STEPHEN JIBE
Member
- Jan 23, 2013
- 61
- 9
Habari wanajamii,napenda kuulzg maswal yafuatayo; kila mbongo wa extra musica yu wapi sasa bend hyo maendeleo yake yakoje na huyu ramatoulay ndo yule aliyeimba ule wimbo wa alaj maana majina yao na saut vinanichanganya sana.
Naomba msaada wenu wadau
mkuu hao c kitu uliza Wenge musica bcbg 4*4,hao walikuwa noma
Kila mbongo hayupo tena kimuziki.kuna uwezekano kabisa kazamia mamtoni.extra musica inaendelea ikiongozwa na baba lao roga roga.wale wakali wa zamani ktk bendi hiyo wengi hawapo.bendi ipo na sebene linagongwa kisasa zaidi
kila mbongo ni habari nyingine.
Kila mbongo hayupo tena kimuziki.kuna uwezekano kabisa kazamia mamtoni.extra musica inaendelea ikiongozwa na baba lao roga roga.wale wakali wa zamani ktk bendi hiyo wengi hawapo.bendi ipo na sebene linagongwa kisasa zaidi
kila mbongo ni habari nyingine.
kila mbongo si ndo yule jamaa mrefu?kama ni huyo hayupo tena kimziki tetesi ni kuwa yupo ubelgiji kwa shughuli zake nyingine,ila kumbuka mtu alikuwa anaitwa Roberto Enkokota huyu alikuwa Wenge bcbg hakuna repa aliekuwa anamfikia
kila mbongo si ndo yule jamaa mrefu?kama ni huyo hayupo tena kimziki tetesi ni kuwa yupo ubelgiji kwa shughuli zake nyingine,ila kumbuka mtu alikuwa anaitwa Roberto Enkokota huyu alikuwa Wenge bcbg hakuna repa aliekuwa anamfikia
Anaitwa Roberto Wuunda Ekokota...
Haya sahihisha hilo jina lako kabla sijarudi
kila mbongo si ndo yule jamaa mrefu?kama ni huyo hayupo tena kimziki tetesi ni kuwa yupo ubelgiji kwa shughuli zake nyingine,ila kumbuka mtu alikuwa anaitwa Roberto Enkokota huyu alikuwa Wenge bcbg hakuna repa aliekuwa anamfikia
Lamatoulay alikuwa anapiga Drums...
Kila Mbongo mazikoya ana rap...
King Rogaroga anacharaza Solo...
espa Bass anacharaza Bass...
Dah bendi hii ilidumu mpaka albam ya pili ya Confirmation kisha ikaanza kumong'onyoka huku ikibaki ngangali.
Kuna watu wawili ama watatu muhimu kabisa katika bendi hii walijitoa na kwenda kuanzisha Extra Musica International.
Lakini Extra waliobaki walitoa albam yao ya 3 ya Losambo na kitu kikabamba.
Kisha wakaenda toa albam yao ya 4 ya Etat Major nayo ikabamba ile mbaaaya.
Kisha ikaTolewa Obrigator nayo ikabamba mbaaya.
Na hapo ndipo ulikuwa mwisho wa mimi kuifuatilia bendi hii niliopata kuipenda sana.
Hakika kama wangeweza kudumu basi wangeurudisha mtindo wangu boora wa Soukous japo wao hawakutokea Congo hii ya Kabila...
Anaitwa Roberto Wuunda Ekokota...
Haya sahihisha hilo jina lako kabla sijarudi
Roberto alipata matatizo ya koo,ameachana na kufokafoks
Solo la Rogaroga kwenye Shalai ni motoLamatoulay alikuwa anapiga Drums...Kila Mbongo mazikoya ana rap...King Rogaroga anacharaza Solo...espa Bass anacharaza Bass...Dah bendi hii ilidumu mpaka albam ya pili ya Confirmation kisha ikaanza kumong'onyoka huku ikibaki ngangali.Kuna watu wawili ama watatu muhimu kabisa katika bendi hii walijitoa na kwenda kuanzisha Extra Musica International.Lakini Extra waliobaki walitoa albam yao ya 3 ya Losambo na kitu kikabamba.Kisha wakaenda toa albam yao ya 4 ya Etat Major nayo ikabamba ile mbaaaya.Kisha ikaTolewa Obrigator nayo ikabamba mbaaya.Na hapo ndipo ulikuwa mwisho wa mimi kuifuatilia bendi hii niliopata kuipenda sana.Hakika kama wangeweza kudumu basi wangeurudisha mtindo wangu boora wa Soukous japo wao hawakutokea Congo hii ya Kabila...
Anaitwa Roberto Wuunda Ekokota...
Haya sahihisha hilo jina lako kabla sijarudi
ni kweli kiongozi nilikosea ila jamaa alikuwa mkali sana
ni kweli kiongozi nilikosea ila jamaa alikuwa mkali sana