Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,916
Kuna tofauti kubwa ya kuishi kama mume na mke, kuishi kama wanandoa na kuishi kwenye ndoa
Ukaribu
Kushare hisia njema na mbaya
Kushare fikra na matamanio binafsi, ndoto na maono
Uaminifu
Upendo
Heshima na kujali
Fadhaa na fanaka nk
Haya mambo huamua aina ya mahusiano yenu mliyonayo
Utambulisho wa mwenza mbele ya hadhira
Muito/namna ya kumuita mwenza wako
Majina ya utani mnayopeana
Mavazi yenu
Kula ye nu
Kunywa yenu
Tembea yenu
Kila kimoja huwatambulisha afya ukaribu, ukweli na patano kati yenu..
Huyu ndio mume/mke wangu mpenzi
Huyu ndio mwenza wangu
Huyu ndio baba/mama watoto wangu
Huyu ndio shemeji yako/yenu
Huyu ndiye niliyefunga naye ndoa
Huyu ndiye ninayeishi naye
Huyu ndio asali, pumzi ya mtima wangu..!
Utambulisho hufanyika kwa bashasha na furaha ama kwa sauti ya chini na kuona haya kidogo?
Kuna wakati wa kuzoeana
Kuna wakati wa kuchokana
Kuna wakati wa kuchunguzana
Kuna wakati wa kuoneana mapungufu yaliyokuwa yamejificha hapo nyuma
Kuna nyakati za kugundua kumbe ulimpata mtu sahihi na kuzidisha upendo mara dufu
Heshima na upendo havioneshwi kwa kupeana shikamoo na bali kwakuwa mwaminifu kwa mwenza wako kwa kuheshimu utupu wako na kuulinda kwa gharama zote ukimtunzia yeye tu..!
Ukaribu
Kushare hisia njema na mbaya
Kushare fikra na matamanio binafsi, ndoto na maono
Uaminifu
Upendo
Heshima na kujali
Fadhaa na fanaka nk
Haya mambo huamua aina ya mahusiano yenu mliyonayo
Utambulisho wa mwenza mbele ya hadhira
Muito/namna ya kumuita mwenza wako
Majina ya utani mnayopeana
Mavazi yenu
Kula ye nu
Kunywa yenu
Tembea yenu
Kila kimoja huwatambulisha afya ukaribu, ukweli na patano kati yenu..
Huyu ndio mume/mke wangu mpenzi
Huyu ndio mwenza wangu
Huyu ndio baba/mama watoto wangu
Huyu ndio shemeji yako/yenu
Huyu ndiye niliyefunga naye ndoa
Huyu ndiye ninayeishi naye
Huyu ndio asali, pumzi ya mtima wangu..!
Utambulisho hufanyika kwa bashasha na furaha ama kwa sauti ya chini na kuona haya kidogo?
Kuna wakati wa kuzoeana
Kuna wakati wa kuchokana
Kuna wakati wa kuchunguzana
Kuna wakati wa kuoneana mapungufu yaliyokuwa yamejificha hapo nyuma
Kuna nyakati za kugundua kumbe ulimpata mtu sahihi na kuzidisha upendo mara dufu
Heshima na upendo havioneshwi kwa kupeana shikamoo na bali kwakuwa mwaminifu kwa mwenza wako kwa kuheshimu utupu wako na kuulinda kwa gharama zote ukimtunzia yeye tu..!