Wananchi wanalazimishwa kuipenda CCM, hivyo wanaipenda kwa hofu na unafiki. Haipo mioyoni mwao kabisa na kupingana nayo ni kutafuta mauti

Wananchi wanalazimishwa kuipenda CCM, hivyo wanaipenda kwa hofu na unafiki. Haipo mioyoni mwao kabisa na kupingana nayo ni kutafuta mauti

chararaa

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2025
Posts
1,861
Reaction score
2,881
Ushahidi wa hili ni katika kupiga kura kwakuwa ni tendo la hiyari na halina kutafutana, hawapigi kura kabisaa na hawana fikra hizo za kupiga kura kwa hiyar yao wenyewe ndio maana

Ikiwa hakuta kuwa na kura za kupika zitakazo wekwa na wasimamizi wa vituo kwenye masanduku ya kupigia kura kama ilivyo zoeleka , amini amini nawaambia asilimia ya watakao jitokeza kupiga kura kihalali kabisa bila shuruti wala mikwala haita zidi 30% ya wananchi wote nchi nzima walio takiwa kupiga kura ikiwa takwimu zitachukuliwa.
 
FB_IMG_1741855466216.jpg
 
Ushahidi wa hili ni katika kupiga kura kwakuwa ni tendo la hiyari na halina kutafutana, hawapigi kura kabisaa na hawana fikra hizo za kupiga kura kwa hiyar yao wenyewe ndio maana

Ikiwa hakuta kuwa na kura za kupika zitakazo wekwa na wasimamizi wa vituo kwenye masanduku ya kupigia kura kama ilivyo zoeleka , amini amini nawaambia asilimia ya watakao jitokeza kupiga kura kihalali kabisa bila shuruti wala mikwala haita zidi 30% ya wananchi wote nchi nzima walio takiwa kupiga kura ikiwa takwimu zitachukuliwa.
upotoshaji wa kilofa mno huu gentleman kuelekea uchaguzi mkuu wa October 🐒
 
upotoshaji wa kilofa mno huu gentleman kuelekea uchaguzi mkuu wa October 🐒
Unajua ukweli vizuri kabisa na huu wako ndio unafiki wenyewe nilio uongelea, hamjawahi kuwa wakweli kwa jambo lolote na mna ugomvi mkubwa na ukweli
 
Unajua ukweli vizuri kabisa na huu wako ndio unafiki wenyewe nilio uongelea, hamjawahi kuwa wakweli kwa jambo lolote na mna ugomvi mkubwa na ukweli
Yes,
naujua ukweli lakini sio uoptoshaji wako wa kindezi jukwaani 🐒
 
Saw…..tufanye huu mwaka mnapendwa sana….tuweke reform basi tuone
masuala ya uhuru na haki za wananchi kikatiba sio mapenzi gentleman.

wananchi wakiamua kufanya reforms kama walivyofanya kuelekea uchaguzi mkuu wa October mwaka huu, wanaweza kufanya hivyo bila mbambamba na mayowe ya vibaka na matapeli wa kisiasa wa baadhi ya vyama vya siasa nchini 🐒
 
1.wakuu wa vyombo vya dola utenguzi wao ususukumwe na pressure za mwana siasa bali utenguzi uwe na sababu na ziwekwe wazi ili nao wawe huru kutekeleza majukumu yao bila hofu ya kutenguliwa kwa maslahi ya kuinusuru nchi.

2.utekaji na mauaji si jambo la kuchekewa na kufumbiwa macho na serikali wala kushangiliwa na wana ccm hata kama wanao tekwa na ku uawa ni wapinzani wao kisiasa.

3.haki ya kuishi aliyo nayo mtoto wa Rais, IGP,Waziri mkuu, CDF,DGTISS ni sawa sawa na haki ya kuishi aliyo nayo MDUDE, ALLY KIBAO, nawengineo , maana kama hao viongozi wana uchungu na uhai wa watoto wao kadhalika wazazi na watoto na wana familia wa hao wanao tekwa na kuuawa wana uchungu vile vile, maana si kwamba mtoto wa rais,IGP,DGTISS ,CDF ni binadamu halafu Mdude,kibao, na wezingeo ni mbuzi la hasha.
kulazimisha kupendwa ni upotoshaji wa kilofa mno hasa ukikataliwa 🐒
Hilo lipo bayana mbona halina ubishi
 
Jana nimelala naiwazia ccm baba ni katibu wilaya ya ccm chanzo cha mm kuhama nyumbani tulitofautiana vyama na mzee jana mzee kamipigia cm ananiambia anatmani kuacha madaraka ila anaogopa ataonekana msaliti ila hapandezwi na yanayoendelea hayo maneno yameninyima usingizi namkumbuka hata mabeyo nahisi anatamani muda urudi nyuma
 
upotoshaji wa kilofa mno huu gentleman kuelekea uchaguzi mkuu wa October 🐒
Hebu Tlaatlaah toa maoni yako hapo ,ubaya wa Gwajima upo kwenye kipengele kipi kati ya hivi vikuu alivyo viongelea kwenye speech yake toa maoni kipi hapo ni kibaya kina faa kabisa Gwajima kuzomewa na wana CCM wenzie!?

1.wakuu wa vyombo vya dola utenguzi wao ususukumwe na pressure za mwana siasa bali utenguzi uwe na sababu na ziwekwe wazi ili nao wawe huru kutekeleza majukumu yao bila hofu ya kutenguliwa kwa maslahi ya kuinusuru nchi.

2.utekaji na mauaji si jambo la kuchekewa na kufumbiwa macho na serikali wala kushangiliwa na wana ccm hata kama wanao tekwa na ku uawa ni wapinzani wao kisiasa.

3.haki ya kuishi aliyo nayo mtoto wa Rais, IGP,Waziri mkuu, CDF,DGTISS ni sawa sawa na haki ya kuishi aliyo nayo MDUDE, ALLY KIBAO, nawengineo , maana kama hao viongozi wana uchungu na uhai wa watoto wao kadhalika wazazi na watoto na wana familia wa hao wanao tekwa na kuuawa wana uchungu vile vile, maana si kwamba mtoto wa rais,IGP,DGTISS ,CDF ni binadamu halafu Mdude,kibao, na wezingeo ni mbuzi la hasha.
 
Ccm wanachofanya ni state capture forcibly Yani wamewaweka watanzania mateka wote tupo at gun point ila kiukweli wenye mapenzi na hao maamuma ni vile vizee vya miaka 60 Tena vya vijijini ambao kizazi Chao kinaondoka ukiona kijana anaisapoti ccm ujue ni kwaajili ya:
1. Vyeo
2. Ajira
3. Fursa
4. Upendeleo
5. Connection
Ila vijana walio wengi Wala hawana mapenzi na ccm.
 
1.wakuu wa vyombo vya dola utenguzi wao ususukumwe na pressure za mwana siasa bali utenguzi uwe na sababu na ziwekwe wazi ili nao wawe huru kutekeleza majukumu yao bila hofu ya kutenguliwa kwa maslahi ya kuinusuru nchi.

2.utekaji na mauaji si jambo la kuchekewa na kufumbiwa macho na serikali wala kushangiliwa na wana ccm hata kama wanao tekwa na ku uawa ni wapinzani wao kisiasa.

