Innocizy
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 1,736
- 1,056
una nyota ya chips yai mkuu!
Ndo ikoje hiyooo???
una nyota ya chips yai mkuu!
Mazingra Ya Kupendw Umeyatengeneza Mweyew Coz Umejilegez Kifala. Hufai Kuw Mwanaume Shujaa. Nan Alikwmbia Ukimkataa Mcchana Unaonekan Shoga? Negativer Boy Ww. Kumb Kila Ki2 Hap Dunian Ni Cha Muda 2.
Wahaya bhana wakora weitu.
Nisaidie jibu la swali hili....its hard to tell aseee......unakuta MTU ur not that handsome lakini ndo hivyo...na wao ukiwauliza wanakwambia "basi tu nakupenda"
Majuzi humu jamvini nilitoa scenario ilonitokea mm,na huyo MTU hana sababu ya kusema why kazimika..