Wanaopinga uwepo wa Mungu ni wakaidi

Wanaopinga uwepo wa Mungu ni wakaidi

Utajijua tu kuwa we we ni tahira

Nikuthibitishie Mara ngapi wakati nimesha kuthibitishia kuwa Mungu yupo katika post 336

Ngoja nikukumbushe kama umesahau ile post

Nilikuwambia uthibitisho kuwa Mungu yupo ni kitendo cha wewe kuwepo hapa duniani maana Mungu ndio aliyekuleta

Ukasema wewe hapa duniani umeletwa na baba yako na mama yako

Nikakuambia kama umeletwa na baba yako na mama yako weka ushahidi kuwa

Shahawa za baba yako zilizotumika kukuumba wewe baba yako alizitengeneza mwenyewe kwa ujuzi wake

Pia weka ushahidi kuwa yai la mama yako lililotimika kukuumba wewe alilitengeneza mama yako mwenyewe kwa ujuzi wake


Wewe ndio uthibitisho wangu physically kabisa kama Mungu yupo sasa ili hu uthibitisho wangu uwe batili weka na wewe uthibitisho wako kuwa wewe haujaletwa na Mungu hapa duniani na ututajie alikuleta

Hauna jipya
Kwanza mtafute aliyekuleta duniani ukisha mjua ndio urudi hapa tufanye discussion kuwa Mungu yupo au hayupo

Siwezi kudiscus na mtu uwepo wa Mungu wakati yeye mwenyewe hatu hamjui aliyemleta hapa duniani
Umeshindwa kuthibitisha Mungu yupo.

Katika mabishano, inabidi kukubali pa kuanzia ili mpate kuelewana.

For argument's sake, nikukubalie kwamba sijaletwa hapa na baba na mama yangu.

Thibitisha kwamba Mungu yupo na yeye ndiye kanilota hapa.

Na usihubiri maneno ya kusema tu kwamba Mungu kaumba.

Toa uthibitisho wenye muunganiko wa kimantiki.

Yani ukisema tu kwa kunukuu mapokeo, mimi naweza kuku challenge kwamba unajuaje hayo maandiko ni ya kweli na si hadithi za kutungwa na watu tu?

Thibitisha Mungu yupo, thibitisha yeye ndiye kaleta watu hapa duniani.
 
Umeshindwa kuthibitisha Mungu yupo.

Katika mabishano, inabidi kukubali pa kuanzia ili mpate kuelewana.

For argument's sake, nikukubalie kwamba sijaletwa hapa na baba na mama yangu.

Thibitisha kwamba Mungu yupo na yeye ndiye kanilota hapa.

Na usihubiri maneno ya kusema tu kwamba Mungu kaumba.

Toa uthibitisho wenye muunganiko wa kimantiki.

Yani ukisema tu kwa kunukuu mapokeo, mimi naweza kuku challenge kwamba unajuaje hayo maandiko ni ya kweli na si hadithi za kutungwa na watu tu?

Thibitisha Mungu yupo, thibitisha yeye ndiye kaleta watu hapa duniani.
Umeambiwa kwanza ukamtafuta aliyetengeneza shahawa za baba yako zilizofanya wewe uje duniani ukisha mtaja na kuweka uthibitisho ndio mtaendelea na discussion kuwa Mungu yupo au hayupo

Uwe unaelewa!!
 
Umeambiwa kwanza ukamtafuta aliyetengeneza shahawa za baba yako zilizofanya wewe uje duniani ukisha mtaja na kuweka uthibitisho ndio mtaendelea na discussion kuwa Mungu yupo au hayupo

Uwe unaelewa!!
Wewe una uwezo wa kusoma kwa ufahamu?

Sasa nikishindwa kujua aliyetengeneza shahawa hilo ndilo linathibitisha Mungu yupo?

Huo ndiyo uthibitisho wako kwamba Mungu yupo?

Unaelewa hata uthibitisho ni nini?

Unajua kumuachia mtu swali si uthibitisho kwqmbq Mungu yupo?

Unaelewa kwamba mpaka sasa hujathibitisha Mungu yupo?
 
Umeambiwa kwanza ukamtafuta aliyetengeneza shahawa za baba yako zilizofanya wewe uje duniani ukisha mtaja na kuweka uthibitisho ndio mtaendelea na discussion kuwa Mungu yupo au hayupo

Uwe unaelewa!!
SPONTANEOUS GENERATION ...
 
Mungu mjuzi wa yote ambaye anaweza kujua yaliyo mbele ya wakati kabla hayajatokea hana sababu ya kutoa adhabu

Mungu kaona mtu huyu ataenda kuua mtoto asiyekuwa na hatia

Na wakati huo ana uwezo wa kudhibiti tukio hilo lisifanyike

Na anasababu ya yeye kudhibiti kwasababu kwanza hilo tukio halimpendezi lakini ni mwenye upendo wote

Ukisema kwamba Mungu kamuacha mtu huyo aue mtoto asiye na hatia ili kuonesha amempa mtu freewill ya kufanya atakalo.

Kutakuwa kuna mambo mawili
  1. Mtoto aliyeuliwa ametumia vipi freewill ya kuamua kuuliwa au kuto kuuliwa?
  2. Upendo wote wa Mungu uko wapi kama hadi mtoto mdogo asiye na hatia yanamfika mabaya na yeye anaacha yafanyike bila kuzuia?
Honestly kwa jinsi ulivyomtetea Mungu umemfanya muuaji wa mtoto asiwe na hatia na mwenye hatia awe ni Mungu

************
Mfano wako wa mzazi kum-refer na Mungu ni irrelevant

Kwasababu mzazi hana uwezo wote wa kumfanya mtoto aishi katika njia ya kumpendeza yeye.

Na ndio maana anakuwa mkali pale anapoona mtoto hafanyi kila anachokitaka yeye, huyu mzazi hana namna nyingine ya kumfanya mtoto aishi katika misingi ambayo anaitaka yeye bila mafunzo ambayo nayo sio effeciency na ndio maana hufikia hatua ya kumuadhibu kwasababu hana mbadala

***********
Umesema Mungu alishajua yote kabla hayajatokea lakini anaendelea kuwa onya msifanye vitu fulani, anatuma mitume ili msifanye vitu fulani shortly he still expecting something new to his creatures

Yani anaelewa utaua mtoto asiye na hatia, na kuelewa kwake lazima kutimie kwa asilimia zote

Lakini bado anakuonya kuwa usiue

Je mtu huyo anauchaguzi wa kusikia onyo hilo na kuamua kutoua?

Hiyo ndio Logical fallacy ambayo lazima utaiangukia kipindi unamtetea Mungu kwa kujaribu kui solve problem of evil

*****************
Umesema freewill lazima ihusishe mabaya bila mabaya hakuna freewill

Kwamba una maanisha Mungu hausiki na mabaya bali mabaya yanatokana na uchaguzi wa watu kupitia freewill waliyopewa?

Kama watu hufanya kile ambacho Mungu kawaumba waweze kufanya kwanini waadhibiwe kwa hicho ambacho Mungu kawaumba waweze kufanya?

Kama Mungu aliweza kujua kuwa hiki kijusi kitazaliwa nakuwa mtoto, kitakuwa, na kuwa muuaji mkubwa na Mungu akaendelea kukiruhusu kiendelee kuishi tumboni na kuki support hadi katika hatua za kuazaliwa mpaka kikue kufikia utu uzima, kisha mtu huyo aanze utekelezaji wa hayo mauaji.

Sasa kwanini tena mtu huyo aadhibiwe kwa kile aambacho Mungu alimuumba aje akifanye?

Kama huo ulikuwa ni uchaguzi wa mtu kuua je hiyo haikuwa uchaguzi wa Mungu kuumba kiumbe chenye kuchagua uovu?

Ngoja nikupe mfano

Mimi ni mfanya biashara ninaye endesha maduka mawili katika eneo moja hapa mjini. Duka langu moja linajihusisha na uuzaji wa silaha na lingine linajihusisha na maswala ya kimichezo

Kwa bahati nikatembelewa na mtu wangu naye mjua anaitwa Calvin, Calvin akataka kununua silaha nzito ila akanieleza kuwa anachukizwa na hao mabinti waliopo kwenye duka langu la michezo na kwa hivyo basi anaenda kuwafundish adabu

Calvin akaniomba nimuuzie package ya risasi kwa ajili ya silaha, nikamuuzia

Calvin akasema anaenda kuua watu wote waliopo katika eneo hilo, nikamuambia usifanye hivyo. Nikamuambia ni jambo baya sana hutakiwi kufanya

Calvin akaniambia nimfundishe namna ya ku shoot silaha, nikamfundisha

Nikamuonya tena kuwa hupaswi kwenda kutumia hii silaha ku shoot watu

Calvin akatoka na slaha na kwenda kuua kila mtu aliyekuwepo kwenye lile duka linalo jihusisha na michezo

Polisi walivyokuwa wakinihoji nikawasimulia stori nzima ilivyokuwa na nikiwaambia kuwa sio kosa langu ila ni Calvin alikuwa na freewill na nilimuonya asifanye hivyo.

Watu wengi wangeniwajibisha kwa ku-base tu kwenye yale yaliyokuwa sawa kufikiri kwamba Calvin angefanya kutokana na yale ambayo Calvin aliyosema kabla ya kuondoka kwenye duka langu.

Kama nawajibika kwenye sehemu ya mauaji, vipi kuhusiana na Mungu ambaye alimpa Calvin maisha akijua kwa hakika nini Calvin ataenda kufanya kwenye hayo maisha?

Mimi nilijua kidogo tu nini Calvin angeenda kufanya kupitia silaha niliyomuuzia

Mungu alijua kwa hakika na anaweza kuzuia chochote. Au vinginevyo Mungu hakujua, au Mungu hana uwezo wote
Asipoelewa hapo hawezi elewa tena hizi nondo ni kali sana mkuu
 
Umeambiwa kwanza ukamtafuta aliyetengeneza shahawa za baba yako zilizofanya wewe uje duniani ukisha mtaja na kuweka uthibitisho ndio mtaendelea na discussion kuwa Mungu yupo au hayupo

Uwe unaelewa!!
 
Philosophers + Scientists hawatengenezi hizo? wana akili hamna zaidi yao, hawawezi kushindwa na mambo madogo kama hayo
 
Tunapinga uwepo wa Mungu kwa nadharia za vtabu vya dini , Ila kwa uhalisia wa uwepo wa supernatural power iliyofanya creation hatupingi kabsa , Natharia ya uwepo wa Mungu iliyopo kwenye vtabu vya dini inapotosha ukweli , kwasababu inamwelezea Mungu kuwa hashindwi chochte ili ndani kabsa ime mlimit kwenye baadhi ya mambo , mfano wa uwepo wa Mungu mbinguni akiwa na makerubi na wazee 24 ,hauoni umepunguza nguvu ya Mungu na kumlimiti kwenye sehemu moja tu anayoweza kuooperate kutokea apo? Pili Mungu anaweza kukasirishwa au kufurahishwa na binadamu , hauoni binadamu kuwa anaweza kucontrol hisia za Mungu !? Ila kwa tunaoishi ukweli wa kuwa kunasupernatural power inayo operates hii universe na universe nyingne hauoni tupo sahihi because energy can not be created no destroyed? Usione watu hawaamini vitabu vya dini hivhiv tu tunasababu za msingi tu ata huyo Mungu wa kwenye vitabu tunaweza tukamhoji kwanini maneno yako yanapinga baadhi ya tabia zako
Hiyo super natural ndiyo mungu mwenyewe na ni roho yani energy pia vitu vyote ni roho kwakuwa matter ni atom na atom ni energy
 
Back
Top Bottom