Wanaofikiria Lowassa ataingia ikulu wanaumwa

Wanaofikiria Lowassa ataingia ikulu wanaumwa

Chadema muweke mbuzi mara ngapi. Halafu tumeshawashtukia mnata mzee wa watu mumuue kwa presha ili mrithi mali zake. Hafi ng'o mpaka amuone rais wa awamu ya tano ambaye si mwingine bali ni Dkt. John P. Joseph Magufuli. Hao mbuzi wenu mnaowataka tafuteni mchinje mle kwani ndo jadi yenu na mkafanye matambiko mlivyozoea.
Kama nawe unanufaika na hali hii ya SISIEMU basi hongera ila kama nawe ni Kipande cha GOGO lililooza basi POLE SIMBILISI mdogo.
 
Watanzania kama kuna mtu anafikiria kuwa Lowassa kushika dola asahau waswahili wanasema ivi iliko bahari ndiko mito iendako, hii inatokana na chama tawala kucheza vizuri kwenye safu ya ushambuliji na ulinzi mama Samia Suluhu kawamaliza wapinzani ni mtu atakayeipatia CCM kura nyingi mno unabisha subiri.

wew ndio unaumwa na mamaaako .
lowassa ndiye rais wako kenge wew
 
wew ndio unaumwa na mamaaako .
lowassa ndiye rais wako kenge wew

Tafadhari acha hili tusi la mamaako ..unaonekana unapendelea sana kutana hayo maneno lakini elewa sisi wengine hatuji hapa kumtusi mtu na wala hatuko huko na si hajabu hawa unaowatusi hapa ni watu wazima kuliko wewe ..ni ushauri tu.
 
ni kweli hata mi naumwa na nitaumwa zaidi tareh 25 OCTOBA ngoja niendelee kuumwa tu maana KIU YANGU NI MABADILIKO ngoja niendelee kuumwa tu!
 
Ukwaaa hawana nafasi ya kuingia ikulu hata kidogo,wanamsindikiza Magufuli tu,hawana lolote
 
Watanzania kama kuna mtu anafikiria kuwa Lowassa kushika dola asahau waswahili wanasema ivi iliko bahari ndiko mito iendako, hii inatokana na chama tawala kucheza vizuri kwenye safu ya ushambuliji na ulinzi mama Samia Suluhu kawamaliza wapinzani ni mtu atakayeipatia CCM kura nyingi mno unabisha subiri.

Umebadilika baada ya kupotea.

#HapaKaziTu
 
Watanzania kama kuna mtu anafikiria kuwa Lowassa kushika dola asahau waswahili wanasema ivi iliko bahari ndiko mito iendako, hii inatokana na chama tawala kucheza vizuri kwenye safu ya ushambuliji na ulinzi mama Samia Suluhu kawamaliza wapinzani ni mtu atakayeipatia CCM kura nyingi mno unabisha subiri.

milele hatuongozwi na mwanamke
 
Ndugu wewe utakuwa unamatatizo makubwa.
Hata kama chadema wakimweka mbuzi awe mgombea tutamchagua mbuzi ilimradi ccm wasishinde tena

Sema utamchagua mbuzi...sio tutamchagua! wewe na nani? kuna tofauti ya kati ya washabiki na wapiga kura...
 
Watanzania kama kuna mtu anafikiria kuwa Lowassa kushika dola asahau waswahili wanasema ivi iliko bahari ndiko mito iendako, hii inatokana na chama tawala kucheza vizuri kwenye safu ya ushambuliji na ulinzi mama Samia Suluhu kawamaliza wapinzani ni mtu atakayeipatia CCM kura nyingi mno unabisha subiri.

Huyo mama ndio hapendwi kabisaa wanawake wanamlalamikia hajui kutangaza sera anajua tu kupinga katiba ya wananchi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom