Lazima tuseme ukweli penye uhalisia mtu hawezi.kukurupuka na kuongea uzushi degree za chupi sijui nini kugawa how does it relate na wife material kwahyo chuoni watu hawasomi ni kufanya hivo vitendo na unakuta course za lecture tofauti na hapo inakuwa mtu mpende mtu na vigezo vyake na kama moyo umempenda basi iwe la saba big result au phd cha.msingi mumependana na mumeendana hayo ya kuingiza kashfa ni.kukosa point tu za kutetea hoja iwe na mashiko lazima to argue kama.ma thinker sio unakuja na harsty generalization ya kitu bila reaserch hiyo inakuwa false