Kundi hili lilianza miaka ya 1990's hivi wakati huo lilikuwa likipiga ktk kumbi za starehe nchini Congo Brazzaville kwa kurudia nyimbo za wakongwe kama akina tabu ley, Franco etc
Ieleweke kuwa lilikuwa na waanzilishi kama ulivotaja yaan hao wawili ambao ndyo walotafuta wenzao wenye vipaji.
Alikuwa ni gii gii falley in French, English anaitwa Guy guy fall alotoa wazo la kulifanya kundi hilo liachane na upigaji wa kumbi za starehe.
Mwaka 1993 walotoa album hyo kweli... jambo lililowastua wakongwe wa muziki congo kuwa hawa vijana si wao bali wanaiba kaz za watu na hasa wenge musica ndo walishutumu sana kund hili...
Vijana hawa hawakukatishwa moyo wakaja na album ya pili.. confirmation...
Kuuthibitishia ulimwengu na ndpo hapa walipa heshima kubwa sana nchini mwao na baran Africa kiujumla na ulimwengu wote.
Ieleweke kuwa ktk album ya kwanza ilipotoka kulitokea msuguano wa madaraka kati ya roga na guy kuwa nan aongoze kundi hlo... jambo hili lilipelekea guy kuonwa kma mwenye uchu wa madaraka ilihali amewakuta humo wakingwe wa kund...
Ukisikiliza album ya pili ni kama Guy fall hasikiki na Christian ambe lakn ukiwa makini utawaskia hapa wawili hawa hawakupewa nafas kubwa sana na pia kunaskika sauti ya doudou copa kwa sana aloletwa kundin na guy akitokea Roman Catholic kma mwanakwaya.
Ni baada ya msuguano huo Guy fall alikuwa wa kwanza kuondoka na kuwa solo artist... baadae waliuata watu watatu akiwemo dullel loemba, Christian ambe na Quentin moyasco sambamba na waimbaji wengne walokuwa benchi toka kwa roga.
Wakali hawa watatu walitoka na album ya super helico ambayo pamoja na ubora mzur ilivuma kidogo sana baadaya hapo walikwazana kimaslahi na alikuwa dullel na cChristian walotoka na kuunda Z1 international extra musica ikipewa jina la ERE D'E VERITE -Wakimshutumu Quentin kuwa si mkweli... neno hlo hapo juu lina maana ya yeye si mkweli...
Na baadae Quentin hakujibu mapigo zaid aliwambia MERCE -akiimaanisha asanten kwa shutuma zenu.
Christian ambe hajafa kimzk ndo kiongoz wa kund la Z1 huko anaitwa papa lutumba akiwa na dullel ambaye pia hukodiwa wakati mwingn na Quentin kpiga rythm gitaa.