DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,652
- 2,642
Mleta mada wewe kula mpunga wa ccm..wadanganye wajinga.
Hii nchi ccm haina hatimiliki.
Lowassa Rais.
Hii nchi ccm haina hatimiliki.
Lowassa Rais.
watanzania kama kuna mtu anafikiria kuwa lowassa kushika dola asahau waswahili wanasema ivi iliko bahari ndiko mito iendako, hii inatokana na chama tawala kucheza vizuri kwenye safu ya ushambuliji na ulinzi mama samia suluhu kawamaliza wapinzani ni mtu atakayeipatia ccm kura nyingi mno unabisha subiri.
watanzania kama kuna mtu anafikiria kuwa lowassa kushika dola asahau waswahili wanasema ivi iliko bahari ndiko mito iendako, hii inatokana na chama tawala kucheza vizuri kwenye safu ya ushambuliji na ulinzi mama samia suluhu kawamaliza wapinzani ni mtu atakayeipatia ccm kura nyingi mno unabisha subiri.
Ndoto uliyoota leo afu ukaamkia JF itakupasua kichwa jua likitoka.Mama Samia huyu huyu aliyeahidi kilimo cha umwagiliaji cha ubuyu?
watanzania kama kuna mtu anafikiria kuwa lowassa kushika dola asahau waswahili wanasema ivi iliko bahari ndiko mito iendako, hii inatokana na chama tawala kucheza vizuri kwenye safu ya ushambuliji na ulinzi mama samia suluhu kawamaliza wapinzani ni mtu atakayeipatia ccm kura nyingi mno unabisha subiri.
Kwa ilivyo figisu figisu zinazoendelea kweli hawezi shika dola ya nchi mpaka saiv kuna video ya Slaa imevuja akiwa na anakabidhiwa mkwanja wake ndani ya Serena hotel ZnZ na wafanyakazi