chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,118
- 22,505
kilimanjaro hoyeeeee
Kwa hiyo? Roho inakuuma wakichanga hela? Na nyie uzeni mbuzi mjenge barabara.Mimi ni msukuma halisi kabisa. Naifahamu Kilimanjaro vilivyo pamoja na watu wake yani nje ndani. Sifa zinazo mwagwa hapa ni tofauti na uhalisia wake mfano barabara zipo nyingi sana zisizo pitisha magari kipindi cha mvua tofauti na tambo za wazawa, vijana wengi ni mafundi wa ujenzi vilevile wabeba mizigo ya watalii wanao panda mlima. Kiufupi ni pa kawaida kabisa in case hujawahi fika.
Aseme ukweli boss, sisi tunajiandaa kupokea jiji la pili la Kahama hatuna tambo tunakimbiza mwizi polepole.Kwa hiyo? Roho inakuuma wakichanga hela? Na nyie uzeni mbuzi mjenge barabara.
Wewe utakufa kwa uwongo!Hahahah daaah, unakufaham Kirua Vunjo? Hali ni mbaya sana mkuu acha kupotosha kabisa. Watu mpaka leo hii wanaishi kwenye nyumba za mabanzi na mvua zikinyesha barabara hazipitiki kwa gari be real man.
Unaifaham barabara ya kilema?, sembeti road? Mimi nasema ukweli maana nipo huku for some years sio vinginevyo mkuu.Wewe utakufa kwa uwongo!
Sawa kaka, sisi tunauza yale mnaita makinikia, mchele na mbuzi kama ulivyo sema.Kwa hiyo? Roho inakuuma wakichanga hela? Na nyie uzeni mbuzi mjenge barabara.
Jiwe alisema tusubiri yaani kwa sasa haleti maendeleo kwetu!!wananchi wa vijiji 16 jimbo la vunjo Kilimanjaro kwa kushirikiana na mbunge wao makini eng James mbatia,wamechanga fedha binafsi billion 7.2 ili kujenga barabara km 232 jimboni humo
mradi huo ni wa hiari na sio wa serikali,hongereni wana Kilimanjaro kwa kijitambua,ndio maana mkoa unazidi kuchanja mbuga kimaendeleo
Mwanaume kuwa na wivu haipendezi, jifunze kwa waliofanikiwaMimi ni msukuma halisi kabisa. Naifahamu Kilimanjaro vilivyo pamoja na watu wake yani nje ndani. Sifa zinazo mwagwa hapa ni tofauti na uhalisia wake mfano barabara zipo nyingi sana zisizo pitisha magari kipindi cha mvua tofauti na tambo za wazawa, vijana wengi ni mafundi wa ujenzi vilevile wabeba mizigo ya watalii wanao panda mlima. Kiufupi ni pa kawaida kabisa in case hujawahi fika.
Unamaana gani mkuu hili neno lekidia..Lekidia oyee
Huo ndio ukweli wasio penda kuusikia wazawa.Mwanaume kuwa na wivu haipendezi, jifunze kwa waliofanikiwa
Huwezi linganisha huko kwenye makazi bora na watu wenye nyumba za nyasi, hawajui hata matumizi ya vyoo, let's be honestHuo ndio ukweli wasio penda kuusikia wazawa.