Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,292
basi umeshinda mama tusifike mbali tukafungiwa uzi buree na mods maana hata mimi nina maneno machafu kupitiliza, kila mtu aamini anachoamini
Hayo maneno maneno yako ya ku conculude bila research na kukirupuka kujiona una maneno ka chuchungi na mdomo mrefu uache ku generalize mambo bila kuwa na tafiti sijui wakibanjuliwa huwa unawashika miguu acha wavitumie si vyao wewe unaumia nini sasa pili pili ysiyoila ya kuwashia nini sasa