Bambanza jr. JF-Expert Member Aug 6, 2011 355 36 Oct 25, 2011 #2 Ha! Ha! Ha! Iyo ya kwanza nimeipenda,
mysteryman JF-Expert Member Aug 4, 2011 977 176 Oct 25, 2011 #3 Hahahaha dah hiyo ya pili ni dawa tosha aisee
Rosweeter JF-Expert Member Oct 28, 2010 1,171 4,432 Oct 25, 2011 #4 Tehe tehe tehe teheeeeeeeeeeeeee................................ hiyo ya kwanza imetulia mzee
W WARREN Member Apr 4, 2011 17 6 Oct 25, 2011 #7 mbaya sanaaaaaaa! Ooooh God wasaidie wanandoa wasichokane!
NYENJENKURU JF-Expert Member Feb 11, 2011 1,063 288 Oct 25, 2011 #10 Zote safi sana .Lakini yataka moyo kufanya hivyo.
feis buku JF-Expert Member Aug 29, 2011 2,342 676 Oct 25, 2011 #11 mmh! ntaiweka wapi sura yangu ikifikia hivi!!
chapaa JF-Expert Member Feb 19, 2008 2,351 203 Oct 26, 2011 #13 Ndo ushachokwa hivo feis buku said: mmh! ntaiweka wapi sura yangu ikifikia hivi!! Click to expand...
ladyfurahia JF-Expert Member May 10, 2011 14,699 9,461 Oct 26, 2011 #14 Jamani mwenzenu sijapenda hata moja
Q Qsm JF-Expert Member Dec 11, 2008 445 251 Oct 26, 2011 #16 Kwa maana hiyo tunaochokwa ni wanawake tu! ngoja nitafute za wanaume
AMINATA 9 JF-Expert Member Aug 6, 2011 2,120 641 Oct 26, 2011 #17 ahahahaaaaaaaaaaaaaaaaa ama kweli hakuna marefu yasiyokua na ncha
MAMMAMIA JF-Expert Member Feb 26, 2008 3,811 1,603 Oct 26, 2011 #18 Kwa nini wanasubiri mpaka kufikia huko? Mkichokana na kama hakuna kurudi nyuma, kila mmoja aelekee upande wake, salama u salimini.
Kwa nini wanasubiri mpaka kufikia huko? Mkichokana na kama hakuna kurudi nyuma, kila mmoja aelekee upande wake, salama u salimini.
Ngalikihinja JF-Expert Member Sep 1, 2009 31,272 31,396 Oct 26, 2011 #19 Yaani hiyo ya tatu (ya kisu) ndo sijaielewa kabisaa...... yaani wamechokana siku ya kufunga ndoa........... OMG
Yaani hiyo ya tatu (ya kisu) ndo sijaielewa kabisaa...... yaani wamechokana siku ya kufunga ndoa........... OMG
Likwanda JF-Expert Member Jun 16, 2011 3,910 1,131 Oct 26, 2011 #20 Hiyo ya kwanza lazima usikie paaa!