MgungaMiba
JF-Expert Member
- Aug 28, 2011
- 999
- 815
Wananchi wa Igunga, Kata ya Mwashiku katika Kijiji cha Mwashiku, wakiwa bado na hasira ya kudhulumiwa haki yao ya kupiga kura, kuuawa kinyama kwa wenzao na wengine wakipotea mpaka leo hawajulikani walipo.
Jana J'pili saa 4 asubuhi, walimkamata Mwalimi Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Mwashiku Bw. Medard Labozi, walimfunga kamba, wakampiga mawe, kisha wakamchoma moto akiwa hai. Alipiga kelele za kutisha hadi alipokata roho, mwili wake uliteketea hadi kubaki majivu.
Kosa lake ni kukamatwa akiiba saruji ya ujenzi wa sekondari hiyo. Wakati wakifanya ukatili huo, wananchi hao walisikika wakisema, "Kura mtuibie, Wenzetu Muwaue, hata Jasho letu pia Mtuibie?
Hii ndiyo dawa yenu Mafisadi wakubwa, na huyo Mkurugenzi Magayane nae tunamtafutia timing tumfanye hivihivi!"
Jana J'pili saa 4 asubuhi, walimkamata Mwalimi Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Mwashiku Bw. Medard Labozi, walimfunga kamba, wakampiga mawe, kisha wakamchoma moto akiwa hai. Alipiga kelele za kutisha hadi alipokata roho, mwili wake uliteketea hadi kubaki majivu.
Kosa lake ni kukamatwa akiiba saruji ya ujenzi wa sekondari hiyo. Wakati wakifanya ukatili huo, wananchi hao walisikika wakisema, "Kura mtuibie, Wenzetu Muwaue, hata Jasho letu pia Mtuibie?
Hii ndiyo dawa yenu Mafisadi wakubwa, na huyo Mkurugenzi Magayane nae tunamtafutia timing tumfanye hivihivi!"