Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,304
- 29,835
Halooo! Kaeni tayari kesho nakuja nikiwa full content. Niweze kuwaelezea ukweli wa maisha baada ya kifo. Huwa tunaona watu wamekufa lakini huenda hujui huyu marehemu huwa anaenda wapi baada ya roho kuacha mwili. Kwanini hatusemi marehemu atazikwa kesho Bali tunasema mwili wa marehemu utazikwa kesho, unajua marehemu huwa yu wapi? Kaa tayari.