Lord Lofa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2011
- 2,513
- 2,753
Sharti langu la kwanza ni kuwa na mwanamke msomi tena wa mambo ya tiba yaani dr. Hii yote huwa nawazia sana kama Mungu atanijalia watoto basi nahitaji kuwa na Mke atakayejua kuwahudumia na kuwatunza vizuri. Ninacho kiona hapa ni mtazamo tu. Maisha yanakupeleka kufuatana na vile unavyowaza vile unavyo jishughulisha na mtazamo mzima juu ya mambo mbalimbali. Mwanamke kama mama akiwa na Elimu ndogo ni tatizo kubwa. Ukiingia deep utaona jamii yetu imeathirika sababu ya kuwa na wanawake wenye Elimu duni. Hapa kinachoogopwa na wanaume ni Changamoto. Hakuna mwanamke yeyote yule awe la saba form 4 mwenye degree atakusumbua au kutokuheshimu kama utatekeleza wajibu wako kikamilifu. Alafu tutambue Elimu ina nafasi ndogo sana katika malezi aliyokulia mtu. Anaweza kuwa form 4 lakini ana kiburi tu au degree asiye eleweka.
MUHIMU: Kuwa na dhana ya kujiambia kuwa wewe ni mwanaume wewe ni mtawala. Sifa za mtawala ni nini?
Ni kuhudumia na kutiisha vile vilivyo chini yako. Wanawake wana akili sana hawezi kuanza tu from nowhere bila ya kukujua madhaifu yako. Mimi huwa sikogopi aiseee awe tajiri sijui proffesor sijui nani muhimu ni mpende tu basi. Atalishwa atavaa
MUHIMU: Kuwa na dhana ya kujiambia kuwa wewe ni mwanaume wewe ni mtawala. Sifa za mtawala ni nini?
Ni kuhudumia na kutiisha vile vilivyo chini yako. Wanawake wana akili sana hawezi kuanza tu from nowhere bila ya kukujua madhaifu yako. Mimi huwa sikogopi aiseee awe tajiri sijui proffesor sijui nani muhimu ni mpende tu basi. Atalishwa atavaa