Wananchi wa Igunga nao wameamua kuua!

MgungaMiba

JF-Expert Member
Aug 28, 2011
999
815
Wananchi wa Igunga, Kata ya Mwashiku katika Kijiji cha Mwashiku, wakiwa bado na hasira ya kudhulumiwa haki yao ya kupiga kura, kuuawa kinyama kwa wenzao na wengine wakipotea mpaka leo hawajulikani walipo.

Jana J'pili saa 4 asubuhi, walimkamata Mwalimi Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Mwashiku Bw. Medard Labozi, walimfunga kamba, wakampiga mawe, kisha wakamchoma moto akiwa hai. Alipiga kelele za kutisha hadi alipokata roho, mwili wake uliteketea hadi kubaki majivu.

Kosa lake ni kukamatwa akiiba saruji ya ujenzi wa sekondari hiyo. Wakati wakifanya ukatili huo, wananchi hao walisikika wakisema, "Kura mtuibie, Wenzetu Muwaue, hata Jasho letu pia Mtuibie?

Hii ndiyo dawa yenu Mafisadi wakubwa, na huyo Mkurugenzi Magayane nae tunamtafutia timing tumfanye hivihivi!"
 
Even though I don't tolerate corrupt officials I still also don't approve people who take law into their arms. Our laws have made it clear that a subject is innocent till proven otherwise guilty by legal authorities. Consequently, I totally denounce the brutal killing of the so 'dishonesty' official and I call upon the government to seize and bring all the slayers to justice. My heart is with his bereaved wife, children and other relatives. May GOD rest his SOUL in eternal peace.
 
Huo ni ujumbe kwa wote wanao-fisadi mali za watanzania, tena kodi za walalahoi na kujinufaisha wao.
 
the way u post ur thread seems u are happy with the situation..,TAKING LIFE BY ANY CAUSE ISN'T FAIR ON POINT OF HUMANITY..,WE WONT PROGRESS BY LETTING OTHERS KILL OTHERS..,JUST COZ THEY STOLE FROM THEM...!
 
Too bad tumefikia huku kuna hatari kubwa mno.Tanzania yangu jamani naililia .
 
Well said bro! Karibu tena kutoka kifungoni Mungu awape faraja na kuwashika kwa mkono wake hodari wenye nguvu... Watoto na mke wake.
Even though I don't tolerate corrupt officials I still also don't approve people who take law into their arms. Our laws have made it clear that a subject is innocent till proven otherwise guilty by legal authorities. Consequently, I totally denounce the brutal killing of the so 'dishonesty' official and I call upon the government to seize and bring all the slayers to justice. My heart is with his bereaved wife, children and other relatives. May GOD rest his SOUL in eternal peace.
 
Duh hili limelikugusa lakini la marehemu Mbwana ukaona amejitakia...we still have a long way to go kwa stability hii. May he Rest in Pc
Even though I don't tolerate corrupt officials I still also don't approve people who take law into their arms. Our laws have made it clear that a subject is innocent till proven otherwise guilty by legal authorities. Consequently, I totally denounce the brutal killing of the so 'dishonesty' official and I call upon the government to seize and bring all the slayers to justice. My heart is with his bereaved wife, children and other relatives. May GOD rest his SOUL in eternal peace.
 
Even though I don't tolerate corrupt officials I still also don't approve people who take law into their arms. Our laws have made it clear that a subject is innocent till proven otherwise guilty by legal authorities. Consequently, I totally denounce the brutal killing of the so 'dishonesty' official and I call upon the government to seize and bring all the slayers to justice. My heart is with his bereaved wife, children and other relatives. May GOD rest his SOUL in eternal peace.

eternal peace by default... Hakuna eternal peace hapo. Hata kwa walioua
 
Wananchi wa Igunga, Kata ya Mwashiku katika Kijiji cha Mwashiku, wakiwa bado na hasira ya kudhulumiwa haki yao ya kupiga kura, kuuawa kinyama kwa wenzao na wengine wakipotea mpaka leo hawajulikani walipo, Jana J'pili saa 4 asubuhi, walimkamata Mwalimi Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Mwashiku Bw.Medard Labozi, walimfunga kamba, wakampiga mawe, kisha wakamchoma moto akiwa hai, alipiga kelele za kutisha hadi alipokata roho, mwili wake uliteketea hadi kubaki majivu, kosa lake ni kukamatwa akiiba saruji ya ujenzi wa sekondari hiyo. Wakati wakifanya ukatili huo, wananchi hao walisikika wakisema, "Kura mtuibie, Wenzetu Muwaue, hata Jasho letu pia Mtuibie? Hii ndiyo dawa yenu Mafisadi wakubwa, na huyo Mkurugenzi Magayane nae tunamtafutia timing tumfanye hivihivi!"
Jamaani heee huo nimwanzo wa baraaaaaaa CCM zinduka rudi kwa wananchi wacha ubabe huo utazaa ubabe!!!!!!!!!!!!
 
Even though I don't tolerate corrupt officials I still also don't approve people who take law into their arms. Our laws have made it clear that a subject is innocent till proven otherwise guilty by legal authorities. Consequently, I totally denounce the brutal killing of the so 'dishonesty' official and I call upon the government to seize and bring all the slayers to justice. My heart is with his bereaved wife, children and other relatives. May GOD rest his SOUL in eternal peace.
Bwn Mwita hawa watu walijua wakimpeleka huyu mkulu polisi hakuna kitu atafanyiwa!!!!!!!!!!Wananchi walishajua wezi ndio wababe na watawala hawafanywi chochote!!!! Hivyo haki ilishapotea siku nyingi nchii hii, that's mass justice!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Bwn Mwita hawa watu walijua wakimpeleka huyu mkulu polisi hakuna kitu atafanyiwa!!!!!!!!!!Wananchi walishajua wezi ndio wababe na watawala hawafanywi chochote!!!! Hivyo haki ilishapotea siku nyingi nchii hii, that's mass justice!!!!!!!!!!!!!!!!

kwahiyo baada ya kumuua wameipata hiyo haki? Halafu hawajui kuwa dhambi ya kuua mtu huwa haisamehewi na Mungu? Hao wakifa ni motoni tu
 
Siungi mkono ukatili huo wa watu kujichukulia sheria mkononi kama ambavyo haikuwa sawa kwetu kwa watu wetu kuuawa Igunga basi hata hili si sahihi. Naona watu wangu CDM mnaanza vibaya kwa kushabikia mauaji haya ya ukatili si vema. Usishangilie kuuawa kwa mwanadamu mwenzako bali. Siasa si uadui wa mpaka kushaingilia mtu kuuawa kwa kuwa si wa chama chako NO!!!!!!!!!!
 
Nakiri kuwa mimi si muumini wa ufisadi. Nachukia ufisadi. Nawachukia mafisadi.

Hatuwezi baki salama kama tutaruhusu kuuana kinyama.

Kwanini tuamue kuana wakati sheria zipo wazi na zinajieleza.

Nawalaani wote walioshiriki ktk huu unyama. Mungu ailaze roho ya Marehemu mahali panapostahili. Amen!
 
Even though I don't tolerate corrupt officials I still also don't approve people who take law into their arms. Our laws have made it clear that a subject is innocent till proven otherwise guilty by legal authorities. Consequently, I totally denounce the brutal killing of the so 'dishonesty' official and I call upon the government to seize and bring all the slayers to justice. My heart is with his bereaved wife, children and other relatives. May GOD rest his SOUL in eternal peace.

safi sana mwita. ni authority zile zile ambazo zilirekebisha kesi ya ditopile iwe ya kuua bila kukusudia, au ni zingine?
 
kwahiyo baada ya kumuua wameipata hiyo haki? Halafu hawajui kuwa dhambi ya kuua mtu huwa haisamehewi na Mungu? Hao wakifa ni motoni tu

Andiko gani hilo mkuu? kwa hiyo paulo, eliya, daudi, et al watakwenda motoni kwa kuwa walishaua kwenye maisha yao!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom