Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Baada ya wananchi wa nchi ya Uingereza huko bara Ulaya kutumia haki yao ya kikatiba na kupiga kura ya kutokuwa na imani na nchi yao kuendelea kubakia kuwa mwanachama wa Umoja wa Ulaya sasa wakubwa wa nchi hawataki kutii uamuzi huo na wanataka kuupindua na ukweli ni kwamba Uingereza haitatoka EU pmj na kwamba wananchi walio wengi wanataka iwe hivyo ...
Hili lingefanyika Afrika sasa hivi ma house niga wa kiafrika wangetoka povu kulipinga na kuita udikteta lkn kwa sababu ni Mzungu basi mahouse niga watakuja na sababu za kutetea na kuhalalisha ubakaji huu wa demokrasia unaofanyika huko Uingereza!
Hili lingefanyika Afrika sasa hivi ma house niga wa kiafrika wangetoka povu kulipinga na kuita udikteta lkn kwa sababu ni Mzungu basi mahouse niga watakuja na sababu za kutetea na kuhalalisha ubakaji huu wa demokrasia unaofanyika huko Uingereza!