Wanaoogopa picha hizi, (wenye TRYPOPHOBIA)

Wanaoogopa picha hizi, (wenye TRYPOPHOBIA)

Habarini Wadau,

Ni kwanini watu wengi inawatokea hali ya kuogopa vitundu vingi vikiwapo mahali pamoja? Wazungu wanaita Trypophobia au fear of the holes. Uogopaji wa vitundu au vishimo.

Ni nini hasa kinasababisha Watu wengi bila kujali makazi au asili yao kujikuta wanaogopa na wengine wanasema wanavikinai hivi vitundu?

View attachment 1132047View attachment 1132048View attachment 1132049View attachment 1132051
Duu umeniharibia siku kwa kuangalia hizi picha nilipofungua huu uzi sikutarajia kukutana nazo, hivi Nina tatizogani Tena ni Mimi na kakangu katika familia wenye tatizo hili
 
Me sipendi miguu ya jongoo ilivo mingi alafu akiichezesha naskia pua inawasha
 
Me sipendi miguu ya jongoo ilivo mingi alafu akiichezesha naskia pua inawasha
Inaitwa @Xarantaphobia
download.jpeg
 
nadhani huu ugomjwa umegawanyika.

binafsi siogopi matundu,ila uvimbe wenye matundu,lundo la wadudu kama siafu wamepandana kwa wingi toka utotoni lazima niwatie figisu za moto waungie wote.

nyuki na manyigu nimeunguza sana,nakumbuka niliishaugua fungus(nyungu nyungu)mpaka kidole kikavimba kikawa na ukijani na matobo baadhi,nikamwagia mafuta ya taa na majivu kisha nikatia kiberiti,siku naletewa dawa yake (spirit) nilimwagia nyingi mpaka yakawa yanatoka mapovu,nilikichukia kidole changu,kikapona.
 
Back
Top Bottom