Wananchi wa Longido Wafukuzwa kwenye vijiji vyao

Olaigwanani lang

JF-Expert Member
Apr 26, 2012
541
175
Ndugu wana jf ni siku za karibuni tuu wananchi wa Loliondo ngorongoro wameondolewa kwenye maeneo yao ya asili...na sasa zoezi hilo limeshaanza wilaya ya Longido ambapo vijiji zaidi ya 30 vya mlima wa Ketumbeine na Gelai wameambiwa waondoke haraka kwenye maeneo yao ambayo wameishi kabla hata ya Uhuru wa Tanganyika...Cha ajabu zaidi mbunge wa huku bwana Kiruswa hata hana muda wa kuwasemea wananchi wake na wamebakia na sintofahamu kwani wamenyimwa hata kulima mazao na hiki ndio kipindi cha kilimo kwa vijiji vya maeneo hayo ...

Ndugu wananchi tunaomba sauti ipazwe kwani jamii yetu imekuwa kama Wakimbizi katika nchi yao na hatuna haki na maisha kila mahali tunapoishi tumegeuka kama wanyama wa mwituni....

Huu ni uonevu na uvunjwaji wa hali hususan katika jamii yetu hii...
Mheshimiwa Rais tunaomba msaada wako haraka iwezekanavyo.
 
Ndugu wana jf ni siku za karibuni tuu wananchi wa Loliondo ngorongoro wameondolewa kwenye maeneo yao ya asili...na sasa zoezi hilo limeshaanza wilaya ya Longido ambapo vijiji zaidi ya 30 vya mlima wa Ketumbeine na Gelai wameambiwa waondoke haraka kwenye maeneo yao ambayo wameishi kabla hata ya Uhuru wa Tanganyika...Cha ajabu zaidi mbunge wa huku bwana Kiruswa hata hana muda wa kuwasemea wananchi wake na wamebakia na sintofahamu kwani wamenyimwa hata kulima mazao na hiki ndio kipindi cha kilimo kwa vijiji vya maeneo hayo ...

Ndugu wananchi tunaomba sauti ipazwe kwani jamii yetu imekuwa kama Wakimbizi katika nchi yao na hatuna haki na maisha kila mahali tunapoishi tumegeuka kama wanyama wa mwituni....

Huu ni uonevu na uvunjwaji wa hali hususan katika jamii yetu hii...
Mheshimiwa Rais tunaomba msaada wako haraka iwezekanavyo.
Watanzania tumerogwa,Mazezeta
 
Huyu mama atakuja kufa kifo kibaya na cha ajabu kwasababu ya laana za wamasai...Sijawawi kumpenda wala kumuamini mwanamke kwenye maisha yangu..ndio maana mitume wote wa Mungu ni wanaume.

Mwanaume yeyote anamuamini mwanamke amelaaniwa na ni mpuuzi tu.
 
alipoianza safari watu walijua tumeula now mambo safi ila mpka sasa ukisema mama huko mtaani basi unaangaliwa vibaya kwakua hana alilofanya la maana na nasikitika kwa usaliti utakaotokea sio huko ndani ya chama bali hata kwa wapiga kura
 
Wamaasai wamebakia peke yao huku wakiwa wapweke sana. Wamepoteza ardhi yao ya asili kupitia ubinafsi na tamaa za wanasiasa.

Katika hali ya kawaida tulitegemea kusikia wabunge wakilizungumzia jambo hili kwa kina, lakini wapi! Ama kwa hakika CCM ni laana kwa nchi hii
 
K
Ndugu wana jf ni siku za karibuni tuu wananchi wa Loliondo ngorongoro wameondolewa kwenye maeneo yao ya asili...na sasa zoezi hilo limeshaanza wilaya ya Longido ambapo vijiji zaidi ya 30 vya mlima wa Ketumbeine na Gelai wameambiwa waondoke haraka kwenye maeneo yao ambayo wameishi kabla hata ya Uhuru wa Tanganyika...Cha ajabu zaidi mbunge wa huku bwana Kiruswa hata hana muda wa kuwasemea wananchi wake na wamebakia na sintofahamu kwani wamenyimwa hata kulima mazao na hiki ndio kipindi cha kilimo kwa vijiji vya maeneo hayo ...

Ndugu wananchi tunaomba sauti ipazwe kwani jamii yetu imekuwa kama Wakimbizi katika nchi yao na hatuna haki na maisha kila mahali tunapoishi tumegeuka kama wanyama wa mwituni....

Huu ni uonevu na uvunjwaji wa hali hususan katika jamii yetu hii...
Mheshimiwa Rais tunaomba msaada wako haraka iwezekanavyo.
Kichwa cha habari Longido,ndani story Loliondo.
Omba msaada wa Admn arekebishe
 
Back
Top Bottom