3.haki ya kuishi aliyo nayo mtoto wa Rais, IGP,Waziri mkuu, CDF,DGTISS ni sawa sawa na haki ya kuishi aliyo nayo MDUDE, ALLY KIBAO, nawengineo , maana kama hao viongozi wana uchungu na uhai wa watoto wao kadhalika wazazi na watoto na wana familia wa hao wanao tekwa na kuuawa wana uchungu vile vile, maana si kwamba mtoto wa rais,IGP,DGTISS ,CDF ni binadamu halafu Mdude,kibao, na wezingeo ni mbuzi la hasha.
Hilo lipo bayana mbona halina ubishi
ni muhimu sana kuielewa katiba japo kidogo itasaidia kuondokana na dhana potofu katika siasa 🐒
 
upotoshaji wa kilofa mno huu gentleman kuelekea uchaguzi mkuu wa October 🐒
Ukweli ni kwamba huyu Mama hana kismart cha kupendwa huku mtaani ukiona mpaka Wanawake wanakukataa ujue ipo shinda kweli
 
Hebu Tlaatlaah toa maoni yako hapo ,ubaya wa Gwajima upo kwenye kipi kati ya hivi vikuu alivyo viongelea kwenye speech yake

1.wakuu wa vyombo vya dola utenguzi wao ususukumwe na pressure za mwana siasa bali utenguzi uwe na sababu na ziwekwe wazi ili nao wawe huru kutekeleza majukumu yao bila hofu ya kutenguliwa kwa maslahi ya kuinusuru nchi.

2.utekaji na mauaji si jambo la kuchekewa na kufumbiwa macho na serikali wala kushangiliwa na wana ccm hata kama wanao tekwa na ku uawa ni wapinzani wao kisiasa.

3.haki ya kuishi aliyo nayo mtoto wa Rais, IGP,Waziri mkuu, CDF,DGTISS ni sawa sawa na haki ya kuishi aliyo nayo MDUDE, ALLY KIBAO, nawengineo , maana kama hao viongozi wana uchungu na uhai wa watoto wao kadhalika wazazi na watoto na wana familia wa hao wanao tekwa na kuuawa wana uchungu vile vile, maana si kwamba mtoto wa rais,IGP,DGTISS ,CDF ni binadamu halafu Mdude,kibao, na wezingeo ni mbuzi la hasha.
ni kupoteza wakati kutoa maoni dhidi ya story na porojo za mtu anaetafuta mlango wa kutokea baada ya kushindwa vibaya kutekeleza ahadi alizowaahidi wananchi anaowawakilisha mjengoni gentleman 🐒
 
ni muhimu sana kuielewa katiba japo kidogo itasaidia kuondokana na dhana potofu katika siasa 🐒
Kwenye mambo yanayo walinda ninyi katiba ifuatwe ila yanayo toa nafasi kwa wenzenu katiba haina haja ni kijitabu sio? Hivi kwenye katiba kina kipengere kinasema anaye pingana na mwenendo mbovu wa serikali atatakiwa kutekwa nankupotezwaa? Hebu tusaidiane hapo hicho kipengere ili wote tujiridhishe katiba kweli inafuatwa
 
Ukweli ni kwamba huyu Mama hana kismart cha kupendwa huku mtaani ukiona mpaka Wanawake wanakukataa ujue ipo shinda kweli
huenda ni wale wachache wambea wambea wanauzurura mitaani tu bila kashughuli kukufanya 🐒
 
Ccm wanachofanya ni state capture forcibly Yani wamewaweka watanzania mateka wote tupo at gun point ila kiukweli wenye mapenzi na hao maamuma ni vile vizee vya miaka 60 Tena vya vijijini ambao kizazi Chao kinaondoka ukiona kijana anaisapoti ccm ujue ni kwaajili ya:
1. Vyeo
2. Ajira
3. Fursa
4. Upendeleo
5. Connection
Ila vijana walio wengi Wala hawana mapenzi na ccm.
Mkuu hadi wazee wameikataa CCM kwa sasa yaani huku mtaani mpaka unashangaa ni upepo gani huu 😁😁😁katika Marais wote walio pita huyu Mama hapendwi wala hakubaliki ila atashinda huu uchaguzi kwa gori la mkono.
 
Back
Top Bottom