Toto mol
JF-Expert Member
- Oct 18, 2022
- 2,404
- 3,567
Habari za humu ndugu wana JF natumaini wazima wa afya na tunasonga mbele, kama kichwa cha habari kinavyosomeka,
Wadau nipeni kazi / kibarua nifanye nipate pesa za matumizi za kupata mahitaji ya mtoto mwaka kesho anaanza shule darasa la awali, chekechea, baadhi ya vifaa nimenunua kama kitambaa, t-shirt, begi,
Kilichobaki ni viatu, soksi, ada na mashonesho ya kaptura kwa fundi, kichwa kinapata moto huu mwisho wa mwaka vitu vitapanda bei, wadau nipeni kazi/kibarua nifanye mtu hawezi kukupa hela hivi hivi bure bila kumfanyia kazi!? Nipeni kazi,
Nb: location nipo musoma, sina ujuzi wowote zaidi ya kuelekezwa tu, nipeni kazi/kibarua nijikwamue adha hii😔🙏
Wadau nipeni kazi / kibarua nifanye nipate pesa za matumizi za kupata mahitaji ya mtoto mwaka kesho anaanza shule darasa la awali, chekechea, baadhi ya vifaa nimenunua kama kitambaa, t-shirt, begi,
Kilichobaki ni viatu, soksi, ada na mashonesho ya kaptura kwa fundi, kichwa kinapata moto huu mwisho wa mwaka vitu vitapanda bei, wadau nipeni kazi/kibarua nifanye mtu hawezi kukupa hela hivi hivi bure bila kumfanyia kazi!? Nipeni kazi,
Nb: location nipo musoma, sina ujuzi wowote zaidi ya kuelekezwa tu, nipeni kazi/kibarua nijikwamue adha hii😔🙏