Wanakwaya, Makondakta na MC wameshusha hadhi ya kaunda suti

Kiboko ya Jiwe

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
12,709
36,166
Kaunda suti ilikuwa na hadhi waungwana, kaunda suti ukiivaa hata ukitembea kwa miguu unakuwa na thamani kubwa enzi hizo.

Sasa hawa ma MC walioibuka kama uyoga kila mmoja ana kaunda suti zake. Yaani mtu akichapwa na maisha tu anajiita MC na cha kwanza ni kushona kaunda suti.
 
Kaunda suti ilikuwa na hadhi waungwana, kaunda suti ukiivaa hata ukitembea kwa miguu unakuwa na thamani kubwa enzi hizo.

Sasa hawa ma MC walioibuka kama uyoga kila mmoja ana kaunda suti zake. Yaani mtu akichapwa na maisha tu anajiita MC na cha kwanza ni kushona kaunda suti.
Umaskini unakusumbua sana asee na ukiendelea hivyo utaliwa ndogo
 
Kaunda suti ilikuwa na hadhi waungwana, kaunda suti ukiivaa hata ukitembea kwa miguu unakuwa na thamani kubwa enzi hizo.

Sasa hawa ma MC walioibuka kama uyoga kila mmoja ana kaunda suti zake. Yaani mtu akichapwa na maisha tu anajiita MC na cha kwanza ni kushona kaunda suti.
Na watumishi wa Halmashauri ni kama wanashindana kushonda kaunda, bila kuwasahau na Wanasiasa halafu pembeni juu ya mfuko kuna kabendera ka Taifa na kwa kumalizia kuna wanaojifanya Usalama wa Taifa umewasahau nao?
 
Na watumishi wa Halmashauri ni kama wanashindana kushonda kaunda, bila kuwasahau na Wanasiasa halafu pembeni juu ya mfuko kuna kabendera ka Taifa na kwa kumalizia kuna wanaojifanya Usalama wa Taifa umewasahau nao?
Hii nchi ngumu sana
 
Back
Top Bottom