Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,798
- 218,442
Ujinga sio wa wananchi ni hao viongozi mbona hatujasikia wakigombea ticket za nmb au za crdb na ni za bure zote.. maana yake ofisi ya mkuu wa mkoa haikuwa na utaratibu mzuri wa kugawa hizo tickets.Nchi hii ina watu wajinga sana
HakikaUjinga sio wa wananchi ni hao viongozi mbona hatujasikia wakigombea ticket za nmb au za crdb na ni za bure zote.. maana yake ofsi ya mkuu wa mkoa haikuwa na utaratibu mzuri wa kugawa hizo tickets.
Yanga ni kama CCM tu ,ina ushetani mwingi sanaHata kama ni Msaada lakini namna ambavyo Chalamila ametumia kuzigawa tiketi hizo za mechi ya Yanga ni kama udhalilishaji hivi.
Hivi ni kweli nchi hii imefikia dhiki ya namna hii ya watu kukanyagana hadi kukimbizwa Amana wakigombea tiketi za Yanga?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Wangekanyagana kwenye mkutano wa Mbowe ungesema nguvu ya umma, watu tunapenda soka kuliko siasa uliza ujue ukweli, mjinga mjinga wewe.Hata kama ni Msaada lakini namna ambavyo Chalamila ametumia kuzigawa tiketi hizo za mechi ya Yanga ni kama udhalilishaji hivi.
Hivi ni kweli nchi hii imefikia dhiki ya namna hii ya watu kukanyagana hadi kukimbizwa Amana wakigombea tiketi za Yanga?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Wangekanyagana kwenye mtutano wa mbowe ungesema nguvu ya umma ,watu tunapenda soka kuliko siasa uliza ujue ukweli ,mjinga mjinga wewe
USSR
Mkuu vipi Alhaji Rashid Mbowe hajawanunulia maskini wa hii nchi tiketi?
Kijambio chako kikikuwasha utakazwa tu
Matusi ya nini tena kijana , jikite kwenye hoja tu , sisi wa Tandika Mwembeyanga hatutishwi na matusi , usipoteze mudaKijambio chako kikikuwasha utakazwa tu
USSR
Tafuta pesa kama unapenda soka ujilipie, no more no less…. no justification.Wangekanyagana kwenye mtutano wa mbowe ungesema nguvu ya umma ,watu tunapenda soka kuliko siasa uliza ujue ukweli ,mjinga mjinga wewe
USSR