Ok,kapooza sana. Naona kizazi chake kinatoweka. Haritier Watanabe,Ferre Gola na Fally Ipupa wanachukua nafasi za wakongwe hao(JB Mpiana na Ngiama/Noel Makanda)Yupo, ana albamu nyingi tu mfano ni Kipé Ya Yo (2007), Quel Est Ton Probleme n.k Tatizo albu hizi kizazi kikubwa cha wenge kama wakina Titina, Aimelia, Alain mpella walikuwa wameshajitoa kwa JB Mpiana na JB kwa kiasi fulani anaangushwa na Serguin Mignon ambaye ndiye drummer wake
Sent using Jamii Forums mobile app