Wanaofikiria Lowassa ataingia ikulu wanaumwa

Wanaofikiria Lowassa ataingia ikulu wanaumwa

ukawa hawajielewi ni kama nyumbu!!!!!! magufuri for change M4C
 
Alioanzisha hii mada lazima atakuwa na mtindio wa ubongo ama la basi akili za misukule....kama mpaka sasa hivi hujasoma Alana za nyakati basi inawezelana ulizaliwa na mtindio wa ubongo.... Lowassa ndio habari ya mjini taka usitake....na ndio Rais wako wa awamu ya 5....

wewe nadhani hujui lolote kuhusu siasa.
 
Watanzania kama kuna mtu anafikiria kuwa Lowassa kushika dola asahau waswahili wanasema ivi iliko bahari ndiko mito iendako, hii inatokana na chama tawala kucheza vizuri kwenye safu ya ushambuliji na ulinzi mama Samia Suluhu kawamaliza wapinzani ni mtu atakayeipatia CCM kura nyingi mno unabisha subiri.

Eti hivi Saddam Hussein ni wa wap vile???
 
Watanzania kama kuna mtu anafikiria kuwa Lowassa kushika dola asahau waswahili wanasema ivi iliko bahari ndiko mito iendako, hii inatokana na chama tawala kucheza vizuri kwenye safu ya ushambuliji na ulinzi mama Samia Suluhu kawamaliza wapinzani ni mtu atakayeipatia CCM kura nyingi mno unabisha subiri.

Magufuli hana sababu wala dalili zozote za kushinda, inahitaji kuwa na akili za kichaa au mwendawazimu kuamini kuwa magufuli atashinda urais.
 
kitengo cha IT masaki kipo kazini

Mkuu ndo kula yao.lazima asubuh hii warushe vipost mchwara.watakula wapi.dume zima asubui asubui unaweka upuuuùz.maccm hawatoki huu mwaka.mim nishatembea mikoa 12 kila seheme ni UKAWA tu gumzo.ari tete jamani.
 
Hata mm najua hata Mbowe anajua lowassa hashind
 
Ndoto uliyoota leo afu ukaamkia JF itakupasua kichwa jua likitoka.Mama Samia huyu huyu aliyeahidi kilimo cha umwagiliaji cha ubuyu?

Tanzania ina madini ya chuma tutaweza vuna miaka milioni 200
 
Hahahahaa hii inaonyesha kwamba wew unafikiraa sisi tumedhamiria kumwingiza ikulu so wewe endelea kufikiria
 
Lowasa hawezi kuwa Rais jamani kwanini tuongozwe na fisadi wa namna hii.
 
CCM chali!....

20150729072338.jpg
 
kwa propaganda hizo mnaprove failure...maana niliona picha akiwatunza wasanii wa kundi la fataki watu wakasema anatoa hongo! hivi inahusiana kweli? kuna kijana mlemavu alimpa pesa...washabiki wa UKAWA povu likawatoka kuwa anatoa hongo!
tukumbuke kuwa mgombea mwenza ni mwanamke, na wote tunajua kuwa akina mama wana huruma hivyo huo ni msaada tu!!! Kama hampati bado picha, jitahidini kutembea walau muende zanzibar...mtajua kuwa unavyomsaidia masikini you don't expect something in return! only blessin/ thawabu...
 
hata nikute mavi kwenye karatasi ya kura,nitayapigia kura kuliko kuipigia ccm

Mimi anaposimamishwa lowassa popote na upande wa pili wakamweka paka! mimi nitamchagua paka...lowassa angepita kupitia ccm neno ufisadi lingetajwa sana na wapinzani, sasa amepita kupitia chadema hivyo neno ufisadi naona limeshaanza kupotea kwenye kamusi zao!
 
Watanzania kama kuna mtu anafikiria kuwa Lowassa kushika dola asahau waswahili wanasema ivi iliko bahari ndiko mito iendako, hii inatokana na chama tawala kucheza vizuri kwenye safu ya ushambuliji na ulinzi mama Samia Suluhu kawamaliza wapinzani ni mtu atakayeipatia CCM kura nyingi mno unabisha subiri.

Wewe ndio unaumwa unaefikiri nchi hii ni ya ccm pekee.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom