ha!ha!ha! Ngoja niwe mtazamaji na msomaji.
hahaa number 6&7 inanikumbusha siku ya kwanza kushare bed with my Man looh........
Yule miss TZ amesharudi? hivi amekuwa wa ngapi?
Hebu msidanganyane wengine wanalala kama pono hata kama mlikumbatiana mkianza kuutafuta usingizi mkiamka mwengine miguu kamuwekea mwenzie kichwani lol
aiseeeee babayangu kumbe sikusoma kichwa cha habari ngoja nitoke nduki
wengine wana jasho sasa inakuaje hapo kwa wale tusio na IC na feni?
Nimeipenda hii![]()
from "FP" to Fixed point"uuwwwiiiii wengine hatukui kwa waume zetu, hata kama wao siyo "oldman"
namba 7 ndo napata usingizi mnonoooooooo! hakuna nightmares.
Asprin unantaka.............Afu ukandanganya eti wewe bikira. Mi mzembe kama mawani ya Mugabe.
Ha!ha!ha! happiness win we nae unakaba mpaka penati subili mwisho wa wiki hii wausika watazungumza kilichotokea na sababu na amekuwa wa ngapi pia itabidi waseme pia.