Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
umeona ee!kuna siku nika m-pm madame X badala ya Madame B palikua patamu hapo..... alafu inshu yenyewe ni ileeee si unakumbuka?usiseme sana mwanasheria atasikia ntakosa mlango wa kutokeaWe huoni kama zinafanana?
Au unadanganyika na hyo space hapo katikati?
Inabidi mmoja aachie ngazi la sivyo kuna hatari ya kushea mahubby humu ndani.
Last edited by a moderator: