Falsafa ni mawazo ya watu yaliyo mili katika ujinga. Hilo kwanza weka akilini. Nimesoma sana Falsafa, nikaachana nayo.Huelewi hata falsafa za uthibitisho.
Asiyepo, hathibitishiki kwamba hayupo.
Swali la msingi, umejuaje ya kuwa hayupo ? Hili ndiyo swali la msingi, yaani kwa ufupi halikwepeki swali hili.
Hata hakuna kwa sababu hayupo. Ukiulizwa fulani hayupo ? Ukajibu hayupo, ukiulizwa umejuaje kama hayupo, utajibu tena "Kwasababu hayupo ?". Utakuwa na matatizo ya akili, majibu huwa aidha utoe sababu au useme "Sijui kwanini hayupo".Kwa sababu hayupo na uthibitisho unakwenda sana kuonesha vilivyopo.
Falsafa ni kama fani ni elimu ya wasio fikiri kwa usahihi.
Proof by Contradiction haiwezi kuthibitisha hilo kwa sababu zifuatazo.Ila, naweza kukuthibitishia Allah hayupo kwa "proof by contradiction".
1. Suala la uwepo wa Allah ni hakika.
2. Maarifa yenu ni machache juu ya elimu kuhusu Allah.
3. Proof by Contradiction inakosa sharti kuu la sababu.
Jifunze kutoa mifano na kuiweka mahala pake. Kwanini umeweza kufanya hivyo, kwa sababu unaijua Pembe tatu ni ipi na duara ni nini ? Huu mfano hauwezi kuakisi uhalisia wa uwepo wa Allah, sababu humjui Allah ni nani.Kama vile ninavyoweza kukuthibitishia kwamba hakuna pembetatu ambayo hapo hapo ni duara katika Euclidean geometry.
Dunia kwa dhati yake hairuhusu mabaya bali Allah anaruhusu mabaya yatokee kwa hekima zake, na hapo katikati kuna mengi ambayo nyinyi hamtaki kuyajua. Kwa kutokujua kwenu hili ni muhali kwenu.Mungu wako, mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote anakuwa contradicted na dunia tu
Hi ni dhana ambayo haina uhakika sababu, tutarudi katika swali la msingi umejuaje hilo ?Mungu huyo angekuwepo, logically kusingewezekana kuwepo na
Kingine msingi wa Logic ni nini ? Jibu ni akili. Akili ina ukomo au haina ukomo ? Jibu ina ukomo ? Vipi akili iwe marejeo yako pekee ya kufikia hitimisho juu ya jambo ambalo wa akili pekee haiwezi kufanya hivyo ?
Swali langu, ni kuwa unaweza kutithibitishia hiki unachokisema ? Jibu huwezi.
Hujathibitisha bado hapa kama unarap tu, yaani akili yako imeishia hapo, swali la msingi umejuaje hayupo ?Hilo linathibitisha Mungu wako hayupo.
Thibitisha ya kuwa ni hadithi za watu. Sababu hadithi tunazijua sisi.Ni hadithi za watu tu.
Si sawa kama nilivyo kuonyesha hapo juu.Kukubali uwepo wa Mungu huyu, ni sawa na kukubali kwamba kuna pembetatu ambayo hapo hapo ni duara katika planes za Euclidean geometry