa hoja namba 3 kuwa sio mjuzi wa yote
Kwanini nasema Mungu sio mjuzi wa yote
Kwasababu kabla hajampa uhuru huo wa kuchagua, huyu Mungu kupitia sifa yake ya ujuzi wote alipaswa awe mbele ya muda kwa kujua nini kitatokea mbeleni kwa hii freewill nayofikiria kumpa huyu mtu
Maana yake ni kuwa bado unaonyesha wazi ya kuwa unapinga juu ya jambo ambalo huna elimu nalo, yaani huja unachojua kumuhusu Mola muumba.
Huu utoto mwingine, nimeshakujibu hapo juu.Kwamba katika muda huo huyu Mungu aliweza kujua kuwa ni kiasi gani freewill hiyo isingefanya kazi kwa ufanisi uliokamilika kwa namna atakavyo, na kwasababu ya error hiyo huyu Mungu angeweza ku fix hapo kupitia uwezo wote alionao na kutafuta suluhu ambayo ingempendeza
Ikijihusisha na mema tu, inakuwa siyo freewill tena, freewill ili iwepo lazima kuwe na pande mbili, mazuri na mabaya. Hapi ndiyo kuna maana ya freewill. Kijana una uwezo mdogo sana wa kufikiri. Hata hili dogo limekushinda kung'amua.Lakini tunaona freewill bado inachagua mabaya, kwanini freewill isijihusishe kwa mema pekee?
Ndiyo maana leo kuna waja wana fanya mema na wapo wanao fanya mabaya, hii ndiyo maana ya freewill.
Nani amekwambia freewill inajihusisha na maovu tu ? Unapoamua kumfanya mtu wema ni kwa hiari yako au kwa kulazimishwa ? Jibu ni kwa hiari yako maana yake umechagua mwenyewe yaani kupitia uhuru wa matakwa yako (freewill). Kijana huelewi unachokiandika.
- Kwamba Mungu alishindwa?
- Hapana aliweza..
- Ila nini sasa mpaka freewill ihusishe chaguzi zisizo mema?
Ni dhambi sababu alikuwa au anauwezo wa kutofanya mabaya akiamua. Lakini endapio akafanya mabaya kwa makusudi au bahati mbaya au kwa kutokujua, Allah ameweka wazi mlango wa toba na ukimtaka msamaha ana kusamehe, kwani yeye ni mwingi wa msamaha.
- Ni kwasababu Mungu alipenda? Ndio alipenda kwasababu asingependa asingeumba mabaya
- Kama alipenda basi mtu kuchagua mabaya kupitia freewill aliyopewa hakuwezi kuwa ni dhambi
Ili uone akili yako ni finyi sana, yaani unajitungia mambo ambayo Allah hako nayo unayajengea kwa uongo.
Kuwachoma wale waovu walio chagua mabaya kwa hiari yao. Wewe leo hii unapo enda kuiba, hujalazimishwa na mtu, bali ni kwa hiari yako, lakini hapo hapo ungetaka usingeenda kuiba, hii ndiyo maana ya freewill. Vipi unapo amua kufanya ovu na usifanye, hapo unajiweka katika hali gani ? Ni freewill ya maovu tu au pande zote ?
- Lakini kuna moto wa jehanamu
- Moto kwa ajili ya nini?
- Kuchoma wale waliochagua kufanya mabaya
Yaani, kuna maneno niliyasoma juzi ya mwanachuoni mmoja aitwae Ibnul Qayyim al Jawziyah, mazuri sana, juu ya wale ambao wanapinga ufunuo toka Allah, basi Allah atawapa mtihani wa kuwaondoshea akili na itafikia muda ataongea jambo fulani mbele ya mtu mwenye akili, na ataonekana kituko mno. Hilo naliona kwako, yaani unapinga jambo kichwa mchunga jambo ambalo laiti kama ungejitathmini wewe mwenyewe hakika ungejiona mjinga wa kutupwa.
Angalia magap uliyo yaacha katika hiki ulichokiandika, kwanza hakuna hata swali moja katika maswali zaidi ya matano niliyo yauliza ambalo umejibu.Mpaka hapa we have come to the conclusion this God is sadistic
Pili, umethibitisha ya kuwa humjui Mola, umeandika mambo ambayo Allah katika uumbaji ameyaelezea kwa miaka elfu 50 kabla, sasa inakuwaje mna mkana na huku hamumjui ? Huu ujasiri wanao wajinga kama nyinyi.
Tatu, umemzulia Mola uongo, sasa vipi ufikie hitimisho kwa mambo ya uongo ?
Nne, kwa haya uliyo yaandika majibu unayapata katika wewe mwenyewe ukijiangalia katika matendo yako, je ni kweli "freewill" ipo kwenye mabaya tu ? Jiangalie wewe.
Tano,wito wangu naomba muwe mnajibu maswali ninayo wauliza.
Baada ya hapa sitajibu swali lako lolote mpaka ujibu au mjibu maswali niliyo wauliza
Shukrani.