Wanamgambo wa kikristu wauaji

Wanamgambo wa kikristu wauaji

Status
Not open for further replies.
Inakuwaje majeshi ya Ufaransa na yale ya nchi za Kiafrika yakiwa na silaha za kisasa yanashindwa kuwadhibiti wanamgambo wa mitaani ambao "hawajapata mafunzo yoyote" wala "hawajajiorganise"?Amnesty International wametangaza kua mauaji yanayofanywa na Wakristu kuwaua kinyama kwa kukatakata vipande vipande Waislam huko C.A.R(Jamhuri ya Afrika ya Kati) ni mauaji ya kimbari (ethnic cleancing) lengo la wanamgambo hawa wa Kikristu ni kusafisha kabisa kizazi cha Waislam katika C.A.R-Jamhuri ya Afrika ya Kati.Waislam ni asilimia 15.
Inashangaza kwamba hata viongozi wa Kikristu ktk C.A.R-Jamhuri ya Afrika ya Kati hawahubiri tena kuhusu upendo amani na mshikamano bali ni kisasi kisasi kisasi.Nina hakika lau wangewahubiria kua wasamehe kama Yesu(amani iwe juu yake) alivyowausia mauaji ya kuogofya yanayoendelea kila siku tena kwa kushuhudiwa na wanaoitwa "walinda amani" yangepungua kama si kuisha kabisa.Mwenyezi Mungu Apishie mbali tusifike huko.

wakristo wamechokozwa tena kwa makusudi. uvumilivu umewashinda n'a waondoke Hao wafia Dini wakapeleke chokochoko saudia. na iwe fundisho kwa wafia Dini wa hapa tz
 
Ni ujinga gani huu unaoandika!!Ni Qur'an ipi hiyo inayofundisha kuwaua wasio wa imani ya Kiislam?Tatizo lako na wenzako wavivu wa kutafuta elimu na kuuaoma Uislam mnataka tu kuambiwa kuhusu Uislam,hamtaki kuusoma Uislam na sio kuuaoma tu, bali kuusoma kutoka ktk vyanzo hakika.
Uislamu ASILAN ABADAN HAUFUNDISHI kuwaua wasio na imani ya Kiislam.
Haya ni mafundisho ya sheikh mpotofu Muhammad ibn Abdul Wahhab,muasis wa madh-heb ya Wahabi, huyu ni mwanafunzi wa ibn Taimiya.Mafundisho yao ni kua yeyote anayewapinga,awe muislam au asiye muislam ni wajibu auliwe na mali yake ichukuliwe!!.Ajabu ni kwamba hawa Mawahabi wameundwa na Wazungu-Waingereza kwa kumkutaniaha Sheikh mpotofu Muhammad ibn Abdul Wahhab na mtawala wa Hijaz-Saudi Arabia aliyeitwa ibn Saud,huyu ni babu wa watawala wa Saudi Arabia kwa makubaliano huyu wa dini atoe hukumu za kumlinda huyu wa siasa na vice versa.Historia iko wazi kuhusu masuala haya ila sisi hatutaki kusoma na kujua.
UISLAM NI AMANI HAUNA MAFUNDISHO YA KUWAUA WASIO NA IMANI YA KIISLAM.
TUTOFAUTISHE UWAHHABI NA UISLAM.Mwenyezi Mungu anajua zaidi.

Hebu msome mungu wako anavyo waamrisha kwenye Koran ya Jibril.
Surat Al Baqara 191. Na wauweni popote mwakutapo, .......; kwani fitina ni mbaya zaidi kuliko kuuwa. ....... Na hivi ndivyo yalivyo malipo ya makafiri.
 
Ni ujinga gani huu unaoandika!!Ni Qur'an ipi hiyo inayofundisha kuwaua wasio wa imani ya Kiislam?Tatizo lako na wenzako wavivu wa kutafuta elimu na kuuaoma Uislam mnataka tu kuambiwa kuhusu Uislam,hamtaki kuusoma Uislam na sio kuuaoma tu, bali kuusoma kutoka ktk vyanzo hakika.
Uislamu ASILAN ABADAN HAUFUNDISHI kuwaua wasio na imani ya Kiislam.
Haya ni mafundisho ya sheikh mpotofu Muhammad ibn Abdul Wahhab,muasis wa madh-heb ya Wahabi, huyu ni mwanafunzi wa ibn Taimiya.Mafundisho yao ni kua yeyote anayewapinga,awe muislam au asiye muislam ni wajibu auliwe na mali yake ichukuliwe!!.Ajabu ni kwamba hawa Mawahabi wameundwa na Wazungu-Waingereza kwa kumkutaniaha Sheikh mpotofu Muhammad ibn Abdul Wahhab na mtawala wa Hijaz-Saudi Arabia aliyeitwa ibn Saud,huyu ni babu wa watawala wa Saudi Arabia kwa makubaliano huyu wa dini atoe hukumu za kumlinda huyu wa siasa na vice versa.Historia iko wazi kuhusu masuala haya ila sisi hatutaki kusoma na kujua.
UISLAM NI AMANI HAUNA MAFUNDISHO YA KUWAUA WASIO NA IMANI YA KIISLAM.
TUTOFAUTISHE UWAHHABI NA UISLAM.Mwenyezi Mungu anajua zaidi.

napinga kwa nguvu zote binadam kumwua mwenzie kwa kisingio chochote kile. najua hapo CAR Waislam b4 waliua watu wengi wakiwa Wakristo. lakn tunatakiwa kujua kosa halioshw na kosa jingine. nasikitika kwa kutosikia kauli kali za kulaan mauaji haya. nataman watu waingilie kijesh kuokoa uhai na haki za binadam. mimi kama Mkristo namwomba Mungu yule wa Mbingun awape mioyo ya utu. binadam asikie maumivu anapomtendea mwenzie jambo baya. naomba aman upendo na maelewano. Baba Mungu nakuomba uwatembelee na mkono wako wa aman uwe juu yao. Amina
 
Mkuu huyu sheikh anawafuasi wengi sana duniani.
Je huyo ndio aliyeandika huo mstari kwenye kitabu cha quran?

Hakuandika huo mstari ila yeye alitoa tafsiri potofu.Na hakika aya inazungumzia kihusu hali ya kivita ktk taifa la Kiislam.Hebu tusome pamoja:
"And fight in the cause of God (against) THOSE WHO FIGHT YOU but BE NOT AGGRESSIVE; for verily God loveth not the aggressors
Piganeni ktk njia ya Mwenyezi Mungu DHIDI YA WALE WANAOWAPIGA lakini MSIVUKE MIPAKA kwa kua Mwenyezi Mungu Hawapendi wavukao mipaka.[tafsiri ni ya kwangu]--Qur'an 2:190

"And slay them wherever ye find them and DRIVE THEM AWAY WHENCEFROM THEY DROVE YOU for mischief is more grievous than slaughter.........."
Lengo hapa ni kuwapiga wale wanaowapiga tena bila ya kuvuka mipaka maana vita ktk Uislam ina masharti yake kwa wale wenye kufahamu.
Waislamu wanaamrishwa sio tu kupigana kulinda na kutetea imani yao bali pia kulinda makanisa,masinagogi na kote kunakofanyw ibada kulingana na matakwa ya mhusika Qur'an 22:40 kwa sababu moja tu kwamba hakuna kulazimisha watu kuingia Uislam Qur'an 2:256.
Ikiwa hamkaririshwi, kwanini aya hizi zinazopinga ushenzi unaofanywa na wale wote wanaouchafua Uislam hamuzisemi nazo zipi ktk sura moja?Je hamhukumu kwa haki?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom