Wananamziki Walio 'Hit' Kimagumashi

Wananamziki Walio 'Hit' Kimagumashi

sembo

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
4,350
Reaction score
3,451
1. FEZA KESSY.
Huyu alkuwa mwakilishi BBA. Alpochaguliwa tu akakamata fursa kwa kuingia studio na kutoa ngoma, akiamini kuwa BBA ndo kujua mziki. Honestly huyu dada hajui kitu ndo mana tangu atoe ule wimbo wake hadi hivi sasa ni "ZZZZZZ...!".

2. SHETA.
Huyu dogo ni kolabo tu ndo zinamweka mjini, bila hivyo angekua anasugua benchi tu kama kina Suma G. Mnakumbuka alishawahi kutoa ngoma aliyoimba peke yake inayoitwa Tunaplay, na akaishia kuisikiliza mwenyewe gheto kwa kukosa airtime, mpaka alpofanya kolabo na kina Mwana FA ndo ikawa Hit.

3. VANESA MDEE.
Huyu anatakiwa amshukuru sana Ommy kwa ile kolabo yao. Kitendo cha mwaka huu kupewa tuzo ya mwanamziki bora wa RnB ilikuwa ni aibu kubwa, maana hajui kitu. Bila Ommy huyu Vanesa Angekua anasugua benchi na kina Vumilia.

4. WASANII WA THT.
THT kuna watu wanajua kweli kama amini, mwasiti n.k. Tatzo kuna vibinti vime 'Hit Hit' kiajabu tu hadi unastaajabu kwa mgongo wa Clouds, wakati hamna kitu. Mf. ni Pipi, Recho n.k

Kwa Niliowasahau Unaweza Ongeza.
 
haha.. Shark asante kwa kunikumbusha.
 
Last edited by a moderator:
5. DIAMOND.
huyu nae ashukuru mganga wake yule ndo aliemtoa na pia kutembelea nyota ya wema la sivyo tungekua nae hapa Tandale kwa Mtogole tunakaba wote

E bwana nilikuwa sijui hii kitu. Huyo mganga atakua mtaalam sana. Inabidi timu yetu ya taifa (taifa star) ipelekwe. Hata tukifungwa DUNIA ione tumefunga sisi goli. Nafikiri ni short cut poa sana. Au mganga atuunganishie na nyota ya Nigeria kwenye soka, kama ya Wema imefaa kwa Domondi
 
6. ABU KIBA
Huyu dogo anatembelea nyota ya kaka yake 'Mtalamu' Ally Kiba. Huwa najiuliza sana inakuaje nyimbo za Abu Kiba tuzisikie, alafu watu kama Wakali Kwanza, wawekwe kapuni.
 
6. ABU KIBA
Huyu dogo anatembelea nyota ya kaka yake 'Mtalamu' Ally Kiba. Huwa najiuliza sana inakuaje nyimbo za Abu Kiba tuzisikie, alafu watu kama Wakali Kwanza, wawekwe kapuni.

Kuna technics and tactics. ufundi pekee wa jukwaa hautoshi. "Biashara" ya muziki ni zaidi ya kuwa fundi kwenye mic. Kuna fitina za ndani na nje ya gemu unless kama unataka ku- entertain tu haina tatizo.

Nakubaliana na uchambuzi wako ila nina mashaka na msemo " Kizuri chajiuza, kibaya chajitembeza" nafikiri umeshapitwa na wakati. Wakali kwanza nawakubali sana, ila naona waliamini zaidi katika uwezo wao
 
Kuna technics and tactics. ufundi pekee wa jukwaa hautoshi. "Biashara" ya muziki ni zaidi ya kuwa fundi kwenye mic. Kuna fitina za ndani na nje ya gemu unless kama unataka ku- entertain tu haina tatizo.

Nakubaliana na uchambuzi wako ila nina mashaka na msemo " Kizuri chajiuza, kibaya chajitembeza" nafikiri umeshapitwa na wakati. Wakali kwanza nawakubali sana, ila naona waliamini zaidi katika uwezo wao

nimekusoma, abdu kiba ni 'avarage' sana ila alichowapgia gepu ni hizi fitina zake za nje ya uwanja. nachoamini wakali kwanza wamejfunza kitu, na watakuja tena wakiwa strong zaidi mana anayejua anajua tu.
 
7.KALA JERIMIAH huyu nae sielewi anatembelea nyota gani? hata ile ngoma ya dear GOD ni beat tu ya dee classic ndo
iliyom beba ..hata hii ngoma aliyoitambulisha juzi 'simu ya mbali' km sikosei ni kaama dear GOD na yale ma vina yake!!!
 
7.KALA JERIMIAH huyu nae sielewi anatembelea nyota gani? hata ile ngoma ya dear GOD ni beat tu ya dee classic ndo
iliyom beba ..hata hii ngoma aliyoitambulisha juzi 'simu ya mbali' km sikosei ni kaama dear GOD na yale ma vina yake!!!

Ile Dear God,
Vina + Ufundi wa Fundi Dee classic = Wimbo Wa Taifa.
Sidhani kama atakuja afanye wimbo mkali tena kama huu. Hii ndo ile wazulu wanaita "once in a life time".
 
6. ABU KIBA
Huyu dogo anatembelea nyota ya kaka yake 'Mtalamu' Ally Kiba. Huwa najiuliza sana inakuaje nyimbo za Abu Kiba tuzisikie, alafu watu kama Wakali Kwanza, wawekwe kapuni.

daaah mkuu umenitoa chozi hawa jamaa wakali kwanza joslin,mac kamua very sad hawakustaili kapu.
 
daaah mkuu umenitoa chozi hawa jamaa wakali kwanza joslin,mac kamua very sad hawakustaili kapu.

true mkuu wengi tunaumia sana tunapowasikia wazugaji kila siku, wakali kwanza watarudi tu maana ni wakali sana.
 
kala jeremiah si mkali sana lakini ile kitu dear GOD ni bonge la goma lililowahi kurekodiwa duniani...aliyeiponda akasikilize tena.
 
Ile Dear God,
Vina + Ufundi wa Fundi Dee classic = Wimbo Wa Taifa.
Sidhani kama atakuja afanye wimbo mkali tena kama huu. Hii ndo ile wazulu wanaita "once in a life time".

Mkuu umeisikia simu ya mwisho.!huyu jMaa anajua bhana..
 
7.KALA JERIMIAH huyu nae sielewi anatembelea nyota gani? hata ile ngoma ya dear GOD ni beat tu ya dee classic ndo
iliyom beba ..hata hii ngoma aliyoitambulisha juzi 'simu ya mbali' km sikosei ni kaama dear GOD na yale ma vina yake!!!

Hapo umebugi,alaf inaelekea una chuki binafsi na mshikaji..
Unamansha ile mistar n mibaya kwahyo biti ndo imembeba.?

Una maanisha Wimbo wa taifa nao ni mbya.?
Una maansha Miss Ug nao ni mbaya.?

Nahisi jamaa amekugongea demu wako sio bure..
 
Back
Top Bottom