Wanaofikiria Lowassa ataingia ikulu wanaumwa

Wanaofikiria Lowassa ataingia ikulu wanaumwa

kwa propaganda hizo mnaprove failure...maana niliona picha akiwatunza wasanii wa kundi la fataki watu wakasema anatoa hongo! hivi inahusiana kweli? kuna kijana mlemavu alimpa pesa...washabiki wa UKAWA povu likawatoka kuwa anatoa hongo!
tukumbuke kuwa mgombea mwenza ni mwanamke, na wote tunajua kuwa akina mama wana huruma hivyo huo ni msaada tu!!! Kama hampati bado picha, jitahidini kutembea walau muende zanzibar...mtajua kuwa unavyomsaidia masikini you don't expect something in return! only blessin/ thawabu...
Aibuuu,walewavu mnao siku zote why sasa
 
Aibuuu,walewavu mnao siku zote why sasa

Kwahiyo aanze kupita mtaani anawatafuta walemavu awasaidie huku akiacha majukumu ya kitaifa? unayemkuta maeneo yako ndiyo unamsaidia...kama alivyofanya hapo!!!
 
Kwanini watanzania mnadanganyika? huyu mtu amekaa zaidi ya miaka 25 ccm na amekulia katika itikadi ya chama cha mapinduzi! leo hii mtu huyu atakuwaje mwanamabadiliko? na kama lowassa angekuwa na umri wa miaka 50 kushuka chini asingeenda ukawa kwa kujua atagombea tena! leo hii lowassa anaonekana mwema upinzani? ndipo ujue tanzania hakuna upinzani wa kweli...mchezaji akikosa namba ccm A anaenda kuwa kapteni wa CCM B...
 
wenye akili zao tayar wameanza kujipanga kutumia akili zao na uwezo wao wote kulitumikia taifa chini rais mwenye uwezo mkubwa

KwaPamojaTanzaniaMpya2015
 
Mbona mnajijibu wenyewe!!!!ama kweli mmeshikwa pabaya, mnaleta hoja halafu mnajifariji wenyewe kwa majibu mepesi kama kawaida yenu!!
 
Na kwasababu jamaa ana degree ya sanaa atawashika sana wasioweza kuchakata vichwa vyao vizuri...maana mara kapanda daladala, mara katembelea tandale! kweli siasa ni uigizaji...CCM waliyaona hayo ndiyo maana hakupewa, watu watoke mikoani mwao wakampelekea hela kijijini kwake monduli ya kuchukulia fomu urais...is it possible? wakati walikuwa wanapigiana cm..."mtanikuta nawasubiri hapa kijijini kwangu na msisahau kuja na waandishi wa habari"
 
Watanzania kama kuna mtu anafikiria kuwa Lowassa kushika dola asahau waswahili wanasema ivi iliko bahari ndiko mito iendako, hii inatokana na chama tawala kucheza vizuri kwenye safu ya ushambuliji na ulinzi mama Samia Suluhu kawamaliza wapinzani ni mtu atakayeipatia CCM kura nyingi mno unabisha subiri.

Lowasa ana vikosi vya kampeni vya hatareee sana kajipanga mno nilichoshuhudia juzijuzi hapa jijini kwa kweli kama hii timu ipo Tanzania nzima basi Magufuli ameshashindwa.Jamaa kajipanga sanaaa tena mno
 
Na kwasababu jamaa ana degree ya sanaa atawashika sana wasioweza kuchakata vichwa vyao vizuri...maana mara kapanda daladala, mara katembelea tandale! kweli siasa ni uigizaji...CCM waliyaona hayo ndiyo maana hakupewa, watu watoke mikoani mwao wakampelekea hela kijijini kwake monduli ya kuchukulia fomu urais...is it possible? wakati walikuwa wanapigiana cm..."mtanikuta nawasubiri hapa kijijini kwangu na msisahau kuja na waandishi wa habari"
Ndugu wewe utakuwa unamatatizo makubwa.
Hata kama chadema wakimweka mbuzi awe mgombea tutamchagua mbuzi ilimradi ccm wasishinde tena
 
Watanzania kama kuna mtu anafikiria kuwa Lowassa kushika dola asahau waswahili wanasema ivi iliko bahari ndiko mito iendako, hii inatokana na chama tawala kucheza vizuri kwenye safu ya ushambuliji na ulinzi mama Samia Suluhu kawamaliza wapinzani ni mtu atakayeipatia CCM kura nyingi mno unabisha subiri.
Mkuu umenena vyema. Huyu mzee naye anajua kuwa hawezikwenda Ikulu ya Magogoni labda ya Monduli. Yeye sasa anachofanya ni kurudisha kiaina fedha alizojilimbikizia ili aone kama Mungu atamsamehe asikose vyote yaani Urais na Mbingu. Hata wapambe wake wanajua kuwa hawezi kupita ila wanashrehekea kutafuna pesa zake.:lalala:😎
 
Watanzania kama kuna mtu anafikiria kuwa Lowassa kushika dola asahau waswahili wanasema ivi iliko bahari ndiko mito iendako, hii inatokana na chama tawala kucheza vizuri kwenye safu ya ushambuliji na ulinzi mama Samia Suluhu kawamaliza wapinzani ni mtu atakayeipatia CCM kura nyingi mno unabisha subiri.

Ok si tunaumwa, sasa kama tunaumwa unatuambia ili iweje??? Umenizidishia hasira
 
Ndugu wewe utakuwa unamatatizo makubwa.
Hata kama chadema wakimweka mbuzi awe mgombea tutamchagua mbuzi ilimradi ccm wasishinde tena
Chadema muweke mbuzi mara ngapi. Halafu tumeshawashtukia mnata mzee wa watu mumuue kwa presha ili mrithi mali zake. Hafi ng'o mpaka amuone rais wa awamu ya tano ambaye si mwingine bali ni Dkt. John P. Joseph Magufuli. Hao mbuzi wenu mnaowataka tafuteni mchinje mle kwani ndo jadi yenu na mkafanye matambiko mlivyozoea.
 
Lowasa ana vikosi vya kampeni vya hatareee sana kajipanga mno nilichoshuhudia juzijuzi hapa jijini kwa kweli kama hii timu ipo Tanzania nzima basi Magufuli ameshashindwa.Jamaa kajipanga sanaaa tena mno
Tatizo la wana ukawa ni wagimu kuelewa na wepesi kusahau. Hivi mnakumbuka juzi mtu huyo Lowassa alipata wadhamini laki nane na zaidi wakati waliokuwa wakihitajika ni 450 tu. Je mbona aliangukia pua kwenye chama chake ambacho alisema mwenyewe kuwa hawezi kuhama. Hivyo vikosi unavyoviona vya Maskini Mzee huyo ni vya kusaka noti. Si unajua wengi wao wanomkubali wanatoka wapi. Mtu kama Mbatia ambaye ni mtu aliyekuwa anaaminika kuwa mzalendo, mpenda maendeleo lakini angalia alivyogeuka ghafla na kumsifia lowassa. Aisifue mvua, imemnyea. Kwa hiyo na hawa jamaa wanamsifia jamaa yao kwani amewajaza vitu. Akaunti zao zimetuna.
 
Endeleeni kujipa moyo.muda si mrefu lichama litakua juu ya mawe.
 
Watanzania kama kuna mtu anafikiria kuwa Lowassa kushika dola asahau waswahili wanasema ivi iliko bahari ndiko mito iendako, hii inatokana na chama tawala kucheza vizuri kwenye safu ya ushambuliji na ulinzi mama Samia Suluhu kawamaliza wapinzani ni mtu atakayeipatia CCM kura nyingi mno unabisha subiri.
kama wewe ndie uliyeiumba Tanzania ni sawa unavyosema, lakini kama sivyo..bora unyamaze usitukane bure!
 
mbona jibu liko wazi!!!!juz mke wa lowasa ragina lowasa kakutana na moto itilima mkoa wa simiyu wa kukataliwa yeye na mbunge wake
 
Kwani kuna watu bado watajisumbua kwenda kupiga kura teh teh teh Magufuli ndio rais utaki kaandamane
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom