Wananchi kutengua uamuzi wa kidemokrasia Uingereza!

Hakuna unachokijua zaidi ya kuangalia cnn lkn nakwambia Uingereza haitajitoa EU na sababu kubwa ndiyo hiyo niliyoitaja maelite wanafaidika na uwepo wa nchi hiyo EU na wao ndiyo huamua na siyo wananchi subiri uone, siyo mara ya kwanza nchi ya Ulaya kupiga kura ya maoni na matokeo kupinduliwa na maelite kitakachotokea ni kama Uholanzi hiyo kura itarudiwa mpaka namba wanayotaka maelite ipatikane lilifanyika Ugiriki, Uholanzi na kwingineko!
Unajipa moyo kuwa naangalia CNN?..nna miaka kumi hapa London na nimepiga kura, sasa wewe endelea kujiongopea na Google yako.
 
Unajipa moyo kuwa naangalia CNN?..nna miaka kumi hapa London na nimepiga kura, sasa wewe endelea kujiongopea na Google yako.


Hata kama ungekuwa umezaliwa hapo nini kuishi miaka 10 lkn haimaanishi kwamba ndiyo unaelewa kinachoendelea!
 
Hata kama ungekuwa umezaliwa hapo nini kuishi miaka 10 lkn haimaanishi kwamba ndiyo unaelewa kinachoendelea!
Nakuonea huruma sababu hujui siasa za UK, hujui mambo yanavyoenda ndani ya nchi, hujui wananchi wanaongea nini. .....we una Google then unakuja mbio hapa kuanzisha thread. .....juzi Queen alikuwepo Scotland unajua aliongea nini kama wewe unajua kinachoendelea?....
 
Tatizo ni kwamba hili lingefanyika Afrika la kupindua maamuzi ya wengi ungewaona akina Baregu, Kitila, Zito & Co. ambavyo wangetoka povu na kuanza kuwanukuu akina Obama kwamba Obama alisema hivi mara vile lkn hapa kwa kuwa ubakwaji huu wa kidemokrasia anaufanya Mzungu basi mahouse nigas watatafuta sababu ya kuhalalisha ...
Mkuu hao uliowataja ni sawa sawa na zero
 
Baada ya wananchi wa nchi ya Uingereza huko bara Ulaya kutumia haki yao ya kikatiba na kupiga kura ya kutokuwa na imani na nchi yao kuendelea kubakia kuwa mwanachama wa Umoja wa Ulaya sasa wakubwa wa nchi hawataki kutii uamuzi huo na wanataka kuupindua na ukweli ni kwamba Uingereza haitatoka EU pmj na kwamba wananchi walio wengi wanataka iwe hivyo ...

Hili lingefanyika Afrika sasa hivi ma house niga wa kiafrika wangetoka povu kulipinga na kuita udikteta lkn kwa sababu ni Mzungu basi mahouse niga watakuja na sababu za kutetea na kuhalalisha ubakaji huu wa demokrasia unaofanyika huko Uingereza!
Source ya hii pumba yako umeitoa wapi?Usitulee ndoto zako za alinacha za kiccm...Uingereza inatoka na David Cameron anajiuzulu.Usidhanie uingereza ni zanzibar!
 
Source ya hii pumba yako umeitoa wapi?Usitulee ndoto zako za alinacha za kiccm...Uingereza inatoka na David Cameron anajiuzulu.Usidhanie uingereza ni zanzibar!


Hahah Wazungu hauwaelewi wewe, Uingereza haitoki EU! Tupo hapa ila usisahau tu kurudi hapa siku ukisikia Bunge limepindua matakwa ya wananchi kwa kisingizio kwamba Wabunge ndiyo wawakilishi wa wananchi!
 
Nakuonea huruma sababu hujui siasa za UK, hujui mambo yanavyoenda ndani ya nchi, hujui wananchi wanaongea nini. .....we una Google then unakuja mbio hapa kuanzisha thread. .....juzi Queen alikuwepo Scotland unajua aliongea nini kama wewe unajua kinachoendelea?....


Uingereza haitoki EU, Kama alivyowahi kusema Bill Clinton,
,,it's the economy, stupid" !
 
Hahah Wazungu hauwaelewi wewe, Uingereza haitoki EU! Tupo hapa ila usisahau tu kurudi hapa siku ukisikia Bunge limepindua matakwa ya wananchi kwa kisingizio kwamba Wabunge ndiyo wawakilishi wa wananchi!
Hakuna hizo porojo ulaya..utaratibu wa kuendelea kujitoa unaendelea.Hakuna mahali tumesikia 'bungde la uingereza laitishwa kujadili mustakabali wake EU', na haitotokea,mambo ya jecha ya hapahapa bongo tu.Kwa taarifa yako ufaransa nao wapo njiani..
 
Unajipa moyo kuwa naangalia CNN?..nna miaka kumi hapa London na nimepiga kura, sasa wewe endelea kujiongopea na Google yako.
Hongera kwa uishi ughaibuni mkuu,bongo Unarudi lini na wewe ujenge nchi yako?
 
