Wanamuziki wa extra musica

Wanamuziki wa extra musica

Yupo, ana albamu nyingi tu mfano ni Kipé Ya Yo (2007), Quel Est Ton Probleme n.k Tatizo albu hizi kizazi kikubwa cha wenge kama wakina Titina, Aimelia, Alain mpella walikuwa wameshajitoa kwa JB Mpiana na JB kwa kiasi fulani anaangushwa na Serguin Mignon ambaye ndiye drummer wake
Ok,kapooza sana. Naona kizazi chake kinatoweka. Haritier Watanabe,Ferre Gola na Fally Ipupa wanachukua nafasi za wakongwe hao(JB Mpiana na Ngiama/Noel Makanda)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Losambo sio Album Ni Wimbo Uliopo Ktk Album Ya Tatu Ya Extra Musica Inaitwa Ouragan Mkuu Baada Ya Album Hii Ya Tatu Ndio Wakatoa Album Ya Nne Mwaka 1998 Ikiitwa Etat Major Na Wakati Wa Album Ya Kwanza Nouvelle Missiles 1995 Wakarekodi Album Ya Pili Confirmation Waliitoa 1996 Baada Ya Album Hii Kutoka Ndio Akajitoa Mwanamuziki Wa Kwanza Akiitwa Guy Guy Fall Na Kingstone Ila Bado Bendi Haikutetereka Ndio Akaja Herman Ngasacky na Abillis Wakaziba Nafasi Zao
 
angalia wmbo wa shalai mwshon kuna sehem jamaa kama wanaita hv"shalaaaaaai!" na kelele nyng huku bit lime2lzwa na kuna jamaa anaongea kwa saut kubwa huk pcha zake zikiwa slow motion kavaa shat dak bluu,tai ya kaki na kot jeupe.
yule jamaa ndo nani

Anaitwa Dominquè Eleka Lenga A.k.a Doudou Copa
 
Habari wanajamii,napenda kuuliza maswali yafuatayo; Kila Mbongo wa Extra Musica yu wapi sasa bend hyo maendeleo yake yakoje na huyu Ramatoulay ndio yule aliyeimba ule wimbo wa alaj maana majina yao na saut vinanichanganya sana.
Naomba msaada wenu wadau

Kwasasa Kila Mbongo Yupo Nchini Ufaransa Aliachana Na Muziki Baada Ya Kupata Ugonjwa Wa Saratani Ya Koo Huyu Jamaa Alianza Na Grpup Toka Album Ya Kwanza Nouvelles Missiles 1995, Akaja Album Ya Pili Confirmation 1996, Akafatia Album Ya Tatu Ouragan 1997, Akaja Album Ya Nne Etat Major 1998, Akamalizia Album Ya Tano Ambayo Kwake Ilikua Ya Mwisho Shalai 1999 Alipopata Kansa Ya Koo Akajoondoa Ktk Group Na Album Hii Ya Shalai Alishirikiana Na Rapper Mpya Arafat Na Hapo Ndio Ikawa Mwisho Wake Kuwepo Ktk Kundi La Extra Musica Album Zote Nne Nyuma Alirap Pia
 
Losambo sio Album Ni Wimbo Uliopo Ktk Album Ya Tatu Ya Extra Musica Inaitwa Ouragan Mkuu Baada Ya Album Hii Ya Tatu Ndio Wakatoa Album Ya Nne Mwaka 1998 Ikiitwa Etat Major Na Wakati Wa Album Ya Kwanza Nouvelle Missiles 1995 Wakarekodi Album Ya Pili Confirmation Waliitoa 1996 Baada Ya Album Hii Kutoka Ndio Akajitoa Mwanamuziki Wa Kwanza Akiitwa Guy Guy Fall Na Kingstone Ila Bado Bendi Haikutetereka Ndio Akaja Herman Ngasacky na Abillis Wakaziba Nafasi Zao
Sio siri hawa jamaa walikuwa mafundi haswaa wa muziki...

Ngoma zao huwa zinanikuna sana...sichoki kuzisikiliza...japo sijui maana yake kwa kiswahili(tupate tafsiri)
 
Imenibidi niupige huo wimbo nisikilize hicho kibwagizo....

Heshima kwako mkuu, hawa jamaa unawajua kiukweli
Espe-Bass, Simba Ramatoulaye na Sonor.....kibwagizo hicho ni katika wimbo wa shalai (Doudou copa ndiye anaingiza kibwagizo hicho)
 
Back
Top Bottom