Michael Jordan ndiye mwanamichezo mwenye pesa kuliko wanamuziki wa Marekani.
Jamaa ana dola bilioni 3.2.
Jay Z ana dola ana dola bilioni 2.5.
P Didy ana dola milioni 800
Dr Dre ana dola milioni 500
Kanye ana dola milioni 400.
Floyd Mayweather ana dola milioni 400
Why Jordan ana pesa nyingi na wakati alistaafu tangu miaka ya 90?
Jibu ni jepesi tu, mama yake alimpa utajiri huu baada ya kusaini mkataba na NIKE kwamba kama wanataka mtoto wao asaini dili lao na si na Adidas basi wawe wanamlipa maisha yake yote kila kiatu cha Air Jordan kitakapokuwa kinauzwa.
Mkataba ukasainiwa. So mpaka leo jamaa anaingiza pesa hadi atakapokufa. Na Wamarekani weusi wanavipenda sana viatu vya Air Jordan, na wanavinunua sanaaaa.
Hizo takwimu za utajiri zinatoka hapo mjini Forbes.
Jamaa ana dola bilioni 3.2.
Jay Z ana dola ana dola bilioni 2.5.
P Didy ana dola milioni 800
Dr Dre ana dola milioni 500
Kanye ana dola milioni 400.
Floyd Mayweather ana dola milioni 400
Why Jordan ana pesa nyingi na wakati alistaafu tangu miaka ya 90?
Jibu ni jepesi tu, mama yake alimpa utajiri huu baada ya kusaini mkataba na NIKE kwamba kama wanataka mtoto wao asaini dili lao na si na Adidas basi wawe wanamlipa maisha yake yote kila kiatu cha Air Jordan kitakapokuwa kinauzwa.
Mkataba ukasainiwa. So mpaka leo jamaa anaingiza pesa hadi atakapokufa. Na Wamarekani weusi wanavipenda sana viatu vya Air Jordan, na wanavinunua sanaaaa.
Hizo takwimu za utajiri zinatoka hapo mjini Forbes.