Hakuna hizo porojo ulaya..utaratibu wa kuendelea kujitoa unaendelea.Hakuna mahali tumesikia 'bungde la uingereza laitishwa kujadili mustakabali wake EU', na haitotokea,mambo ya jecha ya hapahapa bongo tu.Kwa taarifa yako ufaransa nao wapo njiani..


Subiri uone usiwe na papara!
 
Sterling pound saivi ina trade below Euro na USD kwy masoko mengi pamoja na FTSE! Pia share za mabank,makampuni ya ujenzi na ya ndege pia zimeathirika kwa kiasi kikubwa € 100billion zishakua impaired,wingereza hawana choise zaidi ya kurudi EU kwa njia yeyote ile!Analysis ya kina haikufanyika kuangalia impact ya brexist!
 
Uengereza itatoka kama kura zilivyopigwa hakuna mapinduzi yatakayofanyika. Wenye uwezo wa kuizuia ni Scotland na kwa kutumia njia za kisheria sio kama unavyofikiria wewe. Wacha kukurupuka kupotosha watu.
 
Hakuna unachokielewa, subiri sasa uone kama Uingereza itaondoka EU!
Unataka kuhalalisha wizi wa ccm kupitia mgongo wa UK? Hao wameshajitoa ndo basi tena! Juzi wameambiwa hakutakuwa na nafasi ya majadiliano na UE hivyo wafanye haraka kuondoka!
 
Baada ya wananchi wa nchi ya Uingereza huko bara Ulaya kutumia haki yao ya kikatiba na kupiga kura ya kutokuwa na imani na nchi yao kuendelea kubakia kuwa mwanachama wa Umoja wa Ulaya sasa wakubwa wa nchi hawataki kutii uamuzi huo na wanataka kuupindua na ukweli ni kwamba Uingereza haitatoka EU pmj na kwamba wananchi walio wengi wanataka iwe hivyo ...

Hili lingefanyika Afrika sasa hivi ma house niga wa kiafrika wangetoka povu kulipinga na kuita udikteta lkn kwa sababu ni Mzungu basi mahouse niga watakuja na sababu za kutetea na kuhalalisha ubakaji huu wa demokrasia unaofanyika huko Uingereza!

Kwanza tunaomba utueleweshe u-House-Nigga ndiyo nini kama siyo maneno ya kihuni hayo. Msiwaige wamarekani weusi kwenye misemo yao ya kukatisha mjadala.
 
Acha uongo ndg. ....waingereza washatoka na juzi tu Cameron kasema bungeni kuwa hakuna kura nyingine za maoni. ....sasa wewe mwenzetu sijui umezipata wapi habari hizi wkt mimi mkazi sijazisikia.
Intelijensia imempa taarifa mupya
 
Baada ya wananchi wa nchi ya Uingereza huko bara Ulaya kutumia haki yao ya kikatiba na kupiga kura ya kutokuwa na imani na nchi yao kuendelea kubakia kuwa mwanachama wa Umoja wa Ulaya sasa wakubwa wa nchi hawataki kutii uamuzi huo na wanataka kuupindua na ukweli ni kwamba Uingereza haitatoka EU pmj na kwamba wananchi walio wengi wanataka iwe hivyo ...

Hili lingefanyika Afrika sasa hivi ma house niga wa kiafrika wangetoka povu kulipinga na kuita udikteta lkn kwa sababu ni Mzungu basi mahouse niga watakuja na sababu za kutetea na kuhalalisha ubakaji huu wa demokrasia unaofanyika huko Uingereza!

Wewe unaropoka mambo usiyoyajua.
Kwamba unajua katiba ya uingereza kwamba kwa matokeo hayo inahitajika referendum nyingine?

Unafahamu kwamba kuna hitaji la utelezwaji wa azimio hilo iwapo turn up ya wapiga kura haitakuwa chini ya 70% na kwamba maamuzi ya kura yatatekelezwa iwapo yatakuwa na kura zisizopungua 60%?
Unafahmau kwamba sasa wako kwenye mchakato wa kukamilisha taratibu zinazohitajika katika mchakao a kuwa na referendum ya pili?

Acheni uswahili wa ccm wa kupindisha kila ukweli kuwa uwongo!. Unafikiri waingereza wanatumia vinyesi kufikiria kama wale wanaofuta chaguzi na kuwazuia watu kujumulisha matokeo ya kura? Hiyo ni dunia nyingine, hadi ccm iondoke madarakani ndipo mtaweze kuona kwa nini watu hawalitaki hili dude liitwalo ccm. Ujinga mtupu!
 
Amini ninachokwambia Uingereza haitajitoa EU na sababu ni moja tu nayo ni kwamba maelite hawataki kwani watapoteza mengi kuanzia umuhimu wa financial center london ambayo ndiyo Moyo wa uchumi wa nchi hiyo!
Nakushauri jadili mambo ya VAT haya ya EU nafikiri yatawachanganya UK lazima itoke ila haiwezi kutoka siku moja kuna process lazima zifuatwe inaweza kuchukua miaka 2
 
Back
Top Bottom