Tetra
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 1,526
- 771
Aseee upo juu!!!
ongeza na wengine!!!!!
::
Hii bahati sijui itanifikia lini, ya kupendwa jumla jumla sio rejareja!
=
Aseee upo juu!!!
ongeza na wengine!!!!!
kwa hiyo wewe ni muumini wa tigoo???
I will be the last to blv this!Sifa za kijinga.com
no....shida yangu ilikuwa akatae nipate sababu
habari za asubuhi wana MMU
kwakifupi nna wapenzi wanne kati ya hao wanne nnampenda kupita wote ni mmoja tu ambaye nilimtongoza mwenyewe sasa hao watatu wengine wamenitongoza wenyewe kwakuwa sitaki sifa mbaya mtaani ya kuonekana shoga kwamba nimetongozwa na demu halafu nimekataa hii ni sifa mbaya maana nyie wadada sometimes mnamambo ya kukomoana...............cha kushangaza sasa napendwa jumla kila njia nnayotumia kuachana nayo hawaelewa mwisho mmoja juzi nimemwambia nataka tigo yeye anasema twende tu hakuna nnachotaka kwake akashindwa kunipa kama kipo ndani ya uwezo wake.........mwingine alivyonitongoza tu siku ya tatu nikaomba game kwa njia ya kumuonesha mm kicheche ili achomoe nimtafutie sababu ya kuniacha lakin wap sijui kwanini napendwa kama hivi
Hii pen name yako.... Huwa unaomba msamaha sana?
Yeah! ni mtu wa apologise sana mie, kwakua najua umenikosea au nimekukosea nikikuapologise sifi ila nakuwa na amani. kifupi napenda aman itawale moyoni mwangu
hata mchezaji akimpigia refa makofi anapewa kadi ya njano..teh!!Hahahha siokila anayekupigi makofi anakupongeza chunga
hata mchezaji akimpigia refa makofi anapewa kadi ya njano..teh!!
hapana kwakwel nataka kuonana mungu
It ain't a very healthy habit. Kwa mfano you dont have to apologise for persuing your dream...of for being yourself, for believing on something that others dont believe in.
Key to failure is trying to please everyone. Lakini kuwa na amani ni kitu kizuri sana (ndo maana mi natumia bunduki kuhakikisha amani inatawala #wink )