Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 359,882
- 828,449
Je ni kweli kwamba wenye akili wako mtaani na wengine ndio wako kwenye mamlaka walioaminiwa na kukasimiwa madaraka makubwa ya maamuzi?
Je ni kweli na pengine ni sahihi kusema kwamba wana maono kimo cha mbilikimo?
Kwa wenzetu walionyooka kama rula ukituhumiwa tuu.. Cha kwanza ni kuachia kiti na kupisha uchunguzi
Ikithibitika aliyekutuhumu kakubambikia kesi, ambayo ingekuwa adhabu yako anaibeba yeye!
Hivi kwa akili nyepesi kabisa.. Jeshi la police halijui alipo Mdude mpaka liwaombe msaada wananchi? Na je wananchi wakitoa taarifa zinafanyiwa kazi na kupewa matokeo?
Je ni kweli na pengine ni sahihi kusema kwamba wana maono kimo cha mbilikimo?
Kwa wenzetu walionyooka kama rula ukituhumiwa tuu.. Cha kwanza ni kuachia kiti na kupisha uchunguzi
Ikithibitika aliyekutuhumu kakubambikia kesi, ambayo ingekuwa adhabu yako anaibeba yeye!
Hivi kwa akili nyepesi kabisa.. Jeshi la police halijui alipo Mdude mpaka liwaombe msaada wananchi? Na je wananchi wakitoa taarifa zinafanyiwa kazi na kupewa matokeo?